Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Nikiangalia ile misongamano ya watu mahali kama Kariakoo, mbagala, masokoni , katika daladala na sehemu zingine na hatusikii wala kuona vifo wala mazishi yasiyo ya kawaida huku mitaani tunakoishi, halafu wanakuja watu wanashupaa kuwa Tanzania kuna corona! Hivi unahitaji kusisitiziwa kuwa corona ipo? kama ingekuwepo yenyewe ingejieleza kupitia vifo mitaani.

Mungu ameilinda Tanzania kipindi chote huku wenzetu wakifa kwa corona huko nje. Ikiwa tumechoka kumtegemea naye anaweza kuiacha Tanzania ikawa kama mataifa mengine. Ila chonde chonde hatua zozote zitakazochukuluwa katika hicho kinachoitwa kupambana na corona kiwe hiyari na tusilazimishane kuvaa barakoa wala kuchanja.

Mwisho wa siku kila mtu ataona tofauti ya kumtegemea na kutomtegemea Mungu .
 
Nyie mnajidai sijui new world order halafu mnatumia smartphone na mitandaonya mzungu, mzungu anajua nyumbani kwako ni wapi, unalala saa ngapi, unaamka saa ngapi kupitia hiyo hiyo simu yako. Wakiamua kutuua wala hamna haja ya kuzunguka mbuyu sijui chanjo, anakutega tu pale unapopapenda kwenye smartphone na mitandao
 
Ndio kipimo chako cha magonjwa kwa kuangalia msongamano wa watu Kariakoo na Mbagala. Upuuzi ulioje

Ugonjwa huu unakuja na wimbi "wave" na kupotea.

Ukaangalie pia misongamano ya ibada za maziko makaburini
 
Covid19 sio mafua na hata dalili zake mafua ni kwa asilimia ndogo sana,unasema WHO wamekosea kwa kutumia data zipi kuonyesha haya makosa?
 
Dah,kweli wajinga ndio waliwao.Nimesema wazi hii sio chanjo,ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System, doesn't that tell you everything.

Anyway way sio mtaalamu,kwa hivyo dialogue na wewe ni time wastage.
Unaongea Uharo
 
Unaongea Uharo
Sema kwa nini nilicho ongea ni uharo,give facts,sio matusi.Hii inaonyesha jinsi ulivyofirisika kimawazo na usivyo elewa mada iliyoko mezani.Nenda kwenye mada za udaku mkuu,hapa sio pako.
 
Sema kwa nini nilicho ongea ni uharo,give facts,sio matusi.Hii inaonyesha jinsi ulivyofirisika kimawazo na usivyo elewa mada iliyoko mezani.Nenda kwenye mada za udaku mkuu,hapa sio pako.
Andaa Bega uchanjwe Bwege wewe
Tena wewe tutakuchanja Matakoni
 
Andaa Bega uchanjwe Bwege wewe
Tena wewe tutakuchanja Matakoni
Eti tutakuchanja, who are you in the first place.Mkuu kwa taarifa yako,wa mwisho atakuwa mimi,nifanywe kuwa Zombie niwe controlled by remote control!Death is preferable.

Na hata hivyo kamati imesema chanjo itakuwa "huru" kwa the idiots and stupid like you as the Bildeberger Group calls you👇.

 
Yes,kiuhalisia international organizations zilizobuniwa in the West are not trustworthy,it is sad kwamba hatulitambui hilo.
 
Tutakuchanja ya Matako tena
 
Chanjo kabla ya kuruhusiwa kutumia tz lazima ithibishwe na mamlaka husika whether ni tbs au tfda . Nchi zote duniani zimefanya hivyo,nyie mnao lia lia kwa ni hatari hamuiamini serikali yenu?

Watu wabishi ila mmepigwa chanjo kibao,
Kifua kikuu
Surua
Pepo punda
Homa ya manjano
Homa ya ini
Donda koo
Chanjo ya malaria inafanyiwa majaribio Ifakara kwa sasa.

Mzungu kote huko ameshindwa kutuua tena chanjo nyingine tunapewa baada tu ya kuzaliwa?
 
Online kuna porojo nyingi sana, kina Alex Jones wamevuruga akili za watu wengi mno.

Watu wanajiita scientists halafu wanaongea conspiracy theories zilizokuwa enforced na fake news, wakiombwa proof wanaanza kusema "hatutaweza kuelewa". Itoshe kusema kama lengo ni kuwamaliza watu weusi, kuna dawa nyingi sana tunaletewa ambazo zingeweza kutumika.

Hata UKIMWI nao ulikuwa na watu wenye akili za ki-conspiracy hivi hivi, hapa tuna Dr Gwajima South Africa walikuwa na Dr Manto akiwaambia watu dawa ya kudhibiti HIV ni kula tangawizi, kitunguu swaumu na beetroot badala ya kutumia ARV. Wanasayansi wachache wanaopingana na Wanasayansi wenzao huwa hawakosekani.
 
Wafuasi wa mwendazake walilishwa sumu mbaya
 
Kukuua hadharani itamfanya ashtakiwe
 
Imagine chanjo ya malaria imeanza kufanyiwa utafiti lini na hadi leo haijawa aporoved kwa matumizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…