Maswali magumu: Utetezi wa Jakaya Kikwete dhidi ya tuhuma za chuki binafsi dhidi ya Hayati Magufuli msibani

Kajisahaulisha hata alivyotusiwa kuhusu kuwashwawashwa 🤣🤣🤣🤣unafiki nao ni kipaji.
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! 😇
 
Leo jk kawavua chupi mbele ya msiba wa taifa ndiyo amewaacha uchi mkome na njaa zenu za makalio wazi mnakula na kuunya kwa ukuda.
 
Wakati mwingine unajiuliza, kuna haja ya mtu kufungua mdomo wake? Ila ndio wanasiasa, lazima aongee!
 
oh, nilikuwa sijakupata vema kiongozi.....uko sawa kabisa!
 
Kuzinguana binadamu ni kawaida hata wewe unazinguana na wengi mnasuluhisha AMA mnapotezea, magu ni nani ama JK ni nan asiweze kukosana na mtu? Tafuta swali lingine
 
Ina maana msiba ulikuwa wakiswahili kiasi hicho hadi kupigana vijembe
 
Anatapatapa. Aliuza nchi Magufuli akaigomboa sasa anachohangaika nacho nini wakati mwamba umeishalala?
 
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! [emoji56]
Kama ni kweli alikua akimshtaki kwa kaka ake basi walipendana sana hadi kuwa na ukaribu huo wa kuomba maridhiano kipitia ndugu na kama hakumpenda angetengua zile teuzi...itoshe kusema walikua marafiki ila waligombana hapa mwishoni[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Stahiki wapi, wezi wakubwa nyie
 
Hivi watu hamna la kufanya eti mnahangaika na maisha ya marais wastaafu na wakati nyie ni makapuku tu? Mara huyu kasema hivi yule kasema hvi kwani hata kama ilikua n ukweli mtoa mada ulikua unamjua marehem sana kuliko anayemsemea
 
then what!???!
 
Utetezi wake umetokana na msisimuko wa msiba aliouona kutoka kwa WANYONGE
Kama vile wengi hamkuwepo wakati ule wa mchakato. JK hakumtaka JPM. Yeye ilisemekana alikuwa anamtaka Membe na Asha Migiro. Wajumbe wengi walikuwa wanamtaka Lowassa. Ili kumrahisishia huyo jamaa yake, Membe au Migiro, akasimamia show, kuhakikisha Lowassa, hapenyi. Wajumbe nao wakiongozwa na MSUKUMA, wakakasirika, na kuamua kumkomoa, kuhakikisha watu wake huyo JK, hawapiti, na kumpa huyo asiyemtaka, yaani JPM!
Wenye kumbukumbu za wakati wa mchakato ule, watakubaliana na mimi!
Na hilo neno "HAPA KAZI TU!", nakumbuka JPM alipokuwa kwenye kampeni, kati ya mkoa mmoja wa kanda ya kati, au ziwa, aliwaahidi wapiga kura kuwa yeye hatakuwa analala, bali atakuwa anafanya kazi usiku na mchana. Akamalizia kwa kusema… "yaani hapa kwangu, itakuwa kazi tu!" Hapo ndiyo ikapatikana hiyo kauli mbiu ya "HAPA KAZI TU!"
 
Hivi watu hamna la kufanya eti mnahangaika na maisha ya marais wastaafu na wakati nyie ni makapuku tu? Mara huyu kasema hivi yule kasema hvi kwani hata kama ilikua n ukweli mtoa mada ulikua unamjua marehem sana kuliko anayemsemea
Sasa kama wewe ambaye siyo kapuku, ungekuwa na la kufanya! ungekuwa na muda kweli wa kuandika huu upupu wako hapa? Hivi kazi ya mitandao nini? Yaani unataka uwapangie watu cha kusema/kujadili! Wewe kama nani hasa?

Mmiliki mwenyewe tu wa JF humuoni akitokwa na mapovu humu! Ila wewe ambaye hata hujulikani unamiliki nini, unakuja kuwapangia watu humu cha kufanya! Jitahidi kuficha hisia zako! Maana kuna baadhi ya wadau wanaweza kukuchukulia kama una ulemavu wa akili.
 
Kwani Mkipendana na Mtu maana yake hamkwazani?

Pengine mwenzetu bado upo Single
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! [emoji56]
 
Yaani hayo ndiyo maswali magumu?
 
Reactions: Pep
Kwani mtu akiwa rafiki yako huwezi kumkwaza? Tena bora JPM alienda kumshitaki kwa broo wake maana angeenda kwa mtu tofauti ingekuwa ni kumfitini Rais kitu ambacho kingemfanya atupwe nje ya ulingo.

Hapo JPM alicheza kama CR 7 maana kwa broo wanajadili kiundugu but tofauti na hapo angepotezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…