Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

Wewe una mawazo machache sana hotokaa uendelee daima uchawi sio lazima tunguri
 
Mbona na Mimi namiliki Bajaji haunitengenezei Threads yangu ya Mmiliki wa Bajaji
 
Tuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti
Acha upuuzi so unataka ujue source ili iweje ww kama nani
 
Hata hivo huyu jamaa kwenye katuni zake ni bingwa wa kuichafua serikali kwahiyo haikosi analipwa ila alipwe asilipwe hakika be dhambi kubwa kurumia neema mungu aliyokupa bure kuwaudhi watu kwakutumia rasilimali ya umri ambao huna uhakika wa kuishi hata dakika moja mbele utajiri wako wadunia waharamu wakuwachafua watu nibure kwamungu sijui utakuwa Na mema kiasi kutosha kuwalipa watu uliowatesa kwa kuwachora vibaya ndo nyinyi mtajikuta ulifanya mema mengi ila ukajisahau kwa kufanya mabaya mengi uliyotegemea pengine ni utani au mungu hakuoni ila kumbuka hakuna ulichopewa ambacho hakina hesabu hatua zako kwa hesabu pumzi zako kwa hesabu maongezi yako kila kitu kwa hesabu nasasa ili usijikute umenyanganywa vyote Na akina magufuli siku ya kiama anza kujirekebisha sasa ndugu yangu.
Inaonekana wewe unajua elimu Akhera tu.
 
Maisha ni Malengo,,chukulia jamaa ameanza kuweka akiba ya 150000 kwa mwezi Kuanzia mwaka 2000 mpaka sasa atakuwa na shs ngapi?? Piga hesabu.
Usisahau kuweka into your consideration kitu inaitwa INFLATION
 
Kwani kila anaeendesha gari ni lakwake mjomba?, acha hizo wewe.
 
Habari yenu wakuu,
View attachment 686139
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kipanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.

Juzi kati alinipita na gari la kifahari la aina yake, nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nimemuona nikamzoom akaingia kati nikamfotoa kwa mbali.

Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?

Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.

Juzi kati alitekwa. Hajasema kwanini alitekwa, hajasema walikuwa wanamdai nini wala hajasema amewapa nini wakamuachia.
Umetumwa kuendelea kumshughulikia baada ya zoezi la kuteka kukwama!? Chunguzeni vyanzo vyake kama katuni, MaishaPlus,ajira Clouds etc.
 
Fanya kazi acha kufatilia maisha ya watu utakufa masikini, Fanya unachokiweza usipende kujua flani anaishije haikusaidii kitu
 
MIXOLOGIST,
Wivu kivipi?
Tujue biashara yake, mbona yeye huuliza yasiyomuhusu.
Watu tunajua vizuri, sana huyu jamaa.
Tangu alipokuwa anakaa komakoma.
Acha umbea.

Pambana na hali yako,

Hivi unadhan ukiijua kazi yake itakusaidia nn?
 
Tuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti
Uanze we utambie una biashara gani.

Umwage humu vielelezo vyote

Kisha, tuendelee na masoud

Huo umbea wako, bakisha huko huko kibarazani.

Hili taifa linahitaj wachapa kazi na sio wachapa umbea.

Fanya kazi,ingiza kipato chako.

Umbea, wivu wa kijinga na roho ya kwanini havikusaidii chochote.

###pambana na hali yako####
 
fanya yako acha kufuatilia na nan anamiliki si vyke mbn ww hufuatiliwi watanzania badilikeni
 
Huna akili wewe, badala ya kufanya kazi umekazana kuchunguza maisha ya watu. Tulikuwa tunasema wanawake ni wambea ila baadhi ya wanaume kama wewe ni zaidi ya mwanamke kwa umbea. Fanya kazi Acha kufuatilia maisha ya watu, Eti hummer. ... wewe unashangaa Hummer! Jifunze kuwekeza, tumia muda wako kama pesa, achana na starehe Muamini Mungu huo utajiri utaona asubuhi. .ACHANA NA MAJUNGU ETI AHOJIWE WEWE NI NANI KWANZA?
 
Back
Top Bottom