West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
Nenda mwanayamala..manzese..mbagala..kisha toka nenda posta..masaki..ostabey..mbezi beach...ndio itajua umasikini ni laana.Masikini tutakukatalia maana tutakuambia tunahaki ya kujenga Kama matajiri ilhali uwezo huo hatuna.
Tukijenga vibanda vyetu tunashindwa hata Kuzitunza Bustani, yaani kunakuwa Kama kuzimu.
Mitaa yetu masikini ni mfano halisi WA kuzimu
Masikini wana roho mbaya sana, halafu wengi wao wanafikiri wakikuchukia na kukusema ndiyo wanaziba Neema ya Mungu kwako, Wasichojua kuwa wanapokuchukuia wanaziba rizki zao wenyewe. Mungu awape ufahamu.
Kwa nini serikali isitunyime kabisa vibali vya kuendelea kuishi tuwe waendazake tuwaache matajiri wale mema ya nchi ?
Nenda mwanayamala..manzese..mbagala..kisha toka nenda posta..masaki..ostabey..mbezi beach...ndio itajua umasikini ni laana.
#MaendeleoHayanaChama
Word,wenye akili kubwa watakuwa wamekuelewa...Tajiri wa mwaka 1970 aliyejenga mjini kati ndiye masikini wa leo hapo mjini kati na kijumba chake kinatakiwa kiondoke hapo kati...
Hata wale wanaojenga nje ya mji baada ya miaka kadhaa watajikuta wapo mjini kati, kama hawatoupdate nyumba zao ina maana mji utaonekana una masikini katikati ya mji.
Unforgettable
masikin n nan nan amekwambia masikin anaweza kukaaa mjin unawajua masikin wew jaribu kuficha ujinga wako
Word,wenye akili kubwa watakuwa wamekuelewa...
Mkuu Hiv hapa mjin Mamb meng hivo unawezaje kufatilia maisha ya Watu halafu ukiona mtu anajua mambo ya kichawi nayeye n mchawi ukiona mtu anajua Mamb ya kishetan nayeye n ndo kigagula shetan mwenyewSawa siwajui.
Lakini wanaviashiria vyote vya kishetani
Kwani serikali ikiua asilimia 50 ya masikini waliopo nchini si itakuwa imepunguza umasikini kwa asilimia 50 ?ππππ
Acha kuzira Mkuu na umasikini wako.
Mnatakiwa muendelee kuishi ili tuwatumikishe
Kwani serikali ikiua asilimia 50 ya masikini waliopo nchini si itakuwa imepunguza umasikini kwa asilimia 50 ?
Mkuu Hiv hapa mjin Mamb meng hivo unawezaje kufatilia maisha ya Watu halafu ukiona mtu anajua mambo ya kichawi nayeye n mchawi ukiona mtu anajua Mamb ya kishetan nayeye n ndo kigagula shetan mwenyew
TAIKON WA FASIHI kutoka DODOMA, ni kweli.
Haya masikini sio Mashetani tu, bali ni Magaidi. Hayafai kwa mijini na hata huku kwetu vijijini. Yanatambulika kwa kuwachochea masela kwa viroba ili wafanye fujo wakati wa uchaguzi. Kubwa lao linatambulika kwa FARU JOHN.
Miaka 30 sasa (tangu 1992), pamoja na ruzuku ya Serikali, yanapanga Ufipa, yameshindwa kujenga hata Ofisi moja nchini, sijui endapo ikatokea yakitawala nchi, yatatekeleza mradi upi?
Samahani, pamoja na kuandika haya, sisi matajiri tunatambua kuwa, hakuna maisha bila ushirikiano...haya Masikini/Mashetani tutaendelea kuishi nayo tu hadi yatakapo jitambua na kuingia uchumi wa kati.
NAPITA