Masoud Kipanya adaiwa kukamatwa kwa kuchora katuni ya kichochezi. Yeye aibuka, adai aliyetoa taarifa 'AMESAIDIA'

hii nchi kila kitu kinachukuliwa serious
 
Ni bora angechora kabisa Kibonzo, akionesha Kombora likielekezwa Magogoni..![emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji111] [emoji111]
 
Khaaa masoud fala sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
wanampa promo tu. akitoka tunaomba atuchoree kikatuni cha watu wa gerezani au lockup, kwasababu kule atakutana na mengi sana yatakayoendeleza taaluma yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…