Mbona uhuru kenyata wakati wa ziara ya mama alivaa barakoa, na huko ulaya bado hata kwenye michezo watu wanazuiwa ili hali kuna waliochanjwa
Je na hao waliochanjwa kwa nini wasiingie uwanjani?
Bado h7ko majuu unaona viongozi ambao walivhanjwa tukaonyehswa lakini wanavaa barakoa maana yake nini
Maswali yako mawili yaikuwa wazi:
Majibu yangu kwenye red pia yalikuwa wazi na cha mno nikakutaarifu wapi unaweza kusoma zaidi:
Kweli sikujibu maswali yako au una maswali mapya? Au majibu yanayoashiria mafanikio wewe huyapendi kwa sababu zako tu?
Kama una mapya haya je, tumemalizana nayo? Nitafurahi kuyajibu mapya lakini kwanza nijue if we are making progress.
Au vipi mjomba?