Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
KUMCHUKIA TAJIRI HAKUKUFANYI UWE TAJIRI!!Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
kuwa mpole mate mambo mengi yalianzia hapaMnatoa wapi muda wa kufuatilia maisha ya watu nyie au mnalipwa kwa kufanya hivyo?
Laiti ningekuwa na huo muda ningefuatilia yenu mnaofuatilia watu.
Naona ndiyo furaha yao... kesho utaskia anachunguzwa.kuwa mpole mate mambo mengi yalianzia hapa
Na wewe una nini?Masoud kipanya ni wa siku nyingi. Nimefanya kazi nae BTL 1994 so kama amefanya kazi miaka yote hiyo kwanini asiwe na pesa?
Habari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Ina weza isiwe gari ya kifahari lakini ikawa gari ghali ana Hammer H3, yeye ndiye Celeb anae tumia gari ya gharama kuliko wote Tz kwa Taarifa za mwaka wa jana.Hummer siyo gari ya kifahari kihivyo, kama ukiweza kununua RAV2 unaweza pia kununua Hummer iliyotumika, na kuiwekea Mafuta siyo ishu unaweza kuitumia mara 2 kwa wiki!
Nadhani mkuu hizi ni chuki binafsi tuu si hammerIla yeye anawashwa na kuchora.
Biashara yake pale komakoma kwani haijulikani.
Kipindi yupo na mchepuo wake Nagris Mohamedi aka Pani.
Na isitoshe mjin kichwa chako ndo kila kitu chako.Ana mambo na miradi mingi sana town;
1, Program ya maisha plus ilimpa hela nyingi
2, Katuni zake zinamuingizie hela kibao
3, Ni moja ya watangazaji ghali tz
4, Amewekeza kwenye kilimo pia
Sasa mwenzangu na mm utegemee kamshahara ka scale E au D utegemee kudrive Hammer?
Kwanini huo mda unaotumia kumchunguza Masoud,,usiutumie kufanya mambo yako ya msingi,,kwanini kila siku ni sisi waafrikaHabari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.
Pia ana project za taasisi mbalimbali ana fanya km matangazo, Logo nkKatuni inampa hela
Akili za kimaskini hizi so Masoud akinunua hammer na wewe unanunua hammerwewe una hammer ??
aHabari yanu wakuu,
Mimi nmeanzisha hii thread kutaka kujua ni biashara gani huyu Masoud Kpanya anafanya Mjini Dar. Haiwezekani mtoto mdogo awe anaendesha magari ya kifahari kwa kipato cha kuchora Katuni za Mwananchi.
Juzi kati alinipita na gari la kifahari nikajaribu kumpiga picha akaniacha alikuwa speed. Sasa leo nmemuona nikamzoom nikamfutoa kwa mbali.
Je katuni zinalipa kiasi hicho? Au naye ana wafadhili? Mbona hajioneshi kama anahela za kununua magari ya kifisadi?
Mwenye kujua katoa wapi hela. Au Mambosasa amuite amhoji tujue.