Masikini sio mtu wa kumuonea huruma leo ndio nimejifunza zaidi

Masikini sio mtu wa kumuonea huruma leo ndio nimejifunza zaidi

Kuna mdau humu aliwahi kuliongelea hili na leo ndio nimepata funzo zaidi.

Masikini ukiishi kwa unyenyekevu bila kumuonesha dharau ya aina yoyote kwa akili zake atamuhisi umemuogopa, masikini wengi wenye umasikini uliopitiliza (absolutely poverty) pia huwa na sifa ya kuwa wapumbavu, na ndio hawa wengi wao ni mtaji wa CCM.

Masikini hatakiwi kuonewa huruma, masikini hatakiwi kuthaminiwa kabisa na ukimthamini sana ujue unajitengea janga hapo baadae lakini pia niongezee kidogo kutoa ushauri kwa vijana hasa ambao mmemaliza elimu za vyuo na mmebahatika kupata ajira aidha kwenye sekta binafsi au za umma

Unapopata mshahara wako wa kwanza tafuta nyumba nzuri yenye hadhi, usitafute nyumba za hovyohovyo eti unabana mshahara ili ufanye maendeleo hapo baadae yatakukuta makubwa kabla hata hujafanya hayo maendeleo.

Umeajiriwa na level yako stashahada au shahada na mshahara wako labda ni kuanzia laki tano na kuendelea uwezo wa kula maini au nyama ya kuku unao lakini mazingira unayoishi wenyeji wako ni dagaa na mchicha kila siku aisee mkuu yatakukuta tafuta makazi yenye watu wa hadhi yako vinginevyo yatakukuta.......
Be kind but don't let people use you.

Money is better than time.
 
Ukiishi na MTU yeyote awe masikini au tajiri hakikisha unatumia kanuni ya PLAY LOW KEY hii itakufanywa usitabirike Kama unacho au hauna.

Jamii zetu za watu weusi zitaanza kukufnyia ubaya hasa pale utakapotaka kuonesha umewazidi kila kitu na hii unaweza fanyiwa na MTU either is broke or financial stable.

Kumbuka kuwa a complete a human being its just a journey hivyo don't condemned any body .

Umasikini unatafsiriwa as a curse kwasababu unakunyima muda Wa mzuri Wa kushukuru , kuwaza Kwa kina, kutimiza wajibu wako na mwisho siku ukipata hela kidogo unaishia kupata matatizo makubwa kuzidi hata kipindi hauna hela kabisa.


Poverty is not a curse but is the mental illness .
 
mimi kuna mmoja nilimuokota msikitini ni shehe ubwabwa na kanzu yake chakavu iliyofubaa, nikamuonea huruma nikampeleka kwangu, kula bure, kulala bure na mpaka na nguo nilikuwa nampa cha ajabu nikiondoka kwenda kwenye harakati zangu akawa ananisnich kwa mama mwenye nyumba yaani mpaka siku naamua kumtimua alikuwa ameniharibia pakubwa....
Mashehe ubwabwa sijui kwa nini wengi wao ni choka mbaya na hawataki kazi
 
Mashehe ubwabwa sijui kwa nini wengi wao ni choka mbaya na hawataki kazi
kuna jamaa hapo chini kasema umasikini sio laana ila ni ugonjwa wa akili......kuna shehe ubwabwa mmoja nilijuta kumfahamu aiseee😂😂😂, yaani ile kutoka msikitini mkisalimiana tu utasikia shehe nipe buku basi, ukimuambia baadae basi nitakupa, utasikia twende shehe ukaninunulie mkate, .....yaani mpaka naamua kucheka tu😂😂
 
Kuwa shekh au mchungaji haikufanyi kuwa na maisha mazuri , kusonga mbele ni jambo moja na kuwa mtu wa dini ni jambo jingine.

Ikiwa upo vizuri usimcheke MTU Ila shukuru Kwa maarifa na hekima ulizonazo.

50 cent alikuwa Kama wewe anawashangaa watu wanaoomba kuwa kwanini wasifanye kazi , na mwisho baada ya kupata awereness aligundua kuwa na hustling spirt sio jambo la kila MTU.


Kazungumizia katika kitabu chake ,hustle harder ,hustle smarter. Kwamba we need to cultivate the hustler spirit as to get on top
Mashehe ubwabwa sijui kwa nini wengi wao ni choka mbaya na hawataki kazi
 
Kuwa shekh au mchungaji haikufanyi kuwa na maisha mazuri , kusonga mbele ni jambo moja na kuwa mtu wa dini ni jambo jingine.

Ikiwa upo vizuri usimcheke MTU Ila shukuru Kwa maarifa na hekima ulizonazo.

50 cent alikuwa Kama wewe anawashangaa watu wanaoomba kuwa kwanini wasifanye kazi , na mwisho baada ya kupata awereness aligundua kuwa na hustling spirt sio jambo la kila MTU.


Kazungumizia katika kitabu chake ,hustle harder ,hustle smarter. Kwamba we need to cultivate the hustler spirit as to get on top
Tatizo ukimpa hata connection ya kibarua mahali afanyi,anakua mzito,anakusubiria akupige mzinga,mpk tunabadili njia ya kupita
 
Kuna mdau humu aliwahi kuliongelea hili na leo ndio nimepata funzo zaidi.

Masikini ukiishi kwa unyenyekevu bila kumuonesha dharau ya aina yoyote kwa akili zake atamuhisi umemuogopa, masikini wengi wenye umasikini uliopitiliza (absolutely poverty) pia huwa na sifa ya kuwa wapumbavu, na ndio hawa wengi wao ni mtaji wa CCM.

Masikini hatakiwi kuonewa huruma, masikini hatakiwi kuthaminiwa kabisa na ukimthamini sana ujue unajitengea janga hapo baadae lakini pia niongezee kidogo kutoa ushauri kwa vijana hasa ambao mmemaliza elimu za vyuo na mmebahatika kupata ajira aidha kwenye sekta binafsi au za umma

Unapopata mshahara wako wa kwanza tafuta nyumba nzuri yenye hadhi, usitafute nyumba za hovyohovyo eti unabana mshahara ili ufanye maendeleo hapo baadae yatakukuta makubwa kabla hata hujafanya hayo maendeleo.

Umeajiriwa na level yako stashahada au shahada na mshahara wako labda ni kuanzia laki tano na kuendelea uwezo wa kula maini au nyama ya kuku unao lakini mazingira unayoishi wenyeji wako ni dagaa na mchicha kila siku aisee mkuu yatakukuta tafuta makazi yenye watu wa hadhi yako vinginevyo yatakukuta.......

Bado u mtoto, huna baya wala kosa.
 
Kama alikuonjea pisi yako msamehe itakuwa alimuelewa sana,tafuta nyingine pesa unayo.
sijawahi kugombea mwanamke na haiwezi kutokea maisha yangu yote....mwanamke ni kama nguo nzuri ukiwa na pesa utapata kulingana na pesa yako.
 
Back
Top Bottom