Masikini wasipewe vibali kujenga mjini. Huchafua miji na vijumba vyao

Masikini tutakukatalia maana tutakuambia tunahaki ya kujenga Kama matajiri ilhali uwezo huo hatuna.

Tukijenga vibanda vyetu tunashindwa hata Kuzitunza Bustani, yaani kunakuwa Kama kuzimu.
Mitaa yetu masikini ni mfano halisi WA kuzimu
Nenda mwanayamala..manzese..mbagala..kisha toka nenda posta..masaki..ostabey..mbezi beach...ndio itajua umasikini ni laana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Word,wenye akili kubwa watakuwa wamekuelewa...
 
Serikali ingepima tu viwanja. Nyumba hata ikiwa ya mabati, ikiwa kwenye sehemu imepimwa hupendeza. Wakoloni waliwezaje?
 
TAIKON WA FASIHI kutoka DODOMA, ni kweli.

Haya masikini sio Mashetani tu, bali ni Magaidi. Hayafai kwa mijini na hata huku kwetu vijijini. Yanatambulika kwa kuwachochea masela kwa viroba ili wafanye fujo wakati wa uchaguzi. Kubwa lao linatambulika kwa FARU JOHN.

Miaka 30 sasa (tangu 1992), pamoja na ruzuku ya Serikali, yanapanga Ufipa, yameshindwa kujenga hata Ofisi moja nchini, sijui endapo ikatokea yakitawala nchi, yatatekeleza mradi upi?

Samahani, pamoja na kuandika haya, sisi matajiri tunatambua kuwa, hakuna maisha bila ushirikiano...haya Masikini/Mashetani tutaendelea kuishi nayo tu hadi yatakapo jitambua na kuingia uchumi wa kati.

NAPITA
 
Sawa siwajui.

Lakini wanaviashiria vyote vya kishetani
Mkuu Hiv hapa mjin Mamb meng hivo unawezaje kufatilia maisha ya Watu halafu ukiona mtu anajua mambo ya kichawi nayeye n mchawi ukiona mtu anajua Mamb ya kishetan nayeye n ndo kigagula shetan mwenyew
 
Mkuu Hiv hapa mjin Mamb meng hivo unawezaje kufatilia maisha ya Watu halafu ukiona mtu anajua mambo ya kichawi nayeye n mchawi ukiona mtu anajua Mamb ya kishetan nayeye n ndo kigagula shetan mwenyew


Nilishajitambulisha Mimi ni Masikini.

Shetani hafuatiliwi yeye ndiye anafuatilia
 


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Umetufokea Sana Ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…