Maswa: Wakazi elfu 10 kunufaika na mradi wa maji wa Rais Samia wa Isulilo

Maswa: Wakazi elfu 10 kunufaika na mradi wa maji wa Rais Samia wa Isulilo

MRADI wa Maji ya bomba wa kijiji cha Isulilo katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kuwanufaisha wananchi wapatao 10,497.

Mradi huo unatekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) kwa ufadhili wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Meneja wa Ruwasa wilaya ya Maswa,Mhandisi William Boniphace alisoma taarifa ya mradi huo kwa wajunbe wa kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)mkoa wa Simiyu amesema kuwa wananchi watakaonufaika ni wa vijiji vya Isulilo,Mwamihanza na Ngingwa.

Mhandisi Boniphace amesema kuwa hadi sasa kazi zilizofanyika katika mradi huo ni pamoja na ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa Lita 90,000 katika mnara wa mita 15,Ujenzi wa vituo 10 vya kuchotea maji,Ununuzi wa pampu za kusukuma maji na Ulazaji wa bomba umbali wa Kilomita 15.426

Akielezea gharama za Mradi huo amesema kiasi cha Sh 462,813,735 zimetumika katika mradi huo na tayari chombo cha watoa huduma ya maji ngazibya jamii kimeundwa na kusajiliwa kwa lengo la kuufanya mradi huo kuwa endelevu.

Aidha Mhandisi Boniphace ameeleza kuwa mpango mkakati wa Ruwasa ni kuongeza huduma ya maji kwa kupeleka katika kijiji cha Kidema na hiyo imewekwa kwenye bajeti ya mwaka 2021/2022.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoa wa Simiyu,Emanuel Gungu Silanga ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa kamati hiyo iliyotembelea mradi huo aliipongeza Ruwasa kwa utekelezaji wa mradi huo.

Sambamba na pongezi hizo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walitoa ushauri kwa Ruwasa kuangalia gharama za kuwauzia wananchi maji kwa ndoo moja ziwe za chini ili wananchi wengi waweze kunufaika na mradi huo ambao tayari umeanza kutumika.

View attachment 2053248
Kaziiendelee Tanzania na Samia
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
MRADI wa Maji ya bomba wa kijiji cha Isulilo katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kuwanufaisha wananchi wapatao 10,497.

Mradi huo unatekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) kwa ufadhili wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Meneja wa Ruwasa wilaya ya Maswa,Mhandisi William Boniphace alisoma taarifa ya mradi huo kwa wajunbe wa kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)mkoa wa Simiyu amesema kuwa wananchi watakaonufaika ni wa vijiji vya Isulilo,Mwamihanza na Ngingwa.

Mhandisi Boniphace amesema kuwa hadi sasa kazi zilizofanyika katika mradi huo ni pamoja na ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa Lita 90,000 katika mnara wa mita 15,Ujenzi wa vituo 10 vya kuchotea maji,Ununuzi wa pampu za kusukuma maji na Ulazaji wa bomba umbali wa Kilomita 15.426

Akielezea gharama za Mradi huo amesema kiasi cha Sh 462,813,735 zimetumika katika mradi huo na tayari chombo cha watoa huduma ya maji ngazibya jamii kimeundwa na kusajiliwa kwa lengo la kuufanya mradi huo kuwa endelevu.

Aidha Mhandisi Boniphace ameeleza kuwa mpango mkakati wa Ruwasa ni kuongeza huduma ya maji kwa kupeleka katika kijiji cha Kidema na hiyo imewekwa kwenye bajeti ya mwaka 2021/2022.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoa wa Simiyu,Emanuel Gungu Silanga ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa kamati hiyo iliyotembelea mradi huo aliipongeza Ruwasa kwa utekelezaji wa mradi huo.

Sambamba na pongezi hizo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walitoa ushauri kwa Ruwasa kuangalia gharama za kuwauzia wananchi maji kwa ndoo moja ziwe za chini ili wananchi wengi waweze kunufaika na mradi huo ambao tayari umeanza kutumika.

View attachment 2053248
Kuna siku anavaa kitambaa chekundu kichwani na kuna siku anavaa kitambaa cheusi kichwani sasa mwenye kujua tofauti za hayo mavazi tafadhali?
 
MRADI wa Maji ya bomba wa kijiji cha Isulilo katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kuwanufaisha wananchi wapatao 10,497.

Mradi huo unatekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) kwa ufadhili wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Meneja wa Ruwasa wilaya ya Maswa,Mhandisi William Boniphace alisoma taarifa ya mradi huo kwa wajunbe wa kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)mkoa wa Simiyu amesema kuwa wananchi watakaonufaika ni wa vijiji vya Isulilo,Mwamihanza na Ngingwa.

Mhandisi Boniphace amesema kuwa hadi sasa kazi zilizofanyika katika mradi huo ni pamoja na ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa Lita 90,000 katika mnara wa mita 15,Ujenzi wa vituo 10 vya kuchotea maji,Ununuzi wa pampu za kusukuma maji na Ulazaji wa bomba umbali wa Kilomita 15.426

Akielezea gharama za Mradi huo amesema kiasi cha Sh 462,813,735 zimetumika katika mradi huo na tayari chombo cha watoa huduma ya maji ngazibya jamii kimeundwa na kusajiliwa kwa lengo la kuufanya mradi huo kuwa endelevu.

Aidha Mhandisi Boniphace ameeleza kuwa mpango mkakati wa Ruwasa ni kuongeza huduma ya maji kwa kupeleka katika kijiji cha Kidema na hiyo imewekwa kwenye bajeti ya mwaka 2021/2022.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoa wa Simiyu,Emanuel Gungu Silanga ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa kamati hiyo iliyotembelea mradi huo aliipongeza Ruwasa kwa utekelezaji wa mradi huo.

Sambamba na pongezi hizo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walitoa ushauri kwa Ruwasa kuangalia gharama za kuwauzia wananchi maji kwa ndoo moja ziwe za chini ili wananchi wengi waweze kunufaika na mradi huo ambao tayari umeanza kutumika.

View attachment 2053248
Kaziindelee vizuri Sana
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
MRADI wa Maji ya bomba wa kijiji cha Isulilo katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kuwanufaisha wananchi wapatao 10,497.

Mradi huo unatekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) kwa ufadhili wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Meneja wa Ruwasa wilaya ya Maswa,Mhandisi William Boniphace alisoma taarifa ya mradi huo kwa wajunbe wa kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)mkoa wa Simiyu amesema kuwa wananchi watakaonufaika ni wa vijiji vya Isulilo,Mwamihanza na Ngingwa.

Mhandisi Boniphace amesema kuwa hadi sasa kazi zilizofanyika katika mradi huo ni pamoja na ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa Lita 90,000 katika mnara wa mita 15,Ujenzi wa vituo 10 vya kuchotea maji,Ununuzi wa pampu za kusukuma maji na Ulazaji wa bomba umbali wa Kilomita 15.426

Akielezea gharama za Mradi huo amesema kiasi cha Sh 462,813,735 zimetumika katika mradi huo na tayari chombo cha watoa huduma ya maji ngazibya jamii kimeundwa na kusajiliwa kwa lengo la kuufanya mradi huo kuwa endelevu.

Aidha Mhandisi Boniphace ameeleza kuwa mpango mkakati wa Ruwasa ni kuongeza huduma ya maji kwa kupeleka katika kijiji cha Kidema na hiyo imewekwa kwenye bajeti ya mwaka 2021/2022.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoa wa Simiyu,Emanuel Gungu Silanga ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa kamati hiyo iliyotembelea mradi huo aliipongeza Ruwasa kwa utekelezaji wa mradi huo.

Sambamba na pongezi hizo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walitoa ushauri kwa Ruwasa kuangalia gharama za kuwauzia wananchi maji kwa ndoo moja ziwe za chini ili wananchi wengi waweze kunufaika na mradi huo ambao tayari umeanza kutumika.

View attachment 2053248
Kaziindelee Tanzania na Samia
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
MRADI wa Maji ya bomba wa kijiji cha Isulilo katika wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu kuwanufaisha wananchi wapatao 10,497.

Mradi huo unatekelezwa na wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa) kwa ufadhili wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Meneja wa Ruwasa wilaya ya Maswa,Mhandisi William Boniphace alisoma taarifa ya mradi huo kwa wajunbe wa kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)mkoa wa Simiyu amesema kuwa wananchi watakaonufaika ni wa vijiji vya Isulilo,Mwamihanza na Ngingwa.

Mhandisi Boniphace amesema kuwa hadi sasa kazi zilizofanyika katika mradi huo ni pamoja na ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye ujazo wa Lita 90,000 katika mnara wa mita 15,Ujenzi wa vituo 10 vya kuchotea maji,Ununuzi wa pampu za kusukuma maji na Ulazaji wa bomba umbali wa Kilomita 15.426

Akielezea gharama za Mradi huo amesema kiasi cha Sh 462,813,735 zimetumika katika mradi huo na tayari chombo cha watoa huduma ya maji ngazibya jamii kimeundwa na kusajiliwa kwa lengo la kuufanya mradi huo kuwa endelevu.

Aidha Mhandisi Boniphace ameeleza kuwa mpango mkakati wa Ruwasa ni kuongeza huduma ya maji kwa kupeleka katika kijiji cha Kidema na hiyo imewekwa kwenye bajeti ya mwaka 2021/2022.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa mkoa wa Simiyu,Emanuel Gungu Silanga ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa kamati hiyo iliyotembelea mradi huo aliipongeza Ruwasa kwa utekelezaji wa mradi huo.

Sambamba na pongezi hizo baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walitoa ushauri kwa Ruwasa kuangalia gharama za kuwauzia wananchi maji kwa ndoo moja ziwe za chini ili wananchi wengi waweze kunufaika na mradi huo ambao tayari umeanza kutumika.

View attachment 2053248
Hakuna kama Rais Samia
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Back
Top Bottom