Maswali kuhusu matumizi ya stendi mpya ya mabasi Mbezi (so-called Magufuli)

Maswali kuhusu matumizi ya stendi mpya ya mabasi Mbezi (so-called Magufuli)

Mabasi ambayo yana ofisi mjini wanashusha kange kama hamna wa kange wanashusha wote ofisin kwao mjiniand kama tashrif
Tashrif wana eicher nyingi tu,

Mabus yanayoshusha na kupakia mjini ni ya Mombasa.

Mweyewe huwa napanda TAWAKAL na TAHMEED. Ila yanayoishia Tanga wote wanashusha Kange.

Labda RATCO ya jioni ndo alikuwa anabeba mjini.
 
mfano wa nchi gani uliyotembelea ambayo kuna system uliyoi refer?. Mimi najua mfano, wanaokwenda Mtwara /Lindi watakuwa na stend yao huko, siyo lazima aje Mbezi, kunakuwa na shuttle buses kutoka Mbezi kuja Mbagala na kupanda mabasi ya Mtwara/Lindi.................. something of that nature
Hizo bus unazozungumzia zinazopeleka watu kituo kikuu cha mabasi si daladala zipo?

Au hao watu wanatoka mbagala kwa miguu?
Ninachofahamu mm ni kwamba,,

Hata kama stand itahama lakini ofisi zinaweza kubaki huko huko mbagala.

Na watu wa mbagala hawana ulazima wa kuja mbezi kulifata gari.

Wakate ticket huko na kusubiri gari ofisini kwao.

Mfano south Africa.
Joberg ndy mwanzo wa mabasi yote yanapoanzia.

Halafu kuna ofisi ktk vitongoji vidogo vidogo ambavyo basi hupita pale kuchukuwa abiria.

Busi litatoka joberg linakwenda Zimbabwe,, au Lusaka,, litaingia sehem maalum kuchukuwa abiria wa njiani,,

sio lazima ufike joberg kifata ticket.

So hakuna ulazima wewe ukatoka mbagala ukaja mbezi kupanda magari ya mtwara.

Baki mbagala,,basi litakufata on the way to mtwara..
Labda uwe wewe ni mpiga debe wa abiria,
Hapo itakula kwako,,lazima uende mbezi.

Hivi umewahi kujiuliza mtu wa Kibaha/mlandizi anapataje usafiri wa mtwara?

Na yeye akitaka asogezewe stand ya mtwara si itakuwa ni vurugu?

Mimi nadhani watu wengi sio waelewa hilo ndy tatizo..
 
Nchi hii viongozi wengi ni washamba washamba tuu na outdated mind thought..... Kwa mji kama DSM ulitakiwa uwe na stendi tatu ....kulingana na mji unavyoingilika kupitia njia kuu..... Hyo stendi ya mbezi baada ya miaka mitano watahama tena
stendi haiwezi kuhama ila gharama za usafiri zitakuwa juu maradufu
 
Kuna njia pale kibamba ccm nasikia ina pigwa mkeka inatokea tgt sijui bunju, ila kama ujuavyo makampuni mengi ya mabasi yamefungua ofisi zao so usiwe na wasi wasi, kama zaman stand ilikuwa kisutu na watu walikuwa wanatoka mbagala hadi kisutu
Huwezi kufananisha zamani na sasa. Zamani jiji lilikuwa dogo. msongamano hakuna na watu wachache. Kutoka kwa mfano Mwenge au Tandika kwenye Kisutu ilikuwa rahisi sana. Tatizo la nchi yetu ni mipango kufanywa na wanasiasa na kwa bahati mbaya sana wanasiasa wengi ni vilaza. Vitu kama hivi nchi nyingine vinapangwa kwa kushirikisha wananchi na wataalam. Dar ni jiji lenye wakazi wengi sana na huwezi kuwa na stendi moja. Kwanza usafiri wa kutoka hapo stendi kwenda sehemu nyingine una msongamano sana na kama wataamua itumike stendi moja watasababisha usumbufu mkubwa. Wasafiri wanaotoka na kuingia Dar kwa siku ni wengi.
 
Huwezi kufananisha zamani na sasa. Zamani jiji lilikuwa dogo. msongamano hakuna na watu wachache. Kutoka kwa mfano Mwenge au Tandika kwenye Kisutu ilikuwa rahisi sana. Tatizo la nchi yetu ni mipango kufanywa na wanasiasa na kwa bahati mbaya sana wanasiasa wengi ni vilaza. Vitu kama hivi nchi nyingine vinapangwa kwa kushirikisha wananchi na wataalam. Dar ni jiji lenye wakazi wengi sana na huwezi kuwa na stendi moja. Kwanza usafiri wa kutoka hapo stendi kwenda sehemu nyingine una msongamano sana na kama wataamua itumike stendi moja watasababisha usumbufu mkubwa. Wasafiri wanaotoka na kuingia Dar kwa siku ni wengi.
Sasa zamman ndio ilikuwa kadhia mfano zaman tu ukitoka victoria kwenda mwenge barabara ilikuwa ni tope tupu sasa imagime mtunaliyekuwq anaishi mbagala kifika kisutu huyo si alikuwa ana kuja kulala magomeni ambapo palikuwa city center
 
Nafikiri huko kwa Magufuli yatakuwa yanaanzia na kuishia kama ilivyo kwa sasa Ubungo, ila walioko katika njia ya safari ya gari husika watapanda na kushuka huko huko.
 
Sasa zamman ndio ilikuwa kadhia mfano zaman tu ukitoka victoria kwenda mwenge barabara ilikuwa ni tope tupu sasa imagime mtunaliyekuwq anaishi mbagala kifika kisutu huyo si alikuwa ana kuja kulala magomeni ambapo palikuwa city center
Hapana. Siyo kweli. Zamani ilikuwa rahisi. Japo barabara zilikuwa mbaya lakini zilipitika na hakukuwa na foleni na jiji lilikuwa halipanuka.
 
Yaani vituo vya mabasi vinaanza kuwa muflisi kabla hata havijaanza kutumika. Unajiuliza wapanga miji wetu walifanya uchambuzi yakinifu wa mahitaji wa wakazi wa hii miji?
Nikiangalia uzoefu wa Ta na sasa hapo Dar, naona vituo vyote vya zamani na vipya vitumike tu, japo kuna uwezekano kimoja kikadoda hata kama ni kipya, ila kama mteja ni mfalme, basi kuna haja kumrahisishia maisha na kumpa uchaguzi wa maamuzi.
 
Mkuu tukitaka kila mtu kituo kiwe karibu na kwake tutafika kweli?

Katika inchi zilizoendelea stand kubwa itabaki kuwa moja tu ktkt mji husika..
Si kweli! Tena umesema nchi zilizoendelea, ujue si maendeleo ya vitu tu bali hata kichwani kuna dalili za maendeleo. Kunakuwa na vituo mbalimbali, kutegemea na mtu unaishi na unasafiri kuelekea wapi, inakuwa ni route/ njia ya chombo cha usafiri, kinaanzia hapa, kinapita vituo vyote, viwe na abiria au la, kwa muda maalum usiobadilika kila siku, wakishavipitia vituo vyote ndio wanashika njia kuu ya kuelekea wanakoelekea. Na kutelemsha abiria huko waendako ni hivyo hivyo.
 
Imagine kutoka Mwongozo Kigamboni mpk Ferry ni 18km ukipanda gari ya abiria unatumia lisaa kufika ferry au 45mins , bado mtu anayetoka Cheka, Bungu au Pemba Mnazi n.k
Unawezaje kuwahi gari la saa 12 asbh mbezi, vitu vingine vinafanyika mpaka unajiuliza kama kweli kuna lengo la kumsaidia mwananchi au kumkomoa,
Siku ukihitaji kwenda Mtwara uende mpaka mbezi then unarudi kule kule ulikotoka, Inasikitisha

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Mbagala si watapandia mbagala. Ila magari yataanzia mbezi then watapita temeke mpaka mbagala then kimoja to mtwara.
The same to route ya moshi. Wanaanzia mbezi wanaikamata ubungo mwenge tegeta bunju bagamoyo then boom
Tangazo linasema stend za Temeke, Mbagala etc zinakufa, hakuna kupakia pale...
 
Imagine kutoka Mwongozo Kigamboni mpk Ferry ni 18km ukipanda gari ya abiria unatumia lisaa kufika ferry au 45mins , bado mtu anayetoka Cheka, Bungu au Pemba Mnazi n.k
Unawezaje kuwahi gari la saa 12 asbh mbezi, vitu vingine vinafanyika mpaka unajiuliza kama kweli kuna lengo la kumsaidia mwananchi au kumkomoa,
Siku ukihitaji kwenda Mtwara uende mpaka mbezi then unarudi kule kule ulikotoka, Inasikitisha

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
asante kwa kunielewa
 
Hizo bus unazozungumzia zinazopeleka watu kituo kikuu cha mabasi si daladala zipo?

Au hao watu wanatoka mbagala kwa miguu?
Ninachofahamu mm ni kwamba,,

Hata kama stand itahama lakini ofisi zinaweza kubaki huko huko mbagala.

Na watu wa mbagala hawana ulazima wa kuja mbezi kuifata gari.

Wakate ticket huko na kusubiri gari ofisini kwao.

Mfano south Africa.
Joberg ndy mwanzo wa mabasi yote yanapoanzia.
Halafu kuna ofisi ktk vitongoji vidogo vidogo ambavyo basi hupita pale kachukuwa abiria.

Busi litatoka joberg linakwenda Zimbabwe,, au Lusaka,, litaingia sehem maalum kachukuwa abiria wa njiani,,so lazima ufike joberg kifata ticket.

So hakuna ulazima wewe ukatoka mbagala ukaja mbezi kupanda magari ya mtwara.

Baki mbagala,,basi litakufata on the way to mtwara..
Labda uwe wewe ni mpiga debe wa abiria,
Hapo itakula kwako,,lazima uende mbezi.

Hivi umewahi kujiuliza mtu wa Kibaha/mlandizi anapataje usafiri wa mtwara?

Na yeye akitaka asogezewe stand ya mtwara si itakuwa ni vurugu?
Tangazo linasema stend za Temeke , Mbagala zinakufa hakuna kupakia..... Ofisi ni kukata tiketi tu na siyo kupakia. majaribu kuliweka Tangazo, kesho nitaliweka
 
Huu ujinga upo Tanga,

Mnashushwa Kange, mnapandishwa daladala had mjini, Bus linaenda tupu mjini. Na vice versa

Halafu mizigo mtachukua mjini.
Huu utaratibu wa kijima umebuniwa na wajima Fulani WACHACHE wakioko ofisini pale TANGA. Utaratibu huu hauongezi Pato la jiji Ila unaongeza usumbufu.
skuli na vyuo za miaka hii zinafundisha ujinga
 
Tangazo linasema stend za Temeke , Mbagala zinakufa hakuna kupakia..... Ofisi ni kukata tiketi tu na siyo kupakia. majaribu kuliweka Tangazo, kesho nitaliweka
Kama hakuna kupakia Mbagala hiyo Ni akili au ushuzi wa panya?
Kesho mtasema hakuna kumshusha Mbagala. Inamaana ntu akitoka umachingani anakuja kushuka Mbezi then anapanda daladala la Mbagala.
Halafu mnasema mbona wakenya wapo wengi kwenye makampuni ya nje yaliyoko Tanzania
 
Back
Top Bottom