Vile hatujuani tu humu mngeona maajabu ya familia zao na dada zao walivyopauka alafu hapa anataka dinner na Hela hana eti mrembo jigharamikie mwenyewe matajiri wa wapi nyinyi? Nyinyi ni njaa Kali, huna kitu mwambie shida Yako hapo hapo acha mbwembwe.Kazi kuwasema sema watoto wa watu, dada zao hapana huku wamejaza magaga miguuni, halafu wale wanaosemaga vibaya wanawake au wasichana dada zao huwa wahovyo hovyo kweli.
Nimeelewa sana, Ulitakiwa umuulize yamkini hapo kuna kitu kilikuwa kina mic, msichana au mwanamke huwezi mwambia njoo nauli hii hapa , kuna vitu jamani lazima tuweke sawaUmeelewa nilicho andika mkuu? nilimtumia nauli 35,000 akitoa lazima angebaki na 32000 akasema ni ndgo sana hiyo nauli maana nauli kwenye gari ilikuwa 20,000 boda kwenda stend 2000 ten ya maji akasema ndogo nikarudisha muamala chaaaap
safari ya masaa5 unafika 10k haitoshi kula ? heri angesema kwa lugha nzuri lakini kukizalau hata kama ni kidogo ni dharau kubwa sanaNimeelewa sana, Ulitakiwa umuulize yamkini hapo kuna kitu kilikuwa kina mic, msichana au mwanamke huwezi mwambia njoo nauli hii hapa , kuna vitu jamani lazima tuweke sawa
Ha ha ha , matajiri hawahesabu , anatoa tu hata kabla yakwenda dinner anakwambia hiyo ni yamaandalizi ya kutoka na mie, sasa hizi pesa zakudunduliza Kisha kumtoa mrembo dinner wapi na wapi!Vile hatujuani tu humu mngeona maajabu ya familia zao na dada zao walivyopauka alafu hapa anataka dinner na Hela hana eti mrembo jigharamikie mwenyewe matajiri wa wapi nyinyi? Nyinyi ni njaa Kali, huna kitu mwambie shida Yako hapo hapo acha mbwembwe.
Yan anataka ww ndo uwatunze?😊Kuna mmoja kaniambia hana habari na X wake tena, sasa hivi anatafuta mtu wa kumsaidia yeye na watoto wake wawili basi.
Yaani analazimisha mambo sijui aliniona mi Muha.
Sasa hivi nimem-ghost kanikasirikia kama ananijua
Sawa masaa 5, ulishawahi mnunulia nguo ? Au kiatu kizuri ambacho anaweza kutokelezea? Vitu vingine sio mpaka akuombe unajiongeza tu.safari ya masaa5 unafika 10k haitoshi kula ? heri angesema kwa lugha nzuri lakini kukizalau hata kama ni kidogo ni dharau kubwa sana
Hiyo pesa ulitoa kwa manufaa Yako, uletewe hiyo kitu, akiomba hivi hivi utaitoa? Ilikuwa wewe umfuate ukaona mda wako Mali wa kwake si Mali ajabu, angekuja bila maswali mtu mzuri huyo, kasema Hela ndogo Malaya. Alooo.Umeelewa nilicho andika mkuu? nilimtumia nauli 35,000 akitoa lazima angebaki na 32000 akasema ni ndgo sana hiyo nauli maana nauli kwenye gari ilikuwa 20,000 boda kwenda stend 2000 ten ya maji akasema ndogo nikarudisha muamala chaaaap
Ndiyo anakukaribisha ukamsaidiye kutunzaKuna mmoja kaniambia hana habari na X wake tena, sasa hivi anatafuta mtu wa kumsaidia yeye na watoto wake wawili basi.
Yaani analazimisha mambo sijui aliniona mi Muha.
Sasa hivi nimem-ghost kanikasirikia kama ananijua
Huwezi kunipima kama naweza kuhudumia familia kwa kutaka nikusaidie matatizo yako binafsi huo ujinga wanafanya Simps, ukitanguliza maslahi binafsi ni straight red cardNdo maana ukitaka kuoa uchague, ukitaka kuolewa uchague, kwa hiyo wote mko kwenye mizani, ukipimwa wewe kelele, huwezi kugharamia mtoko familia utaiweza?
Jiwe limekupata ukiwa wapi ,naskia mayowe hapaKwani si huwa mnawatafuta wenyewe? Au hutuma maombi? Msichana yupo katulia lakini unaenda mchokonoa mwenyewe Kisha unarudi kulalamika, hiyo dinner mpeleke dada yako au shangazi yako.
Masaa màtani unayaona madogo mbona hujaenda wewe? Hiyo Hela ulituma ya kwake au gharama za safari?safari ya masaa5 unafika 10k haitoshi kula ? heri angesema kwa lugha nzuri lakini kukizalau hata kama ni kidogo ni dharau kubwa sana
Huwezi dharau hela yangu hata kama buku kama ndgo nambie ...hela ni sawa nimeipata lakini naomba niongee nahitaji hiki na kile ukisema in general kuwa sasa hela yako ulituma ndo hii nikitoa nabakiwa na 10k haitoshi kwa chochote heri unge acha tu. halafu nairudisha ili aisje analalamika tena. kwa sasa ndo kabisa nishakuwa mgalatia mnoo siwezi tuma zaidi ya ten.Hiyo pesa ulitoa kwa manufaa Yako, uletewe hiyo kitu, akiomba hivi hivi utaitoa? Ilikuwa wewe umfuate ukaona mda wako Mali wa kwake si Mali ajabu, angekuja bila maswali mtu mzuri huyo, kasema Hela ndogo Malaya. Alooo.
Umeona eee kusema ndogo malaya, mdada anavibiashara vyake anaviacha halafu eti nauli mpaka stend boda elf 2, kwahiyo hapo anabaki na elf 8, mazingira yakwao anayajua ? Pesa za kudunduliza wawachukue majirani zaoHiyo pesa ulitoa kwa manufaa Yako, uletewe hiyo kitu, akiomba hivi hivi utaitoa? Ilikuwa wewe umfuate ukaona mda wako Mali wa kwake si Mali ajabu, angekuja bila maswali mtu mzuri huyo, kasema Hela ndogo Malaya. Alooo.
Kaa Kando, kama Haina thamani mbona waifata? Ifate hiyo yenye thamani hizo sisizo na thamani waachie wenyewe.Huwezi kunipima kama naweza kuhudumia familia kwa kutaka nikusaidie matatizo yako binafsi huo ujinga wanafanya Simps, ukitanguliza maslahi binafsi ni straight red card
Unataka upewe huduma ya first class kwa K ipi uliyonayo , wahuni zaidi 10 washapita
Ungemfuata wewe? Au kama unaona gharama siachane na mambo ya wanawake?😀😀Huwezi dharau hela yangu hata kama buku kama ndgo nambie ...hela ni sawa nimeipata lakini naomba niongee nahitaji hiki na kile ukisema in general kuwa sasa hela yako ulituma ndo hii nikitoa nabakiwa na 10k haitoshi kwa chochote heri unge acha tu. halafu nairudisha ili aisje analalamika tena. kwa sasa ndo kabisa nishakuwa mgalatia mnoo siwezi tuma zaidi ya ten.
Ladha ni ileile hata hatoke wapi
Kabisa yaani.Umeona eee kusema ndogo malaya, mdada anavibiashara vyake anaviacha halafu eti nauli mpaka stend boda elf 2, kwahiyo hapo anabaki na elf 8, mazingira yakwao anayajua ? Pesa za kudunduliza wawachukue majirani zao
hapana sikuwahi mnunulia. Ndo ilikuwa siku ya kwanza kuja kukulana baadae alikuja kwa hela yake ilipita kama wiki hivi akaotea mwenyewe mi nilikata mzuka wa kumshobokea alipokuja alifanyiwa mengi mazuri kwa hiari yangu.Sawa masaa 5, ulishawahi mnunulia nguo ? Au kiatu kizuri ambacho anaweza kutokelezea? Vitu vingine sio mpaka akuombe unajiongeza tu.
Shida iko wapi Sasa?hapana sikuwahi mnunulia. Ndo ilikuwa siku ya kwanza kuja kukulana baadae alikuja kwa hela yake ilipita kama wiki hivi akaotea mwenyewe mi nilikata mzuka wa kumshobokea alipokuja alifanyiwa mengi mazuri kwa hiari yangu.
Wap nimesema naifuata k iliyo looseKaa Kando, kama Haina thamani mbona waifata? Ifate hiyo yenye thamani hizo sisizo na thamani waachie wenyewe.
Ungemaliza shida zako kwenye hiyo pesa Yako kama Ina thamani, pesa Ina thamani kuliko mtu? Eti siwezi tuma zaid ya ten, kweli nyinyi matajiri, aisee.Huwezi dharau hela yangu hata kama buku kama ndgo nambie ...hela ni sawa nimeipata lakini naomba niongee nahitaji hiki na kile ukisema in general kuwa sasa hela yako ulituma ndo hii nikitoa nabakiwa na 10k haitoshi kwa chochote heri unge acha tu. halafu nairudisha ili aisje analalamika tena. kwa sasa ndo kabisa nishakuwa mgalatia mnoo siwezi tuma zaidi ya ten.
Ladha ni ileile hata hatoke wapi