Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Kuna kitu kinaitwa mixed economy, masikini na matajiri wanategemeana. Capitalists waliliona hili, huwa wanajenga apartments katikati ya mji na kuweka flats chache wanaziita affordable flats kwa wasio na uwezo.

Tajiri anatengeneza biashara na masikini anategemea ajira katika biashara hizo..
 
kumbuka hao matajiri wote walikuwa masikini, na wewe tajiri wa leo unaweza kuwa masikini wa kesho. utakuja uambiwe uondoke pia.Mungu akusaidie.
 
Ubaya ni kwamba shetani hua halali anskusikiliza tu unavyo jisemesha ipo siku utsikumbuka hii kauli yako


Shetani si ndio hao masikini,
Najua hawalali huwaga wanasubiri anguko la tajiri au wanamfanyia hila ili aanguke, badala ya wao kuhangaika kuondoka kwenye huo umasikini walionao

Huyo Shetani ni boya Kama maboya wengine.

Wenye MUNGU wala hatusumbui
 
Umeongea ukweli kabisa..majiji yote tanzania serikali ichukue ardhi..kisha ijenge magorofa katika mpango mzuri wa mji..na kuyapangisha..yeyote atakaye taka kuja mjini haruhusiwi kujenga bali kuja kupanga..hapa serikali itapata pesa maisha yake yote.

#MaendeleoHayanaChama
 


Masikini tutakukatalia maana tutakuambia tunahaki ya kujenga Kama matajiri ilhali uwezo huo hatuna.

Tukijenga vibanda vyetu tunashindwa hata Kuzitunza Bustani, yaani kunakuwa Kama kuzimu.
Mitaa yetu masikini ni mfano halisi WA kuzimu
 
Shetani si ndio hao masikini,
Najua hawalali huwaga wanasubiri anguko la tajiri au wanamfanyia hila ili aanguke, badala ya wao kuhangaika kuondoka kwenye huo umasikini walionao

Huyo Shetani ni boya Kama maboya wengine.

Wenye MUNGU wala hatusumbui
Haya bwana maybe unaijua kesho yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…