Rancho Chand
Senior Member
- Nov 4, 2012
- 150
- 71
Sio kweli hakuna rule kama hiyo.....yani basi lipite Mbagala kutoka Mtwara abiria asishuke hadi basi lifike Mbezi?.....ndio naama nasema wengi either mmepewa vibaya au mnapotosha makusudi.Ulikuwa unapakilia na kushuka unapotaka. Sasa hii imekatazwa, stend say za Mbagala, Temeke zimekatazwa kupakia na kushusha na ofisi za makampuni ni kukata tiketi tu na siyo kupakia abiria
Mbona maswali yako mepesi sana, kupanda ndege wote tunaenda airport siyo?Kuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Ma basi ya Tanga, Moshi, Arusha yatapitia goba yatokezee masana moja kwa moja bagamoyo.Kuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Maisha hayarudi nyuma we bwanaKuna njia pale kibamba ccm nasikia ina pigwa mkeka inatokea tgt sijui bunju, ila kama ujuavyo makampuni mengi ya mabasi yamefungua ofisi zao so usiwe na wasi wasi, kama zaman stand ilikuwa kisutu na watu walikuwa wanatoka mbagala hadi kisutu
Dar ni mji mkubwa stendi ya mbagala inajengwa so mabus yatakuwa n'a root mengine yanaanzia mbagala mengine mbeziMbagala hadi kisutu mbona sio mbali mkuu,
Imagine mbagala hadi mbezi Louis?! Wengine wanatokea mbande, chamazi mpaka mbezi mwisho?!
Wengine wanatokea kongowe, mwandege, kigamboni, kibada, kisemvule mpaka mbezi Luis ?!
Ukifahamu fika hakuna route ya basi la moja kwa moja kutoka mbagala, mbande, chamazi, kongowe, kigamboni au kisemvule mpaka mbezi ?! Si mateso hayo?!
Hii sio haki ni unyanyasaji mkubwa!
Mabasi yaruhusiwe kupakia abiria kutoka ofisi zao ndogo lakini lazima yapitie stend kuu ya mbezi, na sio kuyazuia kabisa kupakia kwenye stand zao ndogo!
Dar ni mji mkubwa stendi ya mbagala inajengwa so mabus yatakuwa n'a root mengine yanaanzia mbagala mengine mbezi
Mbona maswali yako mepesi sana, kupanda ndege wote tunaenda airport siyo?
1.Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala ataisubiri gari uko aliko, wa tegeta ataifuata gari stendi mbezi, au kampuni za mabasi yatakayo opt njia ya Bagamoyo yataanzia safari Mbezi wataelekea huko Tegeta alafu Bagamoyo. Kwa mara ya kwanza wakati nakuja Dar mabasi yote kwenda mikoani yalikuwa yanapakia na kushusha abiria KISUTU.
2. Dunia nzima katika miji yote mikubwa kuna vituo vya usafiri wa umma, utatoka nyumbani kwako utaenda ufuata usafiri. Kuna watu wanasafiri kwenda Kigoma, Bukoba, Mwanza, Arusha nk, wanakaa Mbagala, Chanika, Kigamboni mabasi wanapandia wapi kama siyo ubungo? Kuna wale tunaokaa Kiluvya na Kibamba siku za hivi karibuni mabasi yote mazuri kwenda kanda ya kaskazini yanapatia Bagamoyo tulikuwa tunawajibika kuyafuata Ubungo. Kwa hivo bado yeyote atakaye taka kusafiri lazima afuate gari stendi au lah tumia usafiri wako binafsi.
3. Mwisho kabisa kuna vitu ambavyo wakati tunanunua maeneo hatukuviangalia, mfano wewe kwenu ni Musoma, Mwanza, Bukoba, Kigoma nk unanunua kiwanja chanika au kigamboni, kwa nini usifikirie kujenga kimara, kibamba, kiluvya na hata kibaha anzia maili moja mpaka mlandizi?
Ofisi zibaki mbagala,,mabus yaanzie mbezi.Exactly, mabasi ya Mtwara/Lindi yabaki huko na stend yao Mbagala. Ukitoka Mbezi kunakuwa na shutle buses kutoka Mbezi kwenda Mbagala , then unapanda mabasi ya Mtwara!
Zitakufa stand na sio ofisi,,hata tanga zimebaki ofisi tanga mjini lakini watu wanapanda bus tanga mjini kupitia kangeTangazo linasema stend za Temeke , Mbagala zinakufa hakuna kupakia..... Ofisi ni kukata tiketi tu na siyo kupakia. majaribu kuliweka Tangazo, kesho nitaliweka
Hyo ni international mkuu...tatizo watu sio waelewa..Huu utaratibu wa kijima umebuniwa na wajima Fulani WACHACHE wakioko ofisini pale TANGA. Utaratibu huu hauongezi Pato la jiji Ila unaongeza usumbufu.
skuli na vyuo za miaka hii zinafundisha ujinga
Kama hakuna kupakia mbagala hilo ni tatizo kubwa sana.Kama hakuna kupakia Mbagala hiyo Ni akili au ushuzi wa panya?
Kesho mtasema hakuna kumshusha Mbagala. Inamaana ntu akitoka umachingani anakuja kushuka Mbezi then anapanda daladala la Mbagala.
Halafu mnasema mbona wakenya wapo wengi kwenye makampuni ya nje yaliyoko Tanzania
Hakika kabisa..juzi kidogo nikose ndege sababu ya upuuzi wa majibu ya corona..Hili taifa lina kipaji cha kufanya mambo rahisi yawe magumu
Na maanisha kituo kikubwa cha mabus kinakuwa kimoja ndy hapo utapata mabus yote.Si kweli! Tena umesema nchi zilizoendelea, ujue si maendeleo ya vitu tu bali hata kichwani kuna dalili za maendeleo. Kunakuwa na vituo mbalimbali, kutegemea na mtu unaishi na unasafiri kuelekea wapi, inakuwa ni route/ njia ya chombo cha usafiri, kinaanzia hapa, kinapita vituo vyote, viwe na abiria au la, kwa muda maalum usiobadilika kila siku, wakishavipitia vituo vyote ndio wanashika njia kuu ya kuelekea wanakoelekea. Na kutelemsha abiria huko waendako ni hivyo hivyo.
Mtizamo wako umeingia kwenye ukabila, Mimi nilijikita kwenye kupata urahisi wa kusafiri hasa Kwa Wale wasiyo miliki gari binafsi. Lakini pia umejikita mbagala hujaniajia kampuni mojawapo iliyokuwa inapakia abiria kutoka kigamboni, hujaongelea uwanja wa ndege pia, nimesema majiji yote makubwa duniani ya centers ambazo ni main hub ya usafiri umma, nilianza Kwa kueleza mwanzo stendi ilikuwa Kisutu siyo? Baadae ikaamia ubungo, abiria woote kutoka Dar ukiacha Wale WA mbezi, kiluvya, kibamba na kibaha wakawa wanaenda ubungo, baadae kidogo kidogo mabasi yakaanza Ku opt njia ya Bagamoyo Wale WA maeneo niliyotaja hapo juu wakalizimika kuyafuata, Leo serikali imefanya uwekazaji wa mabilioni mbezi hawawezi kuruhusu kila basi au kampuni ikawa na kijiwe chake. Naendeleo ni gharamaKwanza nikurekebishe mkuu, hiyo namba mbili hauko sahihi hata kidogo.
Mimi asili yangu ni arusha, mabasi ya kaskazini yana stendi ndogo, wakazi wa mbagala, buza au kisemvule walikuwa hawaendi Ubungo terminal bali wanapandia kwenye stendi zao ndogo.
Mfano kulikuwa na kampuni ya mabasi ya meridiani ilikuwa na stendi yake pale temeke watu wa temeke wote walikuwa wanaenda kupandia pale na sio ubungo terminal.
Mabasi ya Esther luxury bus yana vituo vyao pale mbagala kipati, charambe , chamazi na mbande mwisho.pia buza kwa mama kibonge na buza kanisani.
Mabasi ya Tilisho yana vituo vyao mbagala, chamazi na mbande, pia yanapakia buza kanisani.
Mabasi ya singida yapo hapo mbagala bus terminal n.k.
Kwahiyo kwa miaka mingi watu wa temeke walikuwa hawalazimiki kwenda ubungo terminal bali wanapanda mabasi kwenye vituo vidogo vya mabasi huku huku temeke.
Na mwisho hiyo namba 3. kwenye nchi huru isiyo na matabaka ya kikabila na kidini huwezi kumwambia mtu wa kabila Fulani akajenge eneo Fulani eti ili iwe rahisi kupata mabasi ya kwao huo ni umaskini wa fikra na kumomonyoa umoja wetu, kwamba tuanze kuishi kwa matabaka ya kikabila na mwishoe tutaanza kuishi kidini. Kila mtanzania ana haki ya kuishi popote ni wajibu wa serikali kuweka mazingira mazuri ya usafiri.
Wengine wamejiongez a wana maeneo yao mbalimbali katikati ya Jiji na Wilaya sio kwa mateso haya mbezi parefuKuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.
Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa
2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?
3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?
Msaada tafadhali wa maswali hayo.
WasituchosheKukata yicket
Kuchukua na kupakia mizigo
Etc
Na yale ya Esther yanayoanzia Chanika na Kipati pale Mbagala inakuwaje!?Yani basi linalala yard kwangu na abiria wa karibu wanakuja kupandia hapo nalo ni kosa.....
Ndo marufuku sasa!Wengine wamejiongez a wana maeneo yao mbalimbali katikati ya Jiji na Wilaya sio kwa mateso haya mbezi parefu
Manispaa ya Ubungo baada ya jiji kusambaratishwaNje ya box huku tunaendelea, hii stendi ya Mbezi inamilikiwa na manispaa ya Ubungo au jiji la Dar au inajitegemea kma taasisi??