Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

Massive Two Rivers mall in Nairobi aggressively conquers East & Central Africa shopping experience

Ukiongea na watu ambao hawajatoka nje ya 18 yao utaona wanavyo fikiri. Vijengo kidogo hapa na nape basi ndio washatoboa. Wakati sehemu nyingine haya ni mambo ya kawaida tena hata hawayafikirii. Japan, south korea, Scandinavia, hata Australia wananchi wanaishi maisha ya kawaida sana bila maringo wala nini. Leo hii mtu anakuambia wana ma-dollar millionaire wengi, wakati wanasahahu poor million's wanaongezeka kila siku. Watz tunafikiriaga tofauti sana na wengine ndio maana hawatakuja kutuelewa.
usijipe moyo wewe...hayo mamalls ni dalili ya kuwa uchumi unaenuka.naona hapo umetaja kina australia na japan.hao walikuwa kitambo ndio sijambo la kushangaza ila kwetu ni hatua tumepiga..watz wenzako walipiga fujo juu ya rock city then wasema mwafikiria tofauti..uache unafiki na upatie pongezi zinapostahili
 
Wakenya wengi ni malimbukeni sana... Wanafurahia hayo mammals mengi wakati wengi wao wanapita kushangaa fahari ya macho uwez wa kununua hawana.. Kwani nani hajui ya kuwa wazungu na wa Asia ndio wateja wakubwa wa hayo mammals.. Alaf hata bidhaa zinazouzwa kwenye hayo majumba zaidi ya 50% ni bidhaa za wazungu na wa Asia sasa ninyi mwajivunia nn? Wakenya ni shida sana nafikir ugumu wa maisha ndio umewafanyia wawe na akil zile za bora kuzaliwa mbwa ulaya..
 
Wakenya wengi ni malimbukeni sana... Wanafurahia hayo mammals mengi wakati wengi wao wanapita kushangaa fahari ya macho uwez wa kununua hawana.. Kwani nani hajui ya kuwa wazungu na wa Asia ndio wateja wakubwa wa hayo mammals.. Alaf hata bidhaa zinazouzwa kwenye hayo majumba zaidi ya 50% ni bidhaa za wazungu na wa Asia sasa ninyi mwajivunia nn? Wakenya ni shida sana nafikir ugumu wa maisha ndio umewafanyia wawe na akil zile za bora kuzaliwa mbwa ulaya..
Ngongele Msanga Go https://jamii.app/JFUserGuide yourself in a Danganyikan corner
True Very true

Skuizi asians and wazungu are really black

Here is Garden city mall Nairobi The Second largest mall in East and central Africa

Look at all those asians and whites

1477302325598.jpg
1477302336579.jpg
1477302343155.jpg
1477302347191.jpg
1477302351191.jpg
1477302356990.jpg
1477302362103.jpg
1477302368290.jpg
1477302379459.jpg
1477302385289.jpg
1477302398719.jpg
1477302407329.jpg
1477302411469.jpg
 
Ngongele Msanga Go **** yourself in a Danganyikan corner
True Very true

Skuizi asians and wazungu are really black

Here is Garden city mall Nairobi The Second largest mall in East and central Africa

Look at all those asians and whites

View attachment 423415View attachment 423416View attachment 423417View attachment 423418View attachment 423419View attachment 423420View attachment 423421View attachment 423422View attachment 423423View attachment 423424View attachment 423425View attachment 423426View attachment 423427

hahahaha hapo sawa bro! let them know!
 
Wakenya wengi ni malimbukeni sana... Wanafurahia hayo mammals mengi wakati wengi wao wanapita kushangaa fahari ya macho uwez wa kununua hawana.. Kwani nani hajui ya kuwa wazungu na wa Asia ndio wateja wakubwa wa hayo mammals.. Alaf hata bidhaa zinazouzwa kwenye hayo majumba zaidi ya 50% ni bidhaa za wazungu na wa Asia sasa ninyi mwajivunia nn? Wakenya ni shida sana nafikir ugumu wa maisha ndio umewafanyia wawe na akil zile za bora kuzaliwa mbwa ulaya..

boss! Kenya si danganyika. Tuheshimiane tafadhali.
10504986_887270511287755_5174477421649563797_o.jpg

IMG_5865.jpg

IMG_5586.jpg
 
kwelko hawa manguchi wanadhan tuko ligi moja !!

Westgate juzi tu imevaamiwa tayari isha open
1477304296277.jpg
1477304311880.jpg
1477304321131.jpg
 
usijipe moyo wewe...hayo mamalls ni dalili ya kuwa uchumi unaenuka.naona hapo umetaja kina australia na japan.hao walikuwa kitambo ndio sijambo la kushangaza ila kwetu ni hatua tumepiga..watz wenzako walipiga fujo juu ya rock city then wasema mwafikiria tofauti..uache unafiki na upatie pongezi zinapostahili

Capital Centre hii hapa.
3063562904_0c8c0c0124_b.jpg
1932376985_07558e5ecb_b.jpg

3062734041_3fb12dec20_b.jpg
 
Woooooah!! [emoji32][emoji32][emoji32][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji33] this thing is massive ......and its not even Half the size of that south african mall-Mall of africa ......when we get a 200,000m2 mall ntatii
 
Two rivers mall more updates i heard they will officially call it eti Mall of Kenya .....
1477308156883.jpg
1477308167287.jpg

water fountains Under construction
1477308173957.jpg
1477308202566.jpg
Two rivers Ceilings
1477308220736.jpg
1477308266496.jpg
1477308276176.jpg
 
Hata ufalme wa mbinguni wakenya mlisha jenga tayari. Hivi vitu mnavyo onyesha hapa ndio ina define ukenya wenu? Kama wakenya bado mnatafuta Euro bond zilipotelea wapi, look no further.
 
Ndugu zangu Wakenya, hamuhitaji kujaza mate humu mnasifia majengo ambayo 70% ya customers sio nyie... hii inatarget market gani kama sio wazungu wahindi na foreigners working in Kenya? Wakenya wengi choka mbaya, wamechoka kazi yao kupiga midomo mitandaoni tu. Mtaishia kwenda kupiga selfie tu nakuposti busy shopping... Yaani mna sifa za kitoto ..duh, embu kafanyeni kazi huko
 
Uzuri maisha yao twayajua watujengee tu sie wageni tukaspend
 
Ndugu zangu Wakenya, hamuhitaji kujaza mate humu mnasifia majengo ambayo 70% ya customers sio nyie... hii inatarget market gani kama sio wazungu wahindi na foreigners working in Kenya? Wakenya wengi choka mbaya, wamechoka kazi yao kupiga midomo mitandaoni tu. Mtaishia kwenda kupiga selfie tu nakuposti busy shopping... Yaani mna sifa za kitoto ..duh, embu kafanyeni kazi huko
hivi visababu vyenu bado havijaisha..umeangalia izo picha za wazungu na warabu hapo juu wakiwa garden city,galleria.the hub,capital center...nadhani samuel999 amewaonyesha.tafuteni visababu vingine..this is getting really old
 
Uzuri maisha yao twayajua watujengee tu sie wageni tukaspend
hivi una akili kweli...wajenge mall kenya kwa sababu ya nyinyi wageni kutoka tz mje mspend?huoni ingekuwa rahisi kuijenga huko bongoland kama mwaspend sana....bure kabisa!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom