Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Itakua kama dawa ya minyoo , ama utumie kila baada ya miezi 6 au uache usitumie. Yote hiari yako, ikifika wakati huo maambukizi yatakuwa yamepungua maradufu kama sio kukaribia kwisha kabisa
Yaani hamstuki hata,dah! Ajabu sana.
 
Acha ujinga nielimishwe na KILAZA? Unaandika ujinga humu bila kuwa na ushahidi wowote ule kisha kujifanya eti na mwanasayansi!!! Huo upuuzi wako kadanganye wengine siyo humu. Unproven facts without any evidence to support the rubbish that you wrote.
Mkuu BAK unatafuta kuelimishwa kijanja....sijakutuma ukasomee ungwini, sijui chifu mangungo wa masovero, acha watu tuliokuna vichwa tuweke facts hapa....
 
Hujui unachokiongelea,kalale.

Dialogue na wewe ni wastage of energy and time.After all huna contribution yoyote,unaongea ujinga tu.Bye.

Unayeongea ujinga ni wewe. Unaji mwambafy eti specializing in Virology, huna lolote! Kibaka mzoefu pande za Manzese kwa mfuga mbwa.

Ulipo bila shaka unawalia watu timing ukwapue japo simu.

Virologist? Kama wewe virologist nenda kwa mama kuna tume ya ushauri huko. Hutaki. Wataka nini basi? Kutoonyesha uzalendo? Upi?

Nyambafu!
 
Itakua kama dawa ya minyoo , ama utumie kila baada ya miezi 6 au uache usitumie. Yote hiari yako, ikifika wakati huo maambukizi yatakuwa yamepungua maradufu kama sio kukaribia kwisha kabisa
Hapa ndo shida ilipo, kwa sababu utakuwa umeshaingilia mfumo wa kinga asili ya mfumo wa upumuaji (pulmonary immunity) kunakuwa hakuna jinsi lazima maisha yako yote uishi kwa ncha ya sindano....hawa watu siyo.
 
Hujui unachokiongelea,kalale.

Dialogue na wewe ni wastage of energy and time.After all huna contribution yoyote,unaongea ujinga tu.Bye.

Unayeongea ujinga ni wewe. Unaji mwambafy eti specializing in Virology, huna lolote! Kibaka mzoefu pande za Manzese kwa mfuga mbwa.

Ulipo bila shaka unawalia watu timing ukwapue japo simu.

Virologist? Kama wewe virologist nenda kwa mama kuna tume ya ushauri huko. Hutaki. Wataka nini basi? Kutoonyesha uzalendo? Upi?

Nyambafu!
 
Acha ujinga nielimishwe na KILAZA? Unaandika ujinga humu bila kuwa na ushahidi wowote ule kisha kujifanya eti na mwanasayansi!!! Huo upuuzi wako kadanganye wengine siyo humu. Unproven facts without any evidence to support the rubbish that you wrote.
Hata nikikuwekea hizo publications huna akili ya kuzisoma na kuambulia chochote, utabaki kukodoa mimacho na elimu yako ya chifu mangungo wa musovero.....bwahahahahahaha......pole sana mzee BAK.
 
Hakuna tafiti wewe!!! Acha uongo!!! Tafiti hizo zimefanywa lini na katika nchi zipi? Na ni nani aliyefanya tafiti hizo!? 😳😳😳 Eti na wewe ni scientists halafu unaandika ugoro kiasi hiki!!!! Nimekumbuka dhalimu na Phd yake UCHWARA!!! 😂😂😂😂😂

Mkuu unapoteza muda tu eti ma scientists. Hawana lolote ma time saver tu hao. Nia na madhumuni ku derail ripoti ya mama ambayo haihitaji kuwa genius kutambua kuwa chanjo yaja.

Kwa vile chanjo yenyewe hata ni hiari ya mtu, wao ina wawasha nini? Si hawatachanjwa na watabaki salama?

Ila hata wakatambikie uchi, chanjo inakuja na tunaoisubiri kwa bashasha tuko lukuki!

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Toa upuuzi wako mpumbavu wewe. Unajua kiwango cha elimu tangu au UNADEMKA TU! Uongo wako kwingine siyo humu. Eti kuna tafiti!!! Hujui tafiti hizo zimefanyika lini, zimefanywa na nani katika nchi zipi na ukubwa wa sample ulikuwa upi.
Hata nikikuwekea hizo publications huna akili ya kuzisoma na kuambulia chochote, utabaki kukodoa mimacho na elimu yako ya chifu mangungo wa musovero.....bwahahahahahaha......pole sana mzee BAK.
 
Hapa ndo shida ilipo, kwa sababu utakuwa umeshaingilia mfumo wa kinga asili ya mfumo wa upumuaji (pulmonary immunity) kunakuwa hakuna jinsi lazima maisha yako yote uishi kwa ncha ya sindano....hawa watu siyo.
Sasa mbona ugonjwa umesambaa dunia nzima, wao (hao jamaa) hawaugui au ?
 
Hapa ndo shida ilipo, kwa sababu utakuwa umeshaingilia mfumo wa kinga asili ya mfumo wa upumuaji (pulmonary immunity) kunakuwa hakuna jinsi lazima maisha yako yote uishi kwa ncha ya sindano....hawa watu siyo.
ARV vipi, mbona hatupigi kelele huko tena tunapokea kwa mikono miwili. Tuimarishe tafiti zetu za ndani, mambo ya kulalama hayatusaidii
 
Unayeongea ujinga ni wewe. Unaji mwambafy eti specializing in Virology, huna lolote! Kibaka mzoefu pande za Manzese kwa mfuga mbwa.

Ulipo bila shaka unawalia watu timing ukwapue japo simu.

Virologist? Kama wewe virologist nenda kwa mama kuna tume ya ushauri huko. Hutaki. Wataka nini basi? Kutoonyesha uzalendo? Upi?

Nyambafu!
Ninayo present yana prove kwamba mimi ni mbobezi kweli,wala sijimwambafy.Hizi ni dalili za wivu,na hii ni tabia za waswahili,sishangai.
 
Ninayo present yana prove kwamba mimi ni mbobezi kweli,wala sijimwambafy.Hizi ni dalili za wivu,na hii ni tabia za waswahili,sishangai.

Karipoti kwa mama kuna tume ya wataalamu kama wewe ni virologist mbobezi.

Nakukumbusha tena, short of that, you are just another sucker!
 
Toa upuuzi wako mpumbavu wewe. Unajua kiwango cha elimu tangu au UNADEMKA TU! Uongo wako kwingine siyo humu. Eti kuna tafiti!!! Hujui tafiti hizo zimefanyika lini, zimefanywa na nani katika nchi zipi na ukubwa wa sample ulikuwa upi.
Just play bendera fuata upepo, huna hoja yenye scientific merit unayoweza kutoa hapa, simply because you don't have that knowledge.....siyo lazima ujue kila kitu mzee, kama huna knowledge na jambo pitia michango ya wengine ujielimishe, nadhani huo ndo ustaarabu wa kujifunza, right?
 
Ninayo present yana prove kwamba mimi ni mbobezi kweli,wala sijimwambafy.Hizi ni dalili za wivu,na hii ni tabia za waswahili,sishangai.
Mkuu kuna watu humu wanafikiri wakitukana ndo wanakuwa wame advance hoja zao, kimsingi hakuna wanachokuwa wanajua.....wanajihami kwa matusi sijui kwa maslahi ya nani...
 
Sasa mbona ugonjwa umesambaa dunia nzima, wao (hao jamaa) hawaugui au ?
Kwa sasa goma limesukumizwa india....wahindi wamechanganya akili za mbayuwayu wanatumia dawa inaitwa ivermectin kutibu wagonjwa kinyume na maelekezo ya WHO....kuna mimtu humu kazi kushadadia kila kinachoelekezwa na mzungu..
 
You wrote about your stupid research and I asked you a simple question to share that research conclusion with the forum and you are all over the place instead of just saying that you don’t have anything to support your stupidity. You know nothing about me but you’re able to determine the level of my education!! Hapa si mahala pa KUKURUPUKA na kuandika UPUUZI!!! Ukiamua kuandika ujipange hasa kutetea unachoandika vinginevyo ni TAKATAKA TU!
Just play bendera fuata upepo, huna hoja yenye scientific merit unayoweza kutoa hapa, simply because you don't have that knowledge.....siyo lazima ujue kila kitu mzee, kama huna knowledge na jambo pitia michango ya wengine ujielimishe, nadhani huo ndo ustaarabu wa kujifunza, right?
 
Mada hii sio yako,kwa kuwa tangu umeanza kubwabwaja hujaweka fact hata moja kuhusu C-19.Tafuta mada za "ngwini," hapa sio pako.

Kazi kweli kweli. Kinacho ku irk ni kuwa umeshauriwa kusajiliwa kwenye tume ya mama ili ukamwage hoja zako huko na wewe hutaki? Au ni kwa sababu umefahamishwa ukweli mchungu kuwa hii hoja yako kwamba:

"Mimi nifanye conspiracy against my fellow Tanzanians ili iweje?Wake up."

hata dhamana polisi haikupi?

Kama ni hivyo wewe ni virologist uchwara, huna lolote; na huo ndiyo ulio ukweli mchungu!

NB: Nisiache kukufahamisha kuwa mada JF hazina proprietary rights. Hii ikiwa na maana njema ya kutowaacha matapeli wachache, kuwahadaa wengine unchecked.
 
You wrote about your stupid research and I asked you a simple question to share that research conclusion with the forum and you are all over the place instead of just saying that you don’t have anything to support your stupidity. You know nothing about me but you’re able to determine the level of my education!! Hapa si mahala pa KUKURUPUKA na kuandika UPUUZI!!! Ukiamua kuandika ujipange hasa kutetea unachoandika vinginevyo ni TAKATAKA TU!
Siwezi kukupa writings ambazo zipo beyond your capacity to comprehend labda unipe qualification zako, nisamehe bure mkuu...hapa ninachojaribu kufanya ni kuandika kwa lugha rahisi ambayo even a layman can at least understand what is going on..
 
Palikuwa na taarifa za nyongeza za wazi. Waliokwisha chanjwa hawahitaji barakoa wala makorombwezo mengine:

Mbona uhuru kenyata wakati wa ziara ya mama alivaa barakoa, na huko ulaya bado hata kwenye michezo watu wanazuiwa ili hali kuna waliochanjwa
Je na hao waliochanjwa kwa nini wasiingie uwanjani?

Bado h7ko majuu unaona viongozi ambao walivhanjwa tukaonyehswa lakini wanavaa barakoa maana yake nini
 
Back
Top Bottom