Maswali magumu: Utetezi wa Jakaya Kikwete dhidi ya tuhuma za chuki binafsi dhidi ya Hayati Magufuli msibani

Swadakta!
 
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! [emoji56]
Kwani watu wakipendana hawakwazani?
 
Siasa za bongo Tanzania za kijinga sana,Chadema sasa wameamua kujiunga na team ya msoga...wameachama na chama chao kabsaa!!!Hivi na 2025 mkishindwa uchaguzi mtalalamika mmeibiwa kura?
 
”Duniani waganga njaa wengi, wengine wanapata ugali wao kwa kuongopa.”
Jakaya Kikwete, Chato
26/03/2021
Mleta maada kama huu msumari cyo wako hebu jifanye J.K na uwasilishe salaamu zako ukishindwa ujumbe huo wa mzee wa msoga ubebe unakuhusu
 
Kama unamajibu yako unauliza ili iweje yeye ndo ameshasema yake ilivyokuwa bila hata kuulizwa
 
Aahahaaah hakika tumuache tu😂
 
hii mada ni nzito acha niwe mfuatliaji tu.
 
Mjinga wewe
 
Jitu lilishindwa kupendwa hata na mkewe seuzw na kuchukiwa na jk?yaani jiwe lilikua na gundu hakuna mpenda haki alompenda yule mnafiki
Ungeenda kusema hayo msibani au kwa wale walokuwa wakitandika kanga njiani ili zikanyagwe na gari lililobeba mwili wake uone kama ungetoka mwili ukiwa ukiwa na roho yako i see! Kuna watu wa ajabu sana...eti Magu alichukiwa😳!
 
Hata marehemu kipindi cha uhai wake alikuwa ni mtu wa vijembe
 
JK ni Mswahili kama Waswahili wengine tu wa Pwani. Kuna sehemu alisema JPM alikuwa akimshtaki kwa kaka yake (JK) mara zote alipo mkwaza!! Mara alimpenda sana!! 😇
Huu wote ni uongo. Kama ni kweli, mbona alienedelea kuwa naye katika baraza la mawaziri. Hivi inakujia akilini mwako, kuwa wewe ndiyo mkuu na mwenye uwezo wa kuteua na kutengua eti mtu aakushitaki kwa raisi mstaafu wewe unaendelea kuvumilia kuwa nate. Kumbuka raisi anateua na kutengua uteuzi bila kuwashirikisha marais wastaafu.
 
Siasa za bongo Tanzania za kijinga sana,Chadema sasa wameamua kujiunga na team ya msoga...wameachama na chama chao kabsaa!!!Hivi na 2025 mkishindwa uchaguzi mtalalamika mmeibiwa kura?
Upinzani uliopo kwa ss ni upinzani wa ccm ya zamani vs ccm ya sasa.

Chadema hawana cha kupoteza tena maana chini ya ccm ya sasa walipoteza vyote.
 
Labda yeye atuambe JK angesemaje basi kama hayo aliyoyasema yeye hakubaliani nayo.
 
Hii inanikumbusha miaka niko form four. Nilimsaidia sana kijana mmoja kuwa Raisi wa serikali ya wanafunzi shuleni. Baadaye akanigeuka. Kwa kawaida wanafunzi huvaa mashati ya mikono mifupi isipokuwa viongozi na wastaafu. For one reason or another na mimi nilikuwa navaa shati la mikono mirefu. Sasa huyu president niliyemuweka madarakani akawa amepanga kulikata mikono shati langu mbele ya halaiki. Na mimi nilishtukia mchezo kwa kuondoka assemble na kwenda kubadili bwenini. Alinitafuta sana pale assemble ili atimize nia yake ovu ila hakunipata. Kijana huyu nilikuja kumpokea tena akiwa form five na mimi nikiwa form six pale Mzumbe sec na nilimsaidia kwa hali na mali mpaka alipokuwa mwenyeji.
 

Ulikuwa na upendo wa dhati mkuu!!!!,kwa jinsi ninavyo jijua mm pangechimbika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…