Maswali kuhusu matumizi ya stendi mpya ya mabasi Mbezi (so-called Magufuli)

Maswali kuhusu matumizi ya stendi mpya ya mabasi Mbezi (so-called Magufuli)

Nje ya box huku tunaendelea, hii stendi ya Mbezi inamilikiwa na manispaa ya Ubungo au jiji la Dar au inajitegemea kma taasisi??
wala sijui... labda ni mali ya Jiwe, who knows, maana Tz ni lawless country if at Tanzania still qualifies to be called a country
 
Na yale mabasi yenye vituo vyao binafsi, vitaendelea kutoa huduma?
Umeambiwa wawapeleke abiria wao kwa haisi kisha wabebe abiria wao! Kama unakwenda Morogoro unaishi Luguruni inabidi uende Mbezi, kama unakwenda Mtwara nawe unakaa Kongowe ya Temeke unatakiwa uende Mbezi huko utapanda basi la Mtwara! Ukiona mbali uende mkoa wa pwani ukapandie huko!
Kama waliokijenga kituo walishindwa kuweka mapaa kuzuia mvua na jua kwa abiria badala yake wakajenga maghorofa! Unategemea nini toka kwenye vichwa vyao?
Cha kujiuliza ni basi likiingia na abiria toka huko mjini wao wanapata hasara gani?
 
Mbona maswali yako mepesi sana, kupanda ndege wote tunaenda airport siyo?
1.Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala ataisubiri gari uko aliko, wa tegeta ataifuata gari stendi mbezi, au kampuni za mabasi yatakayo opt njia ya Bagamoyo yataanzia safari Mbezi wataelekea huko Tegeta alafu Bagamoyo. Kwa mara ya kwanza wakati nakuja Dar mabasi yote kwenda mikoani yalikuwa yanapakia na kushusha abiria KISUTU.
2. Dunia nzima katika miji yote mikubwa kuna vituo vya usafiri wa umma, utatoka nyumbani kwako utaenda ufuata usafiri. Kuna watu wanasafiri kwenda Kigoma, Bukoba, Mwanza, Arusha nk, wanakaa Mbagala, Chanika, Kigamboni mabasi wanapandia wapi kama siyo ubungo? Kuna wale tunaokaa Kiluvya na Kibamba siku za hivi karibuni mabasi yote mazuri kwenda kanda ya kaskazini yanapatia Bagamoyo tulikuwa tunawajibika kuyafuata Ubungo. Kwa hivo bado yeyote atakaye taka kusafiri lazima afuate gari stendi au lah tumia usafiri wako binafsi.
3. Mwisho kabisa kuna vitu ambavyo wakati tunanunua maeneo hatukuviangalia, mfano wewe kwenu ni Musoma, Mwanza, Bukoba, Kigoma nk unanunua kiwanja chanika au kigamboni, kwa nini usifikirie kujenga kimara, kibamba, kiluvya na hata kibaha anzia maili moja mpaka mlandizi?
Hapa nawaelewa sana Wachaga na Wamakonde wamejenga na kuishi maeneo ambayo yana uelekeo wa Moshi na Mtwara yaani Wachaga wako along Ubungo, Kimara, Mbezi na Kibamba, Wamakonde wamesambaa Mbagala mpaka Kongowe kwahiyo waliona mbali zaidi kadri ya Wazo lako. Hongera zao
 
Nchi ile inaendeshwa kihuni tu kwa matamko bila ya kumshirikisha mwananchi..ni uhuni uhuni tu
 
Hii miradi ya stendi huwa inakuja na changamoto zake!!!
Nafikiri sirikali huwa inakuwa inatafta njia ya kurudisha fedha iliyotumika katika ujenzi wa stendi hiyo!

Siku moja nmetoka IRINGA naenda MBEYA META HOSPITAL,jamaa wakagoma kunishusha Meta wakanipeleka mpaka stendi kuu,ambako nikachukua bodaboda ikanirudisha Meta Tena😆😆!!wanaanzisha stendi ambazo ni kerooo kwa mlala hoi!
 
Mtizamo wako umeingia kwenye ukabila, Mimi nilijikita kwenye kupata urahisi wa kusafiri hasa Kwa Wale wasiyo miliki gari binafsi.

Naendelea kukurekebisha!

Mimi sijaongelea ukabila, wewe ndiye ulileta hoja yenye mlengo wa ukabila!

Ulisema kwamba watu wanakosea katika kufanya maamuzi wapi ni mahali sahihi pa kujenga makazi yao. Ukasema eti ilifaa tangu mwanzo watu WAJENGE MAENEO YALIYO RAHISI NA BARABARA ZA KWENDA KWAO. Huu ni ushauri wa kipuuzi kabisa una lengo la kuleta ukabila hapa nchini. Hivi kila watu kwa makabila yao wakiamua kujenga mahali rahisi na njia ya kwenda kwao huko so kuleta matabaka ya kujigawa kikabila hapa nchini?!

Maana yake ulitaka watu wa kaskazini wajenge maeneo ya kaskazini mwa DSM , watu wa nyanda za juu kusini wajenge maeneo ya magharibi mwa DSM , na watu wakusini wajenge maeneo ya kusini mwa DSM, so ndio njia rahisi za kwenda kwao?! Huu ni ushauri au upuuzi mtupu?! Unataka kutengeneza taifa la aina gani?! Lenye watu walinaoishi kwa kujigawa maeneo kwa kuzingatia ukabila wao au kanda zao?! Sasa hapa nani kaleta ukabila kama sio wewe kwakushauri upuuzi mtupu! Tanzania ni taifa lenye umoja na mshikamano mtu anaishi popote bila kujali ni wapi, ni jukumu la serikali kuhakikisha usafiri unapatikana bila kujali eneo husika.
Lakini pia umejikita mbagala hujaniajia kampuni mojawapo iliyokuwa inapakia abiria kutoka kigamboni, hujaongelea uwanja wa ndege pia, nimesema majiji yote makubwa duniani ya centers ambazo ni main hub ya usafiri umma, nilianza Kwa kueleza mwanzo stendi ilikuwa Kisutu siyo? Baadae ikaamia ubungo, abiria woote kutoka Dar ukiacha Wale WA mbezi, kiluvya, kibamba na kibaha wakawa wanaenda ubungo, baadae kidogo kidogo mabasi yakaanza Ku opt njia ya Bagamoyo Wale WA maeneo niliyotaja hapo juu wakalizimika kuyafuata, Leo serikali imefanya uwekazaji wa mabilioni mbezi hawawezi kuruhusu kila basi au kampuni ikawa na kijiwe chake. Naendeleo ni gharama

Maeneo Yote hayo uliyoyataja walikuwa wanapandia kwenye vituo vyao vya karibu kwamaana kupandia kwenye vituo au ofisi za mabasi kulikuwa hakuja zuiliwa kama sasa. Kwamfano kigamboni kulikuwa na mabasi ya Kilimanjaro na tashriff . bunju- tegeta mabasi mengi yanayopita bagamoyo road yalikuwa yanapakia kule.
hujaongelea uwanja wa ndege pia, nimesema majiji yote makubwa duniani ya centers ambazo ni main hub ya usafiri umma,

Ngoja nikuelimishe kidogo, sijui kama umebahatika hata kukaa huko nje unakojaribu kupaongelea,

Wenzetu nje wenye main hub, wanausafiri wa uhakika usifananishe kwa wenzetu na hapa kwetu ambapo Siku mwenye daladala lake akijisikia halitoki kufanyakazi, kwao kuna mabasi ya umma ya uhakika, kuna train na tram za uhakika, sio kama huku ampako raia anatakiwa kupanda daladala tatu mpaka afike bus terminal.

Pia wenzetu wana mipango miji mizuri vituo vikubwa vya mabasi vipi center ya mji sio pembezoni kama huko mbezi Luis, tena kufika main hub zao huamki usiku wa manane kugombania daladala kisha ukae kituoni kusubiri daladala lijae hapo bado ujapanda daladala mbili au tatu ufike terminal. Usafiri wao ni wauhakika.
nilianza Kwa kueleza mwanzo stendi ilikuwa Kisutu siyo? Baadae ikaamia ubungo, abiria woote kutoka Dar ukiacha Wale WA mbezi, kiluvya, kibamba na kibaha wakawa wanaenda ubungo, baadae kidogo kidogo mabasi yakaanza Ku opt njia ya Bagamoyo Wale WA maeneo niliyotaja hapo juu wakalizimika kuyafuata,


Sijui umekuja lini Dar???!

Ngoja nikueleweshe tena!

Kituo cha mabasi hapa Dar, wanzoni kabisa kilikuwa pale Kariakoo, Gerezani kikapewa jina la kampuni ya mabasi ya KAMATA, pale karibu na traffic lights,wanapaita kamata mpaka Leo.

Baadae wakadai watu wamekuwa wengi na mabasi mengi hivyo kukwepa msongamano wakakihamisha kile kituo kikapelekwa pale MNAZI MMOJA.

Vivyo hivyo kama ilivyokuwa kwa madai ya kwanza kituo kile cha mnazi mmoja nacho kikahamishwa kupelekwa pale KISUTU..(hapa ndipo ulipopajua kuwa kituo kilianzia hapo kisutu kumbe sivyo kilianzia KAMATA)

Pale Kisutu pia kituo kikahamishwa kwa madai yaleyale kuwa kumekuwa na msongamano na mabasi yamekuwa mengi, kikahamishiwa kule UBUNGO,

Ubungo nako kimekuja kuhamishwa na kupelekwa huko pembezoni kabisa mwa jiji MBEZI LOUIS.

Sijui na huko kitakuja kuhamishwa tena kwamadai ya msongamano na traffic jamm na kukipeleka KIBAHA au CHALINZE.


Hata hivyo unapotosha watu kusema eti wakati kituo kipo KISUTU watu walitoka sijui bunju , gongolamboto etc nakukifuata kule, ndio maana nina mashaka na uelewa wako au wewe ni mgeni hapa jijini. Wakati kituo kipo KAMATA, MNAZI MMOJA NA KISUTU, Jiji la Dsm lilikuwa dogo sana, halijatanuka kama Leo, maeneo ya mbagala yalikuwa pori tu mji uliishia hapo mtoni mtongani,temeke sudani nk. Kule tabata, ubungo na bunju kulikuwa pori tupu hata ukimuuzia mtu kiwanja hataki kununua. Kwahiyo kisutu haikuwa mbali na wakazi wa DSM.


Tatizo Hapa ni mipango miji, hatuna mipango ya muda mrefu kwamba baada ya muda Fulani let say miaka 50 au 100 Jiji la Dar litakuwa na wakazi kiasi gani? Je, watakidhi kutumia bus terminal itakayo jengwa Leo? Je, trafficking itaweza kuhimili mabasi yanayotoka kwenye terminal hiyo? Ukosefu wa plan hii ndio unapelekea kuhama hama kama Kobe!
Leo serikali imefanya uwekazaji wa mabilioni mbezi hawawezi kuruhusu kila basi au kampuni ikawa na kijiwe chake. Naendeleo ni gharama


Unatetea bila kufikiri, hakuna anayepinga uwekezaji wa serikali,

Lakini je, umezingatia kuwasaidia watanzania wanyonge? Una rahisisha usafiri wao au unawakandamiza zaidi?!

Hakuna mtu anayetetea kuwa na kijiwe cha mabasi, tunachotaka mabasi yaruhusiwe kupakia abiria walio mbali na terminal lakini wakishapakia waende terminal kukaguliwa na sio kuwapa mzingo abiria wa bunju akapandie basi mbezi Luis wakati basi ilohilo linapita njia ya bagamoyo kwenda kwao. Au abiria wa mtwara kutoka kisemvule akapandie mbezi Louis kwakupanda daladala mbili, wakati basi hilohilo litapita hapo kwenda kusini.

Kama hilo haliwezekani basi ni vyema serikali iboreshe usafiri wa daladala kuwe na route moja kutoka maeneo yote ya jiji kwenda mbezi Louis bus terminal tena uwe usafiri wa uhakika, sio kama sasa ambapo msafiri analazimika kuamka saa tisa usiku na watoto na mizigo tena aunganishe daladala mbili au tatu! Hapa bado hujawasaidia watanzania! Hivi hao mipango miji huwa wanalifikiria hili au sisi tunakurupuka kusifia tu majengo mazuri na uwekezaji wa mabilioni?!

Good for nothing!

*********
 
Naendelea kukurekebisha!

Mimi sijaongelea ukabila, wewe ndiye ulileta hoja yenye mlengo wa ukabila!

Ulisema kwamba watu wanakosea katika kufanya maamuzi wapi ni mahali sahihi pa kujenga makazi yao. Ukasema eti ilifaa tangu mwanzo watu WAJENGE MAENEO YALIYO RAHISI NA BARABARA ZA KWENDA KWAO. Huu ni ushauri wa kipuuzi kabisa una lengo la kuleta ukabila hapa nchini. Hivi kila watu kwa makabila yao wakiamua kujenga mahali rahisi na njia ya kwenda kwao huko so kuleta matabaka ya kujigawa kikabila hapa nchini?!

Maana yake ulitaka watu wa kaskazini wajenge maeneo ya kaskazini mwa DSM , watu wa nyanda za juu kusini wajenge maeneo ya magharibi mwa DSM , na watu wakusini wajenge maeneo ya kusini mwa DSM, so ndio njia rahisi za kwenda kwao?! Huu ni ushauri au upuuzi mtupu?! Unataka kutengeneza taifa la aina gani?! Lenye watu walinaoishi kwa kujigawa maeneo kwa kuzingatia ukabila wao au kanda zao?! Sasa hapa nani kaleta ukabila kama sio wewe kwakushauri upuuzi mtupu! Tanzania ni taifa lenye umoja na mshikamano mtu anaishi popote bila kujali ni wapi, ni jukumu la serikali kuhakikisha usafiri unapatikana bila kujali eneo husika.


Maeneo Yote hayo uliyoyataja walikuwa wanapandia kwenye vituo vyao vya karibu kwamaana kupandia kwenye vituo au ofisi za mabasi kulikuwa hakuja zuiliwa kama sasa. Kwamfano kigamboni kulikuwa na mabasi ya Kilimanjaro na tashriff . bunju- tegeta mabasi mengi yanayopita bagamoyo road yalikuwa yanapakia kule.


Ngoja nikuelimishe kidogo, sijui kama umebahatika hata kukaa huko nje unakojaribu kupaongelea,

Wenzetu nje wenye main hub, wanausafiri wa uhakika usifananishe kwa wenzetu na hapa kwetu ambapo Siku mwenye daladala lake akijisikia halitoki kufanyakazi, kwao kuna mabasi ya umma ya uhakika, kuna train na tram za uhakika, sio kama huku ampako raia anatakiwa kupanda daladala tatu mpaka afike bus terminal.

Pia wenzetu wana mipango miji mizuri vituo vikubwa vya mabasi vipi center ya mji sio pembezoni kama huko mbezi Luis, tena kufika main hub zao huamki usiku wa manane kugombania daladala kisha ukae kituoni kusubiri daladala lijae hapo bado ujapanda daladala mbili au tatu ufike terminal. Usafiri wao ni wauhakika.



Sijui umekuja lini Dar???!

Ngoja nikueleweshe tena!

Kituo cha mabasi hapa Dar, wanzoni kabisa kilikuwa pale Kariakoo, Gerezani kikapewa jina la kampuni ya mabasi ya KAMATA, pale karibu na traffic lights,wanapaita kamata mpaka Leo.

Baadae wakadai watu wamekuwa wengi na mabasi mengi hivyo kukwepa msongamano wakakihamisha kile kituo kikapelekwa pale MNAZI MMOJA.

Vivyo hivyo kama ilivyokuwa kwa madai ya kwanza kituo kile cha mnazi mmoja nacho kikahamishwa kupelekwa pale KISUTU..(hapa ndipo ulipopajua kuwa kituo kilianzia hapo kisutu kumbe sivyo kilianzia KAMATA)

Pale Kisutu pia kituo kikahamishwa kwa madai yaleyale kuwa kumekuwa na msongamano na mabasi yamekuwa mengi, kikahamishiwa kule UBUNGO,

Ubungo nako kimekuja kuhamishwa na kupelekwa huko pembezoni kabisa mwa jiji MBEZI LOUIS.

Sijui na huko kitakuja kuhamishwa tena kwamadai ya msongamano na traffic jamm na kukipeleka KIBAHA au CHALINZE.


Hata hivyo unapotosha watu kusema eti wakati kituo kipo KISUTU watu walitoka sijui bunju , gongolamboto etc nakukifuata kule, ndio maana nina mashaka na uelewa wako au wewe ni mgeni hapa jijini. Wakati kituo kipo KAMATA, MNAZI MMOJA NA KISUTU, Jiji la Dsm lilikuwa dogo sana, halijatanuka kama Leo, maeneo ya mbagala yalikuwa pori tu mji uliishia hapo mtoni mtongani,temeke sudani nk. Kule tabata, ubungo na bunju kulikuwa pori tupu hata ukimuuzia mtu kiwanja hataki kununua. Kwahiyo kisutu haikuwa mbali na wakazi wa DSM.


Tatizo Hapa ni mipango miji, hatuna mipango ya muda mrefu kwamba baada ya muda Fulani let say miaka 50 au 100 Jiji la Dar litakuwa na wakazi kiasi gani? Je, watakidhi kutumia bus terminal itakayo jengwa Leo? Je, trafficking itaweza kuhimili mabasi yanayotoka kwenye terminal hiyo? Ukosefu wa plan hii ndio unapelekea kuhama hama kama Kobe!



Unatetea bila kufikiri, hakuna anayepinga uwekezaji wa serikali,

Lakini je, umezingatia kuwasaidia watanzania wanyonge? Una rahisisha usafiri wao au unawakandamiza zaidi?!

Hakuna mtu anayetetea kuwa na kijiwe cha mabasi, tunachotaka mabasi yaruhusiwe kupakia abiria walio mbali na terminal lakini wakishapakia waende terminal kukaguliwa na sio kuwapa mzingo abiria wa bunju akapandie basi mbezi Luis wakati basi ilohilo linapita njia ya bagamoyo kwenda kwao. Au abiria wa mtwara kutoka kisemvule akapandie mbezi Louis kwakupanda daladala mbili, wakati basi hilohilo litapita hapo kwenda kusini.

Kama hilo haliwezekani basi ni vyema serikali iboreshe usafiri wa daladala kuwe na route moja kutoka maeneo yote ya jiji kwenda mbezi Louis bus terminal tena uwe usafiri wa uhakika, sio kama sasa ambapo msafiri analazimika kuamka saa tisa usiku na watoto na mizigo tena aunganishe daladala mbili au tatu! Hapa bado hujawasaidia watanzania! Hivi hao mipango miji huwa wanalifikiria hili au sisi tunakurupuka kusifia tu majengo mazuri na uwekezaji wa mabilioni?!

Good for nothing!

*********
Unaandika mambo mengi Kwa utashi wako, nimesema kipindi Mimi nakuja Dar stendi ilikuwa Kisutu.
Wee unatarajia serikali ijenge stendi mahali ambapo patakufavour wewe? Alafu unapoongea kuhusu ukabila na kuita mawazo yangu ya kipuuzi nahitimisha Kwa kusema mpuuzi ni wewe, hujui kama asilimia karibia ya watu wanaokaa Kimara, mbezi mushikamano, makabe, mpigi magoe, kibamba, kiluvya, na hata kibaha maeneo mapya kunako jengwa wanatoka kaskazini na kanda ya ziwa nk, hivi mfano, watu wa Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara,Singida, morogoro, dodoma, tabora, Kigoma,kagera, Mwanza na Mara kuna Ukabila gani hapo wee mbulula. Unakimbilia kutukana na kuniita mpuuzi, kwako kutokuwa mpuuzi ni kuwa na mawazo yanayofanana na yako, stendi ndo ishajengwa na mabasi yote yataanzia safari hapo tuone kama utapanda ungo bwege wewe
 
Unaandika mambo mengi Kwa utashi wako, nimesema kipindi Mimi nakuja Dar stendi ilikuwa Kisutu.
Wee unatarajia serikali ijenge stendi mahali ambapo patakufavour wewe? Alafu unapoongea kuhusu ukabila na kuita mawazo yangu ya kipuuzi nahitimisha Kwa kusema mpuuzi ni wewe, hujui kama asilimia karibia ya watu wanaokaa Kimara, mbezi mushikamano, makabe, mpigi magoe, kibamba, kiluvya, na hata kibaha maeneo mapya kunako jengwa wanatoka kaskazini na kanda ya ziwa nk, hivi mfano, watu wa Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Manyara,Singida, morogoro, dodoma, tabora, Kigoma,kagera, Mwanza na Mara kuna Ukabila gani hapo wee mbulula. Unakimbilia kutukana na kuniita mpuuzi, kwako kutokuwa mpuuzi ni kuwa na mawazo yanayofanana na yako, stendi ndo ishajengwa na mabasi yote yataanzia safari hapo tuone kama utapanda ungo bwege wewe


Wewe ni mpuuzi tu tena una puyanga sana, kumbe umekuja Dar wakati stend iko kisutu alafu bado unajifanya much know, huna lolote mbwiga tu.

Ushauri wako wa watu kujenga maeneo kwa kuzingatia kabila unadhani utajenga umoja na mshikamano wa taifa letu?! Hao waliojenga mbezi kimara ni consequence tu, akifika mmoja akajenga anaenda kuwaita wenzake, unataka kusema na wale wakurya waliojenga kule kitunda kinyantira na gongolamboto ni barabara ya kwenda kwao Mara?! Acha ujinga pimbi wewe!

Wale wamakonde na wagogo waliojenga msasani enzi hizo walijenga karibu na barabara ya kwenda kwao Dodoma?! Wewe ni mpuuzi tu.

Hujui kuwa kuna warangi, wasukuma na wachagga wengi tu wanaishi na wamejenga kisemvule mpaka mkuranga?!

Alafu kwa taarifa yako tu, naona unapuyanga sana na kuropoka bila data, Jana nimeamka saa kumi na moja kasoro alfajiri na kwenda kufanya utafiti wangu binafsi kwenye vituo vidogo vya mabasi ya mikoani, maana "no research no right to speak!" Nimekuta MABASI YOTE YA MIKOANI YANAPAKIA KWENYE VITUO VYAO VIDOGO KAMA KAWAIDA kisha ndio wanaelekea mbezi Luis, hakuna basi lililokatazwa kupakia kwenye vituo vyao vidogo kama unavyotaka kupotosha watu hapa, eti abiria wote lazima wakapandie terminal mbezi Luis, acha kupuyanga dogo.
 
Wewe ni mpuuzi tu tena una puyanga sana, kumbe umekuja Dar wakati stend iko kisutu alafu bado unajifanya much know, huna lolote mbwiga tu.

Ushauri wako wa watu kujenga maeneo kwa kuzingatia kabila unadhani utajenga umoja na mshikamano wa taifa letu?! Hao waliojenga mbezi kimara ni consequence tu, akifika mmoja akajenga anaenda kuwaita wenzake, unataka kusema na wale wakurya waliojenga kule kitunda kinyantira na gongolamboto ni barabara ya kwenda kwao Mara?! Acha ujinga pimbi wewe!

Wale wamakonde na wagogo waliojenga msasani enzi hizo walijenga karibu na barabara ya kwenda kwao Dodoma?! Wewe ni mpuuzi tu.

Hujui kuwa kuna warangi, wasukuma na wachagga wengi tu wanaishi na wamejenga kisemvule mpaka mkuranga?!

Alafu kwa taarifa yako tu, naona unapuyanga sana na kuropoka bila data, Jana nimeamka saa kumi na moja kasoro alfajiri na kwenda kufanya utafiti wangu binafsi kwenye vituo vidogo vya mabasi ya mikoani, maana "no research no right to speak!" Nimekuta MABASI YOTE YA MIKOANI YANAPAKIA KWENYE VITUO VYAO VIDOGO KAMA KAWAIDA kisha ndio wanaelekea mbezi Luis, hakuna basi lililokatazwa kupakia kwenye vituo vyao vidogo kama unavyotaka kupotosha watu hapa, eti abiria wote lazima wakapandie terminal mbezi Luis, acha kupuyanga dogo.
huna utafiti wowote, mimi naendelea kukuona bwege na mbulula kwa sababu unaamini mtu mwenye mawazo tofauti na wewe ni upuuzi. Pia kuja Dar wakati stendi iko Mnazi mmoja haikupi ukamilifu wa kuniita mpuuzi, kuna walikojua muda huo Dar es Saalaam kwa maana ya kuja shule na vyuo leo hii ni maprofesa, hivo unaendelea kuthibitisha upumbavu wako. Naendelea kubaki na msimamo wangu kuwa mimi kama siwezi kununua kiwanja kigamboni au chanika, kisemvule na kwingineko. Nitaendelea kununua kuanzia maeneo ya mbezi, kibaha, mlandizi na the likes.
Hoja ya stendi haikuwa ya kwangu lakini kwa vile unatafuta basha ndo maana unazunguka tu ukomi kunifuata njoo PM CHOKO wewe nikunyooshe, Pum***.
 
huna utafiti wowote, mimi naendelea kukuona bwege na mbulula kwa sababu unaamini mtu mwenye mawazo tofauti na wewe ni upuuzi. Pia kuja Dar wakati stendi iko Mnazi mmoja haikupi ukamilifu wa kuniita mpuuzi, kuna walikojua muda huo Dar es Saalaam kwa maana ya kuja shule na vyuo leo hii ni maprofesa, hivo unaendelea kuthibitisha upumbavu wako. Naendelea kubaki na msimamo wangu kuwa mimi kama siwezi kununua kiwanja kigamboni au chanika, kisemvule na kwingineko. Nitaendelea kununua kuanzia maeneo ya mbezi, kibaha, mlandizi na the likes.
Hoja ya stendi haikuwa ya kwangu lakini kwa vile unatafuta basha ndo maana unazunguka tu ukomi kunifuata njoo PM CHOKO wewe nikunyooshe, Pum***.


We mburura kiwanja utoe wapi?! Umekuja Dar stend ipo kisutu alafu unajiona mshua kumbe mbigisi tu, na sisi born town tusemeje?! Tena ulivyo mnyambilisi eti stendi ikiwa mnazi mmoja pale mbona pa juzi tu?! Tuko Dar tangu stendi ikiwa KAMATA shoga wewe!

We utakuwa shoga sio bure, bado nakuona mpuuzi tu, utakuwa unatafuta mwanaume wa kukufukua mtaro, bahati mbaya mimi sichezagi michezo hiyo ya kurudi nyuma kama kifuru Kobe! Ni michezo kharamu!

Nakushauri nenda badoo utapata wa kukuzibua chemba bwana mdogo, maana unaonekana umezoea sana kufanya huo mchezo haramu lazima uwashwe na kuitaji kufanyiwa tena, naona unatumia nguvu kubwa sana kutafuta mwanaume! Sorry you get a wrong person!
 
HIVI NBS KWA SASA SAFARI ZAO ZINAANZIA UBUNGO AU MBEZI?, KWA WALIO SAFIRI HIVI KARIBUNI, ESPECIALLY KWA DAR-TABORA
 
HIVI NBS KWA SASA SAFARI ZAO ZINAANZIA UBUNGO AU MBEZI?, KWA WALIO SAFIRI HIVI KARIBUNI, ESPECIALLY KWA DAR-TABORA
Zote zinaanzi Mbezi ila bado wana ofisi zao magomeni kariakoo na kwingineko kwaajili ya huduma za tikiti za kusafiria.
 
Umeona eh! Magufuli and his allies are treating us like their objects of labour and Magufuli in particular, can get us hired and fired at his free will!
Magufuli yupo Leo?

Kumbuka wafu hawana madhara ogopa sana walio hai.
 
Hili jina limeshindwa kabisa kusound kulipiku neno stand ya Mbezi
 
Kuna tangazo linasema safari zote zote, zitaanzia stend mpya MAGUFULI. Tangazo linazidi kusema Mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.

Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa

2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu , mtu wa Tegeta atayapandia wapi? aje Mbezi?

3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda Mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? AU MABASI YATATOKA MBEZI NA KUJA NA MOROGORO ROAD, UBUNGO, MWENGE NA KUINGIA BAGAMOYO ROAD?

Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Hilo tangazo lengo lake ni kuongeza msongamano wa magari usio na ulazima!
 
Kuna tangazo linasema safari zote zitaanzia stend mpya Magufuli. Tangazo linazidi kusema mabasi makubwa wakodishe mini bus kuwasafirisha abiria kuwaleta stend mpya au wawaelekeze abiria kuja Mbezi.

Sasa swali:
1. Anayekwenda Mtwara na yuko Mbagala, naye aje Mbezi? maana tangazo linasema stend zote za Temeke etc zimefutwa

2. Anayekwenda Tanga/Moshi/Arusha na yuko Tegeta aje Mbezi if not so, mabasi yaliyokuwa yanapitia Bagamoyo niliyoyataja hapo juu, mtu wa Tegeta atayapandia wapi? Aje Mbezi?

3. Mabasi ya Tanga/Moshi/Arusha kupitia Bagamoyo yatachukua njia gani kukusanya watu wa Mwenge, Tegeta, Bunju then na kuendelea na safari ya kwenda mikoa hiyo via Bagamoyo? Au wa Mwenge aje Mbezi? Wa Bunju? au mabasi yatatoka Mbezi na kuja na Morogoro road, Ubungo, Mwenge na kuingia Bagamoyo road?



Msaada tafadhali wa maswali hayo.
Mkuu,,hivi kila mwanainchi afiikiwe na stand ya basi,
Hivi hii itakuwa inchi au uozo?

Miongoni mwa mipango miji ni stand/masoko nk.
Hivi kuna siku mtu amelalamika soko la kkoo ni mbali kwake ?
Au yeye anaishi mbagala atafikaje kazini kwake down town Posta?

Mbona airport ipo mbali na watu wanafika na kurudi makwao ,
Je wanafikaje?

Inchi zote zilizoendelea zina main bus terminal moja tu ktk kila mkoa.

Mbona tanga wameweza?
Gari kubwa zinaishia Kange baadae mnahamishiwa kwenye gari ingine kuwapeleka mjini.
Au kuwatoa mjini na kuwapeleka kange bus terminal.
Hizo zote ni gharama za bus husika na wala sio za abiria.


Ifike mahali tuache kutetea upuuzi.

Hivi kulikuwa na faida gn kuhamisha ubungo terminal na kuipeleka mbezi?

Ukute wote wanaotetea kuhamishia stand mbezi mwishon (Magufuli terminal)wana maslahi binafsi..
 
Back
Top Bottom