Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Yapo maswali muhimu ya kuendelea kujuliza kuhusu chanjo ya kirusi cha corona.

Ieleweke kuwa jamii ya virusi vya mafua imekuwepo nchini Tanzania kwa muda mrefu.
Hakuna mtanzania ambaye hajawahi kuugua mafua japo mara mbili kila mwaka.

Ni ukweli usio shaka kwamba Tanzania na dunia imekuwa ikiathiriwa na virusi mbalimbali vya mafua na pia ni ukweli kuwa kila baada ya miaka mia moja kunakuwa na mlipuko wa mafua kidunia yaani pandemic.

Mwaka 2019 umetokea mlipuko wa kidunia wa mafua aina ya covid ambao umezua taharuki duniani.Virusi wa ugonjwa huu ni jamii ya virusi ambavyo vimekuwa vikisumbua sehemu mbalimbali duniani na upo uwezekano wakati flani Tanzania iliathiriwa lakini pengine kutokana na vifaa vya kiuchunguzi kuwa duni havikutambilika,
Hapa ninamaanisha wakati wa Avian flue huko mashariki ya kati inawezekana Watanzania waliambukizwa,waafrika waliambukizwa kutokana na muingiliano wa kidunia.

Mwaka 2019 mafua yameleta taharuki duniani pengine kutokana na makosa ya WHO au washirika wengine wa maswala ya afya.Taharuki hii imepelekea reaction ya mataifa bila mpangilio na hivyo kuleta athari ya kupoteza maisha.

Wizara ya afya ikifuatilia takwimu zake kwa kina,usahihi na ukweli wa wazi itaona magonjwa au vifo vitokanavyo na mafua au pneimonia ina mfanano yaani similarity kwa miaka kadhaa,nasema hivi kwani wakati wa taharuki ya covid vifo vingi vilisingiziwa kuwa ni covid na vile vifo tulivyozoea vya pneumonia au magonjwa ya upumuaji vilipungua,Hapa naamanisha magonjwa ya njia ya upumuaji katika kipindi cha mlipuko wa covid yalishift na kubatizwa jina la covid.

Analysis ikifanyika naamini itaonesha morbidity na mortality due to respiratory illnesses remains the same let say kwa miaka 10 iliyopita.

Naendelea kusisitiza kuwa kuna uwezekano mkubwa sana tulipoteza wagonjwa hasa kabla ya mei 2020 unnecessary kutokana na taharuki.
Ukitaka kujua ukweli huu fanya analysis ya vifo vya magonjwa ya njia ya hewa kwa mwaka 2021 au baada ya mwezi mei 2020 ambapo watanzania waliondolewa hofu na wataalamu wa afya kutakiwa kuendelea kutibu corona kana mafua mengine.

Naamini pia iwapo tutaendelea na msimamo ule ule wa kuitibu corona kama other influenza like illnesses kwa mwaka ujao na zaidi tutapata matokeo yale yale sio tu hapa Tanzania bali duniani kwa ujumla.

Nikitolea mfano je takwimu za ugonjwa na vifo vya kifua kikuu ziliendaje wakati huu tulipotaharuki na corona?naamini Ugonjwa na vifo vya TB vilipungua,hii ikamaanisha zipo cases za TB zilizobandikwa jina la covid 19 na watu wakapotea.

If my theory is right basi mwaka 2020 ugonjwa wa TB na vifo vyake vilipungua...swali je vilienda wapi...Jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.

Vivyo hivyo ugonjwa au vifo vitokanavyo na magonjwa ya moyo/kisukari vinawezekana vilipungua pia ,vilienda wapi ...jibu ni kuwa vilisingiziwa kuwa ni corona.
wataalamu tufanye analysis zaidi je takwimu za vifo vyote kwa mwaka (hasa vya watu wazima)2016,17,18,19,20,21 viliongezeka au kupungua au vilishabihiana??
my assumption ni kuwa almost vilibaki vile vile.
Msimamo wangu kama mtaalamu ni kuwa taharuki ya kidunia ilifunika ukweli wa kisayansi na bado inataka tufanye maamuzi ya kukurupuka.

Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?

2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa si kirusi kingine cha mafua?

3-Kwa nini miaka yote hatujawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?

4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujidai tunaikinga corona kwa chanjo vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?
I we ready for the pace of preventing almost every desease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority on morbidity and mortality prevention in Tanzania?

5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??

6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataifa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??

7-Je Takwimu zinatuonesha kuwa tukiendelea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??

8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.
Tengenezeni Chanjo yenu ni Mtulize Matter Core
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.
Nikategema KamaMtaalamu wa Virology uje na Utafiti wa Chanjo
Bure kabisa
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.
😀😄😀😄😄😄 Interesting...ila nadhani utatafutwa na pharmaceutical cartels..watch out...covid-19 is business..
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.

You call yourself a scientist by citing other scientists’s published studies that usually remain over 70% patented and hidden??? Really?? You are referring to peer reviews, that is naked truth!!

Narrative wanayotoa au unayotoa inaweza kutolewa na mtu yeyote!! Hata Trump alitoa narratives pamoja na kutaka pia kuchukua sifa za kuleta chanjo hizi in record time!!

What baffles me is this - “so-called scientist” not providing any kind of solutions!! Mchango wako katika swala hili ni nini - kusaidia kuonesha wasiwasi??? Unaweza kusema hapa umegundua nini kipya ambacho hakijawahi kugunduliwa na hawa tunaoona wamekosea??

Nchii hii ina wataalamu wa kilimo lakini hatuuzi mazao nje kihivo! Sasa ina hata virologists - hawana hata chanjo walizogundua na hata zisipitishwe.

Bro, I have respect for what you have achieved BUT heeey - keeping quiet on this matter would have been justice to yourself!!
 
Pia, chaguo tunalo wanaotoa chanjo si wazungu pekee. Wapo China na Russia pia wanazitoa , labda useme nao wana ajenda moja na hao Rothschild .

Bro, utachoka na huyu jamaa halafu anajiita mwanasayansi huku wasiwasi wake ukiongozwa na wasiwasi tu!!

Na umeona! Hakuna sehemu yoyote katika bandiko lake ametaja hata anayetaka kutuondoa ni nani! Hawezi hata kutoa taarifa za wangapi wameuawa kwa chanjo nyingine zote. Hana hata utafiti wake angalau kusema njia sahihi ni nini. Mwanasayansi anaitwaje hivo bila kuwa na utafiti wake?? Yaani tufikie kusema mtu akijua jina na au visifa vya kijidudu basi ni mwanasayansi??

Na hawa ndio wasomi wetu!! Ujuzi wao uko katika kutaja vitu kwa majina. Baaasi!!
 
Bro, utachoka na huyu jamaa halafu anajiita mwanasayansi huku wasiwasi wake ukiongozwa na wasiwasi tu!!

Na umeona! Hakuna sehemu yoyote katika bandiko lake ametaja hata anayetaka kutuondoa ni nani! Hawezi hata kutoa taarifa za wangapi wameuawa kwa chanjo nyingine zote. Hana hata utafiti wake angalau kusema njia sahihi ni nini. Mwanasayansi anaitwaje hivo bila kuwa na utafiti wake?? Yaani tufikie kusema mtu akijua jina na au visifa vya kijidudu basi ni mwanasayansi??

Na hawa ndio wasomi wetu!! Ujuzi wao uko katika kutaja vitu kwa majina. Baaasi!!

Huyo bwana seriously anaweza kuwa mgonjwa. Angeshauriwa kuonana na mtalaamu wa magonjwa akili mapema iwezekanavyo. Ingeweza ikamsaidia.
 
Bro, utachoka na huyu jamaa halafu anajiita mwanasayansi huku wasiwasi wake ukiongozwa na wasiwasi tu!!

Na umeona! Hakuna sehemu yoyote katika bandiko lake ametaja hata anayetaka kutuondoa ni nani! Hawezi hata kutoa taarifa za wangapi wameuawa kwa chanjo nyingine zote. Hana hata utafiti wake angalau kusema njia sahihi ni nini. Mwanasayansi anaitwaje hivo bila kuwa na utafiti wake?? Yaani tufikie kusema mtu akijua jina na au visifa vya kijidudu basi ni mwanasayansi??

Na hawa ndio wasomi wetu!! Ujuzi wao uko katika kutaja vitu kwa majina. Baaasi!!
Mkuu, nashukuru kwa angalizo.
 
tumia akili mkuu.

kipindi tuko jkt kuna afisa mkuu wa kambi ulikuwa ukikosea,anaanza yeye kujigaragaza kwenye matope na kubebba magogo,lengo ni......

sasa nyinyi watu hamtaki kabisa kutumia akili.
Kwahiyo kwa ulichoandika kwenu ndio wanaita kutumia akili?!? Sisi ni watu gani hao?
 
Akiendelea kubisha atakuwa ana mgao wake katika hili swala la chanjo chanjo za covid. Si kila raia ni mzalendo.
I know who these people are Samcesar,na ndio maana wakati mwingine I become rude with them.They are implanted agents of the NWO cabal kwa hiyo wanachodhini ni mgao wao,maisha ya watu is nothing to them.
 
I know who these people are Samcesar,na ndio maana wakati mwingine I become rude with them.They are implanted agents of the NWO cabal kwa hiyo wanachodhini ni mgao wao,maisha ya watu is nothing to them.

Tume ya mama iliyosheni ma virologists imeshatoa ripoti yake iko hapa. Hawa ni wasomi waliobobea kweli kweli kwenye maeneo yao wala si maneno matupu. Vipi virologist umeiona?


Angalia mkuu karibu unapwelewa.
 
You call yourself a scientist by citing other scientists’s published studies that usually remain over 70% patented and hidden??? Really?? You are referring to peer reviews, that is naked truth!!

Narrative wanayotoa au unayotoa inaweza kutolewa na mtu yeyote!! Hata Trump alitoa narratives pamoja na kutaka pia kuchukua sifa za kuleta chanjo hizi in record time!!

What baffles me is this - “so-called scientist” not providing any kind of solutions!! Mchango wako katika swala hili ni nini - kusaidia kuonesha wasiwasi??? Unaweza kusema hapa umegundua nini kipya ambacho hakijawahi kugunduliwa na hawa tunaoona wamekosea??

Nchii hii ina wataalamu wa kilimo lakini hatuuzi mazao nje kihivo! Sasa ina hata virologists - hawana hata chanjo walizogundua na hata zisipitishwe.

Bro, I have respect for what you have achieved BUT heeey - keeping quiet on this matter would have been justice to yourself!!
Stupid comment.So niji-quote mwenyewe!Who will believe me.

Anyway sikulaumu,comment yako inaonyesha kwmba you are very ignorant.
 
Mimi ni mwanasayansi mkuu,na ninacho ongea ndio sayansi yenyewe.Kinachoendelea kwenye C-19 kwa sasa is fake science,kwa hiyo hatuwezi kukubali ujinga huo uwe copied kwenye nchi yetu,we must raise our voices.

Mkuu siku hizi wanasayansi wengine wananunuliwa kwa fedha,sasa tukiwaachia Wanasayansi wa namna hiyo watuamulie mambo yetu, tutaingizwa mkenge sana.

Niseme pia kwamba serikali zinanunuliwa!Katika swala hili hili la C-19,serikali ya Nigeria ilikuwa offered mrungura wa US$ 10 billion na Bill Gates,kwa bahati nzuri serikali ya Nigeria ilikataa.
Labda kuna kitu ambacho watu wengi are ignorant about.Katika swala la C-19,kuna a lot of money at stake za mrungura,kwa kuwa the whole thing is fake,kwa hiyo they buy Governments, ili wakubali utapeli wao.

Furthermore,wenye agenda ya C-19,ambao ni mpango muovu kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Wanadamu,ni watu wanaochapisha fedha:US dollars, Shillingi ya Tanzania na zingine nyingi.Hawa sio wengine ila ni akina Rothschild.Hawa watu fedha sio shida kwao,they can literally offer any amount so as to advance their agenda.Infact wana own pia the US Federal Reserve,na Central Banks nyingi za dunia ni zao.Ni shareholders wa the World Bank na IMF,kama hawa-own organizations hizo.

Kwa sababu hiyo lazima tupige kelele ili mamlaka na wale wanaoitwa wanasayansi wanaotuwakilisha wajue kwamba sisi sio mbumbu,tunajua kinachoendelea.

Tabia ya kudhani kwamba serikali za dunia kila wakati zinawatakia wananchi wao mema si sahihi kabisa,kwa kuwa serikali nyingi zimewaingiza wananchi wao mkenge.So people must be vigilant.Kwa bahati mbaya wanadamu kwa ujumla wamelitambua hili when it is too late,a lot of damage has already been done and continues to be done..
Mkuu unazungumziaje swala la HIV? (UKIMWI)

Is it a fake disease?
 
Nikategema KamaMtaalamu wa Virology uje na Utafiti wa Chanjo
Bure kabisa
Dah,kweli wajinga ndio waliwao.Nimesema wazi hii sio chanjo,ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System, doesn't that tell you everything.

Anyway way sio mtaalamu,kwa hivyo dialogue na wewe ni time wastage.
 
😀😄😀😄😄😄 Interesting...ila nadhani utatafutwa na pharmaceutical cartels..watch out...covid-19 is business..
I do not care,as long as nilichosema ni kweli na sahihi,usinitishe,business za kuua watu!

Najua huu ni mpango wa genocide wa the NWO cabal,na najua pia kwamba wameua whittle blowers wengi,but you die only once.Na hata hivyoo,mbona akina David Icke,Robert Kennedy na madaktari wengi tu independent and uncompromized worldwide wameendelelea kupaza sauti zao against this extremely evil plan against humanity?Mkuu we have a duty, everybody of us,to say no to this evil plan.
 
Kwa sasa goma limesukumizwa india....wahindi wamechanganya akili za mbayuwayu wanatumia dawa inaitwa ivermectin kutibu wagonjwa kinyume na maelekezo ya WHO....kuna mimtu humu kazi kushadadia kila kinachoelekezwa na mzungu..
Sasa kwa mfano hawa wakifanikiwa kutengeneza covid mpya watamlaumu nani ?
 
Back
Top Bottom