Hahaha.. Watu kama mtoa mada huwa wanakuta mtu ana RUNGU kisha yeye ndiyo anakuwa chakula!Akili finyu wewe mbona ndo wa kwanza kumuomba mtoko? Yeye akiomba maskini wewe ukiomba una akili we ndo maskini, mwanamke kama mwanaume hawezi kukuhudimia mkimbie,, hayo mambo kama huyawezi waachie wenyewe katafte pesa, umtie shombo sabuni manukato anunue mwenyewe, tafuta watoto wenzako mkacheze
Huyi ni askari mstaafu kwa jinsi alivyoigonga hiyo saluti. Salutation means acknowledgement kwqhiyo anakubali na alilolisema mtoa mada.
YeahHuyi ni askari mstaafu kwa jinsi alivyoigonga hiyo saluti. Salutation means acknowledgement kwqhiyo anakubali na alilolisema mtoa mada.
Sawa basi hakupendi.πNjaa plus hakupendi Kama mtu umwelewi kwanini unakubali kupokea pesa zake?
kwahiyo ulitaka mzigo upewe bila kutoa??Mbona wakipewa hivyo vitu wanapokea na mzigo wanatoa
Inategemea na makubaliano yao tangu awali πYeye akipewa mzigo anatoa nini π
Fungulia uzi hili wazo turirike nao piawakuu pia tujikumbushe nyodo za wanawake wanaojimudu kujilipia kila kitu unaweza ukajiona kidudumtu
Na hapo ukute na marinda hana. Fankalalake.Hana bikira halafu ni mnunulie simu ya laki5 ? Nikifikia stage hiyo nipelekwe milembe
Wewe kwenye mahusiano una mpa nn mwanaume zaidi ya sex ambayo wote mnaitaka..? Mkiitwa malaya mnasema hatuwaheshimu.Sasa kama hana unamfuata wanini ? Tafuta mwenye nayo ili ukidhi vigezo, halafu ukiwa na pesa lazima utafute wakutumia nawe, shida ni pale pesa zakuunga unga mtihani huanzia hapo, uwe na jioni njema.
Anauza huyo mkuu. Usipate tabu. Demu akishaanza mada za kuhudumiwa kutake care sijui support tupa kule anakuletea shida zake kwan hana wazazi wake. Tutahudumia wake zetu sio madangaPesa ni pesa iwe ya kuunga unga,ku losti,ama kuchemsha supu zote pesa. Kinachotutofautisha ni namna ya kuzitumia tu. Kama mnajiuza mwe na sema dau mapema tu siyo kuzunguka mbuyu bure. asubuhi njema