Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Masudi Kipanya akemewe kabla hajaleta machafuko kama Lars Vilks

Lugha pale ikulu ilikuwa kisukuma hata walinzi wengi walikuwa wasukuma hata kuna waziri alizungumza kisukuma live wabeja baba
Wasukuma ni watanzania hawazuiwi kuzungumza kisukuma.
 
Wanaposhambuliwa Wachaga huwa unajidai hujui kusoma?Au wengine wakiitwa nyumbu unafurahi?Furahi tena.Kwani sukuma maana yake siyo lulazimisha kitu bila akili kijongee? 😂
Nioneshe katuni iliyowai chorwa ikitaja kabila la wachaga. Nikuoneshe ofisi ya Chadema yenye choo cha kuflash.
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357

Anza na harmonize yeye ana Konde gang.
 
Mtoa mada Kipanya kaongelea Sukuma genge (kikundi) na si kabila la wasukuma
 
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.

Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.

Sukuma gang = Wasukuma

View attachment 2568357
Sijivunii kuwa JF na mtu kama wewe.
 
Back
Top Bottom