Masikini sio mtu wa kumuonea huruma leo ndio nimejifunza zaidi

Andiko la maskini,matako yanakoma 😆😆
 
Wewe ni mimi kabisa mkuu🙏
 
Is holidaaay, usicomplicate.
 
Elimu uliyoipata haitalisadia Taifa.
Na ndo maana mnakuwa wasomi WA hovyo hovyo msiojielewa.
Maskini ni mtu wa namna gani.
Msomi bwege dizain yako hamfai.
Nchi yako yenyewe ni maskini,unakuja hapa kuwatambia maskini wenzako kisa unawazidi mlo🤣🤣🤣🤣.
Uzuri humu hatujuani,lakini wewe jogoo WA X-mas punguza dharau.
Huna maisha ya kuweza kuanza kubagua watu kiasi hicho.
 
asante kwa mchango wako, wewe nguruwe ws x-mas
 
Umasikini ni mbaya sana.

Ukishakuwa masikini hata akili inadumaa. Kila tajiri unamuona mbaya wako.
 
Maneno meengi mkuu, ila umesahau kutwambia yaliyokukuta ni yapi
 
Ishi nao kwa akili usikaribishe mazoea ya kujuana kiundani, zaidi salamu na mengine ya kijamii tu.
 
Huna nyumba, benki hauna hata M10, huna gari alafu unawatukana ndugu zako. Usijifiche kwenye unknown id Toka adharani kwenye account zako rasmi za kijamii useme huu ukoko ulio ongea hapa.
 
Kweli kabisa juzi Xmass ametuvamia tukiwa mezani kama familia tukasema tumkaribishe tu ni sikukuu. Tukampa mapilao tele na vinywaji hadi akashiba tele. Ile anaondoka anatukana watu eti wajinga nyie! Nilielewa kwanini yule jamaa ni maskini!
 
Kweli kabisa juzi Xmass ametuvamia tukiwa mezani kama familia tukasema tumkaribishe tu ni sikukuu. Tukampa mapilao tele na vinywaji hadi akashiba tele. Ile anaondoka anatukana watu eti wajinga nyie! Nilielewa kwanini yule jamaa ni maskini!
itakuwa mlimchanganyia nguruwe kwenye pilau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…