Mkumbushe mwendazake" Watanzania msianze kutajana kwa makabila" Nyerere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkumbushe mwendazake" Watanzania msianze kutajana kwa makabila" Nyerere
Wengine akina naniBahati nzuri wasukuma sio magaidi kama wale wengine
Wewe ndio umeleta ukabila sehemu ambayo haina ukabila" Watanzania msianze kutajana kwa makabila" Nyerere
Nioneshe katuni iliyowai chorwa ikitaja kabila la wachaga. Nikuoneshe ofisi ya Chadema yenye choo cha kuflash.Wanaposhambuliwa Wachaga huwa unajidai hujui kusoma?Au wengine wakiitwa nyumbu unafurahi?Furahi tena.Kwani sukuma maana yake siyo lulazimisha kitu bila akili kijongee? 😂
Wakemewe kwanza hawa.hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM
Unarudi kulekule.Unatetea hili halafu unawananga wengine.Sukuma gang ni tatizo siyo changamoto tena.Nioneshe katuni iliyowai chorwa ikitaja kabila la wachaga. Nikuoneshe ofisi ya Chadema yenye choo cha kuflash.
Utani wa kawaida sana...Ndio kwa kuwa wanaoshambuliwa ni Wasukuma.
Rubbish.Kosa ni kuaddress kabila la wasukuma, kuanza kupoint kabilas ni mwanzo wa chuki na uhasama. Anyways tangu nipate story zako kuwa wewe si rizki basi nakupuuza tu.
Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357
Sukuma ni kibwagizo cha wimbo wa Dokta Remmy Ongala.Sukumaaaa...waaa!Ndio kwa kuwa wanaoshambuliwa ni Wasukuma.
Ish! Mbona linatumika sana na watu wengi ambao sio wasukuma? Mimi sio Msukuma ila natumiaWasukuma ni kabila. Ish! ni kibwagizo cha wasukuma. Masudi anashambulia wasukuma. Period
Wanyamwezi hata Wagogo hutumia neno "iishii" kuleta hisia ya mshangao.Ish! Mbona linatumika sana na watu wengi ambao sio wasukuma? Mimi sio Msukuma ila natumia
HahahaSukuma haina maana moja tu ya kabila!!Kwani wewe si huwa una SUKUMA mavi wakati wa kunya??
Sijivunii kuwa JF na mtu kama wewe.Lars Vilks ni mchora katuni maarufu ambaye aliingiza dunia kwenye machafuko mpaka kutokea vifo na migogoro mikubwa baada ya kuchora katuni ya kumkashifu Mtume Muhammad SAW. Cartoonist huyu ambaye kwa sasa ni marehemu alifikia hapo baada ya kunyamaziwa kwa muda mrefu akaona anayo haki ya kuchora chochote na kudhalilisha yoyote kwa mgongo wa uhuru wa habari.
Hiki ndio ameanza kukifanya Masudi Kipanya anaetumia katuni zake kushambulia kabila la WASUKUMA. Tumkemee sasa kabla hajaamsha hisia za ukabila ambazo zinaenezwa sasa na wanasiasa wa Chadema na wachache ndani ya CCM. Mashambulizi dhidi ya kabila fulani hayapaswi kushabikiwa na mtu yoyote yule kwa maana kuna ku-fight back hapo ndio uja machafuko au kugawana fito.
Sukuma gang = Wasukuma
View attachment 2568357