Humvee?Ni gari aina gani hii mkuu.Humvee Ina ufahari gani
Wivu huoHummer siyo gari ya kifahari kihivyo, kama ukiweza kununua RAV2 unaweza pia kununua Hummer iliyotumika, na kuiwekea Mafuta siyo ishu unaweza kuitumia mara 2 kwa wiki!
Mpo wengi. Watu kama nyie hata baiskeli hamnaHammer sio fashion tena ni sawa na kuendesha discover ya miaka 20 nyuma. But kwa gari hiyo naamini haendi hata mkoa ni trip town tu
Acha upuuzi so unataka ujue source ili iweje ww kama naniTuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti
eh eh dah neno kuntu sana hiliNi ushujaa kumfukuza simba akatokomea lakini chondechonde usianze kufuata nyayozake utaumia ndugu!
Inaonekana wewe unajua elimu Akhera tu.Hata hivo huyu jamaa kwenye katuni zake ni bingwa wa kuichafua serikali kwahiyo haikosi analipwa ila alipwe asilipwe hakika be dhambi kubwa kurumia neema mungu aliyokupa bure kuwaudhi watu kwakutumia rasilimali ya umri ambao huna uhakika wa kuishi hata dakika moja mbele utajiri wako wadunia waharamu wakuwachafua watu nibure kwamungu sijui utakuwa Na mema kiasi kutosha kuwalipa watu uliowatesa kwa kuwachora vibaya ndo nyinyi mtajikuta ulifanya mema mengi ila ukajisahau kwa kufanya mabaya mengi uliyotegemea pengine ni utani au mungu hakuoni ila kumbuka hakuna ulichopewa ambacho hakina hesabu hatua zako kwa hesabu pumzi zako kwa hesabu maongezi yako kila kitu kwa hesabu nasasa ili usijikute umenyanganywa vyote Na akina magufuli siku ya kiama anza kujirekebisha sasa ndugu yangu.
Usisahau kuweka into your consideration kitu inaitwa INFLATIONMaisha ni Malengo,,chukulia jamaa ameanza kuweka akiba ya 150000 kwa mwezi Kuanzia mwaka 2000 mpaka sasa atakuwa na shs ngapi?? Piga hesabu.
Umetumwa kuendelea kumshughulikia baada ya zoezi la kuteka kukwama!? Chunguzeni vyanzo vyake kama katuni, MaishaPlus,ajira Clouds etc.Habari yenu wakuu,
View attachment 686139
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kipanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nimemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
anaona pesa ni kama mabox tu nn unayapanga...huna matumizi huna nnUsisahau kuweka into your consideration kitu inaitwa INFLATION
Hahah aisee elimu ya pesa inahitajika kwa watu wengianaona pesa ni kama mabox tu nn unayapanga...huna matumizi huna nn
Acha umbea.MIXOLOGIST,
Wivu kivipi?
Tujue biashara yake, mbona yeye huuliza yasiyomuhusu.
Watu tunajua vizuri, sana huyu jamaa.
Tangu alipokuwa anakaa komakoma.
Uanze we utambie una biashara gani.Tuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti