Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Watu maskini, wajinga (waliokosa elimu), na wavivu ndio makundi ya watu waliokuwa wakifurahia harakati za Magufuli kutupeleka kwenye UJAMAA.

Hata.
UJAMAA hauwezi kufurahiwa na watu wenye bidii na vipawa katika utafutaji. Hata Wachina wanaukacha UJAMAA na kuanza kuishi kibepari, kila mmoja anakula kipawa na juhudi zake. Magufuli alipotumbua viongozi ilikuwa faraja kwa makundi hayo niliyoyataja, alipowafilisi mabosi kundi hili walishangilia.

Kundi hili kila siku linaishi likiamini kuwa matajiri wote ni mafisadi na wezi wa pesa zao. Kundi hili furaha yao ni kuona wa juu anashuka chini hata kama wao hawatapanda juu.

Umaskini mbaya wakuu.
 
Habari!
Watu maskini, wajinga (waliokosa elimu), na wavivu ndio makundi ya watu waliokuwa wakifurahia harakati za Magufuli kutupeleka kwenye UJAMAA.
Hata.
UJAMAA hauwezi kufurahiwa na watu wenye bidii na vipawa katika utafutaji.
Hata Wachina wanaukacha UJAMAA na kuanza kuishi kibepari, kila mmoja anakula kipawa na juhudi zake.
Magufuli alipotumbua viongozi ilikuwa faraja kwa makundi hayo niliyoyataja, alipowafilisi mabosi kundi hili walishangilia.
Kundi hili kila siku linaishi likiamini kuwa matajiri wote ni mafisadi na wezi wa pesa zao.
Kundi hili furaha yao ni kuona wa juu anashuka chini hata kama wao hawatapanda juu.
Umaskini mbaya wakuu.
Maisha ni kama sarafu yana pande mbili. Hata kwa sasa wapo wanaofurahia kufukuzwa kwa machinga mjini na kupanda kwa bei ya bidhaa kwa kisingizio cha vita.
Najua angekuwepo asingeruhusu utetezi huu. Kg moja ya unga wa mahindi tsh 2000 kutoka tsh 1000/-

Machinga wamepelekwa huko kusikojulikana. Nani kweli anaweza kwenda kununua kitana cha 500/_ kwa kupanda boda au dalalada kwa sh 2000?

Na ukweli ni kwamba wakati wa yule baba, watu walipiga kazi. Slogan ya hapa kazi tu iliwahamasisha sana!
Na kauli yake ya hakuna cha bure. Tofauti na sasa wanakula kwa urefu wa kamba! Wanatoa visingizio visivyo na tija na vinakubalika! Tofauti ya wenye nacho na wasionacho inazidi kuwa kubwa.
Nchi imegeuka kuwa uwanja wa michezo ya kubahatisha. Kila mahali cheza ushinde! Na hapo no hela zinakatwa pamoja na kodi. Na mtaani bado hali ni tete.

Hizo fedha zinakwenda wapi? Walahi, natamani huyu mama ajiuzulu hata leo na sio kwa chuki wala ubaya, bali kwa nia njema tu ya kuokoa taifa!

Wanadanganya watumishi nyongeza 23% kisha wanakuja na utetezi wa kima cha chini na kima cha juu. PAYE imeongezeka.
Yaani mtu anayeusifia huu utawala huenda yuko nje ya nchi au ni mlamba asali.

Japo hata walamba asali wapo wanaoisoma namba manaake mfumuko wa bei unagusa wote!
 
Habari!
Watu maskini, wajinga (waliokosa elimu), na wavivu ndio makundi ya watu waliokuwa wakifurahia harakati za Magufuli kutupeleka kwenye UJAMAA.
Hata.
UJAMAA hauwezi kufurahiwa na watu wenye bidii na vipawa katika utafutaji.
Hata Wachina wanaukacha UJAMAA na kuanza kuishi kibepari, kila mmoja anakula kipawa na juhudi zake.
Magufuli alipotumbua viongozi ilikuwa faraja kwa makundi hayo niliyoyataja, alipowafilisi mabosi kundi hili walishangilia.
Kundi hili kila siku linaishi likiamini kuwa matajiri wote ni mafisadi na wezi wa pesa zao.
Kundi hili furaha yao ni kuona wa juu anashuka chini hata kama wao hawatapanda juu.
Umaskini mbaya wakuu.
Maskini ni kupe,mzigo na hawaendi Mbinguni 👇
Screenshot_20220524-091900.png
 
Namaanisha kukua kiakili , na sio kiumri
Akilo yangu haiwezi kupimwa ukubwa wake kwa huo utopolo ulioandika. Kati ya ujamaa na ubepari kipi kinaleta uvivu. Yaaani taunze ku share kama tupp zama za communalism. Unataka tuishi zama za ujima.?? Ni hustle mimi ale mwingine. Hata dini zilosema asie fanya kazi asile. Mafanikio huja kwa wale wanao yapambania na sio baraka kama unavyotaka kutuaminisha. Jaribu kulala ungojee baraka pekee. Majibu utayapata
 
Back
Top Bottom