Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Why Wasukuma kwenye nini ? Wewe ndio umeanza kuleta Wasukuma, wakati hakuna mtu aliyetaja hao watu
Masudi Kipanya kawashambulia kwenye katuni yake na nyinyi Chadema mnampa sapoti.
 
Sukuma ndio kabila kubwa, lenye heshima na wapambanaji. Wape pole Chadema na wanasiasa wengine wanaoangaika kuwachafua maana sioni watachofaulu.

Kwa taarifa yako wasukuma wanaikubali CHADEMA angalia Geita mjini pamoja na wizi wa kijinga CHADEMA walipata kura ngapi?. Kamuulize Mpina alishindwa atakuambia, ilibidi itumike nguvu ya dola. Acheni kuleta ukabila Tanzania. Acheni ujinga.
 
Amemshambulia msukuma gani kwa kusema Hakuna Sukuma genge?. Wewe ulitaka usikie lipo Sukuma gang ndio hufurahie maana mnautukuza ukabila utadhani Nini.
Huwezo wako ni mdogo wa tafsiri sio kosa lako.
" Karne ya 21 mnataja makabila!?" Nyerere
 
Kwa taarifa yako wasukuma wanaikubali CHADEMA angalia Geita mjini pamoja na wizi wa kijinga CHADEMA walipata kura ngapi?. Kamuulize Mpina alishindwa atakuambia, ilibidi itumike nguvu ya dola. Acheni kuleta ukabila Tanzania. Acheni ujinga.
Kwa hiyo mnawatukana na kwashambulia kila siku sukuma gang sukuma gang sababu gani?
 
Hapana huu si utani, huu ni ubaguzi na muendelezo wa mashambulizi kwa wasukuma. Ni wapole ila kuna siku watachoka watajibu.

Watamjibu Nani?. Usituletee mambo ya ukabila huku bongo, hatujalelewa hivyo. Makabila yanataniana Wala hayagombani, ije I we leo?.
 
Watamjibu Nani?. Usituletee mambo ya ukabila huku bongo, hatujalelewa hivyo. Makabila yanataniana Wala hayagombani, ije I we leo?.
Sawa endeleeni kuwatania sukuma gang aka wasukuma
 
Huwezo wako ni mdogo wa tafsiri sio kosa lako.
" Karne ya 21 mnataja makabila!?" Nyerere

Tafsiri yako ndio unataka iwe sahihi na wote waifuate? Kweli wewe kilaza wa mwisho darasani.
 
Kwa hiyo mnawatukana na kwashambulia kila siku sukuma gang sukuma gang sababu gani?

Sukuma gang ni kundi la kufikilika la watu waliokuwa karibu na Rais Magufuli. Aliyebuni Hilo jina alimaanisha kundi na sio kabila. Ndio maana akatumia Sukuma gang Kama label. Na alikuwa motivated na hamonize aliyeanzisha label yake ya Konde gang lakini sio wote walioko kwenye label ni wa makonde. Vitu vingine ni kujifurahisha nashangaa wewe umeipeleka kwenye machafuko.
 
Kosa ni kuaddress kabila la wasukuma, kuanza kupoint kabilas ni mwanzo wa chuki na uhasama. Anyways tangu nipate story zako kuwa wewe si rizki basi nakupuuza tu.

Mbona hamornize ana Konde gang na wamakonde hawajaja juu.
 
Lugha pale ikulu ilikuwa kisukuma hata walinzi wengi walikuwa wasukuma hata kuna waziri alizungumza kisukuma live wabeja baba

Kuna mbunge mmoja akataka kisukuma kiwe Lugha ya biashara Tanzania. Nilishangaa Sana. Akaleta kabisa maoni bungeni.
 


Mbona kaandika "Sukuma GENGE"" na sio "Sukuma GANG"??!! u mimi sijui kusoma?? Hata hivyo anadai huyo cartoon anasema sukuma genge halipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…