Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Tatizo la baadhi yenu mnachanganya tu conspiracy theories na hisia zenu mnatengeneza uhalisia wenu mnaoujua. Hapo unaandika na bonge la kovu ya chanjo ya ndui begani kutoka kwa hao hao, na haujafa na wali wa Idi umekula!
Tumezungumza sana kuhusu ujinga huu wa kudhani kitu usichokijua ni conspiracy theory.Wanao conspire against us ni hawa waliotuletea Corona.Wanawafundisha ujinga,halafu na ninyi mnaimba kama parots.Mimi nifanye conspiracy against my fellow Tanzanians ili iweje?Wake up.

Halafuu,kuwa na kovu la ndui ina maana kwamba mimi kuchanjwa ilikuwa sahihi,no,it was wrong then and it is wrong now.After all zile zilikuwa nyakati za ujinga,now we know what is happening,lazima tukatae.Acheni ujinga.
 
Tuna ushahi wa kutosha wa kila kitu mkuu,hatuzungumzi tu.Tuna ushahidi wa kutosha kwamba they are planning the genocide of Africans and humanity in general.Kama ushahidi huna ni wewe mkuu.Halafu mbona ushahidi upo all around us,you just need to be diagnostic.

Halafu mkuu,usinichekeshe,
wanaohusika na mipango hiyo wanakiri kwamba kweli mipango hiyo ipo,wewe ni nani hata useme haipo,ajabue....!

Unaonaje pale kwenye 'Africans' pangekuwa angalau 'Americans, Brazilians, Italians au Indians' maana kwa takwimu zilizopo wamepelekeshwa hao katika namna iliyo spesheli mno kuliko kote kwingineko?

"Tuna ushahidi wa kutosha kwamba they are planning the genocide of 'Africans' and humanity in general."
 
Tuna ushahi wa kutosha wa kila kitu mkuu,hatuzungumzi tu.Tuna ushahidi wa kutosha kwamba they are planning the genocide of Africans and humanity in general.Kama ushahidi huna ni wewe mkuu.Halafu mbona ushahidi upo all around us,you just need to be diagnostic.

Halafu mkuu,usinichekeshe,
wanaohusika na mipango hiyo wanakiri kwamba kweli mipango hiyo ipo,wewe ni nani hata useme haipo,ajabue....!
Kitabu ulichopost ni cha mwaka 1986 miaka 35 imepita bado wana mpango huo?

Mabadiliko tu ya gharama za maisha yanayotokana na kukua kwa miji ndio yatapunguza idadi ya watu. Sasa hivi mijini watu hawazaliani hovyo maisha si mepesi kama vijijini huko.
 
Mimi ni mwanasayansi mkuu,na ninacho ongea ndio sayansi yenyewe.Kinachoendelea kwenye C-19 kwa sasa is fake science,kwa hiyo hatuwezi kukubali ujinga huo uwe copied kwenye nchi yetu,we must raise our voices.

Mkuu siku hizi wanasayansi wengine wananunuliwa kwa fedha,sasa tukiwaachia Wanasayansi wa namna hiyo watuamulie mambo yetu, tutaingizwa mkenge sana.

Niseme pia kwamba serikali zinanunuliwa!Katika swala hili hili la C-19,serikali ya Nigeria ilikuwa offered mrungura wa US$ 10 billion na Bill Gates,kwa bahati nzuri serikali ya Nigeria ilikataa.
Labda kuna kitu ambacho watu wengi are ignorant about.Katika swala la C-19,kuna a lot of money at stake za mrungura,kwa kuwa the whole thing is fake,kwa hiyo they buy Governments, ili wakubali utapeli wao.

Furthermore,wenye agenda ya C-19,ambao ni mpango muovu kabisa kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Wanadamu,ni watu wanaochapisha fedha:US dollars, Shillingi ya Tanzania na zingine nyingi.Hawa sio wengine ila ni akina Rothschild.Hawa watu fedha sio shida kwao,they can literally offer any amount so as to advance their agenda.Infact wana own pia the US Federal Reserve,na Central Banks nyingi za dunia ni zao.Ni shareholders wa the World Bank na IMF,kama hawa-own organizations hizo.

Kwa sababu hiyo lazima tupige kelele ili mamlaka na wale wanaoitwa wanasayansi wanaotuwakilisha wajue kwamba sisi sio mbumbu,tunajua kinachoendelea.

Tabia ya kudhani kwamba serikali za dunia kila wakati zinawatakia wananchi wao mema si sahihi kabisa,kwa kuwa serikali nyingi zimewaingiza wananchi wao mkenge.So people must be vigilant.Kwa bahati mbaya wanadamu kwa ujumla wamelitambua hili when it is too late,a lot of damage has already been done and continues to be done..

Mkuu unaonaje kama ungepiga ripoti kwa mama Samia akushirikishe kwenye ile tume ya wataalamu wabobezi badala ya kujikita huku mitandaoni tu ambako aghalabu tupo tunaopenda kuwasikiliza wataalamu bila kusahau kuwa nasi tuna haki ya kuchanganya na za kwetu kwenye tunayoambiwa?
 
Mkuu chanjo zingekuwa zinasaidia kuthibiti korona, India isingekumbwa na tatizo maana huko ndo makampuni ya madawa yamejikita yanayozalisha madawa na chanjo zinazotumika ulimwengu wa tatu...kuna utafiti ulioonyesha kwamba watu waliochanjwa kuzuia mafua (common cold) huko ulaya walikuwa na uwezekano mkubwa wa kuambukizwa na kupata dalili mbaya za ugonjwa wa korona, na hii kitaalamu wakaita 'vaccine induced enhancement of respiratory infection' Kwa hiyo utaona chanjo zinaweza kuleta shida moja kubwa ya watu kupoteza kinga ya asili kwenye mfumo wao wa upumuaji (pulmonary immunity) na kuishia kuwa watumwa wa chanjo.....nafikiri kama nchi hatuhitaji kufika huko...wazungu wanajua wanachokifanya, wanatengeneza fursa za kibiashara kwenye chanjo na madawa kwa ajili ya magonjwa wanayotengeneza wenyewe, kila mmoja anajua kinachofanyika kwenye HIV.....kwa hiyo ni bora serikali ikapunguza wenge.....
 
Mkuu unaonaje kama ungepitia ripoti kwa mama Samia akushirikishe kwenye ile tume ya wataalamu wabobezi badala ya kujikita huku mitandaoni tu ambako aghalabu tupo tunaopenda kuwasikiliza wataalamu bila kusahau kuwa nasi tuna haki ya kuchanganya na za kwetu kwenye tunayoambiwa?
Ushauri wako ni wa kijinga mosi,lakini pilii,ni sayansi gani iliyoko hapa JF,udaku wa mainstream media!Acha utani dogo.
 
Hivi huoni aibu kuja humu kuandika uongo kuhusu kitu ambacho huna uelewa nacho? Marekani na nchi nyingi za Ulaya idadi ya maambukizi, wanaolazwa na wanaokufa kutoka a na COVID-19 imepungua sana lakini hulijui hilo! Bado ukakurupuka kuandika ujinga wako!!

Mkuu chanjo zingekuwa zinasaidia kuthibiti korona, India isingekumbwa na tatizo maana huko ndo makampuni ya madawa yamejikita yanayozalisha madawa na chanjo zinazotumika ulimwengu wa tatu...kuna utafiti ulioonyesha kwamba watu waliochanjwa kuzuia mafua (common cold) huko ulaya walikuwa na uwezekano mkubwa wa kuambukizwa na kupata dalili mbaya za ugonjwa wa korona, na hii kitaalamu wakaita 'vaccine induced enhancement of respiratory infection' Kwa hiyo utaona chanjo zinaweza kuleta shida moja kubwa ya watu kupoteza kinga ya asili kwenye mfumo wao wa upumuaji (pulmonary immunity) na kuishia kuwa watumwa wa chanjo.....nafikiri kama nchi hatuhitaji kufika huko...wazungu wanajua wanachokifanya, wanatengeneza fursa za kibiashara kwenye chanjo na madawa kwa ajili ya magonjwa wanayotengeneza wenyewe, kila mmoja anajua kinachofanyika kwenye HIV.....kwa hiyo ni bora serikali ikapunguza wenge.....
 
Kitabu ulichopost ni cha mwaka 1986 miaka 35 imepita bado wana mpango huo?

Mabadiliko tu ya gharama za maisha yanayotokana na kukua kwa miji ndio yatapunguza idadi ya watu. Sasa hivi mijini watu hawazaliani hovyo maisha si mepesi kama vijijini huko.
Mkuu huwajui hawa watu kabisae!Wanakabidhiana majukumu from generation to generation.Sisi tunafanya mipango ya maendeleo sana sana ya 5yrs! It is a joke,wenzetu wanafanya mipango ya millennia.Sasa unashangaa 1989!Kwao hiyo ni less than a minute ago.Mkuu what can you reasonably do in 5yrs.
 
Mkuu huwajui hawa watu kabisae!Sisi tunafanya mipango ya maendeleo sana sana ya 5yrs! It is a joke,wenzetu wanafanya mipango ya millennia.What can you reasonably do in 5yrs.
Kwa hiyo bado wanapanga au wameshaanza utekelezaji.

Idadi ya watu Afrika inaendelea kukua mkuu
 
Tumezungumza sana kuhusu ujinga huu wa kudhani kitu usichokijua ni conspiracy theory.Wanao conspire against us ni hawa waliotuletea Corona.Wanawafundisha ujinga,halafu na ninyi mnaimba kama parots.Mimi nifanye conspiracy against my fellow Tanzanians ili iweje?Wake up.

Halafuu,kuwa na kovu la ndui ina maana kwamba mimi kuchanjwa ilikuwa sahihi,no,it was wrong then and it is wrong now.After all zile zilikuwa nyakati za ujinga,now we know what is happening,lazima tukatae.Acheni ujinga.

Hahaahaaa haa 😂😂😂.

Hii mambo: leaves a lot to be desired:

"Mimi nifanye conspiracy against my fellow Tanzanians ili iweje?Wake up."

Kauli hii haitoshi kupewa hata dhamana polisi. Wamekuwapo kina Ole hapa na kauli nzito kuliko hata hizi zako na machozi ya damu machoni, ati kuwa ni wazalendo sana. Kumbe majizi, dhulumati, na mauaji makubwa!

Itoshe kukwambia kauli hiyo tu, haitoshi kuji exonerate mahali popote.
 
Tatizo sio 666 je hiyo chanjo ukichomwa huugui tena corona?
Je hatutavaa ma balakoa tena tukishachoma?

Nina uhakika na wakubwa wa mataifa makubwa wamesha chomwa hiyo chanjo.
Sasa kwa nini wanaogopa kushikana na watu mikono na bado wanavaa barakoa?
Ukiweza nisaidie hayo majibu mawili

Chanjo za Ndui, polio na nyinginezo zilikuja kipindi hata ubaguzi wa rangi ukiwa juu. Tena baada ya ukoloni, hao wabaya walikuwa na fursa kubwa ya kutumaliza.

Hizo chanjo za covid, zipo za mchina, mrusi, mjerumani, mmarekani , mwingereza. Itakua ni jambo la kistaajabisha kuamini mataifa yote hayo yenye itikadi na mitizamo tofauti ya kidini na siasa, yakawa na lengo moja la kuangamiza watu duniani.

Hadithi za 666 tumezisikia muda tu , hasa kwenye masuala ya afya. Kuanzia njia za uzazi wa mpango hadi ugonjwa wa ukimwi.

Nachoweza kuungana na wengi, ni masuala haya ya chanjo na madawa, ni biashara kubwa pia ni silaha za kisiasa. Sisi tulioachwa nyuma tujijengee uwezo wetu wa ndani wa kisayansi , sivyo tutabakia kupiga umbea na fikra potofu za majukwaa feki ya kiimani
 
Ushauri wako ni wa kijinga mosi,lakini pilii,ni sayansi gani iliyoko hapa JF,udaku wa mainstream media!Acha utani dogo.

Umesema mwenyewe kuwa:

"Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology."

Tunakushauri kuorodheshwa kwenye tume ya mama umeruka kimanga, futi mia mbili!

Tunakushauri kama mtalaamu kubwabwaja tu huku JF haina msaada unadai tena:

"Haipo sayansi JF bali ni udaku wa mainstream media."

Wakati mbwabwaji ni wewe.

Kwamba ushauri ni wa kijinga? Aah wapi? Labda kama pana mjinga mwenyewe hapa!
 
Hivi huoni aibu kuja humu kuandika uongo kuhusu kitu ambacho huna uelewa nacho? Marekani na nchi nyingi za Ulaya idadi ya maambukizi, wanaolazwa na wanaokufa kutoka a na COVID-19 imepungua sana lakini hulijui hilo! Bado ukakurupuka kuandika ujinga wako!!
Hapa tunaongelea tafiti zilizofanyika, siyo blah blah, au nikuwekee hapa hizo publications, unajua kwamba utafiti umeonyesha virusi vya korona vina baadhi ya vinasaba vinavyopatikana kwenye kirusi cha HIV, hii ikionyesha kwamba korona virus kama kilivyo HIV kimekuwa engineered? tatizo mkishasoma udaku wa google mnafikiri kuna jambo mnajua....sisi wengine ni scientists tuna reason na tunasoma publications kutoka kwenye international journals, siyo vimaelezo vya wikipedia...
 
Hakuna tafiti wewe!!! Acha uongo!!! Tafiti hizo zimefanywa lini na katika nchi zipi? Na ni nani aliyefanya tafiti hizo!? 😳😳😳 Eti na wewe ni scientists halafu unaandika ugoro kiasi hiki!!!! Nimekumbuka dhalimu na Phd yake UCHWARA!!! 😂😂😂😂😂


Hapa tunaongelea tafiti zilizofanyika, siyo blah blah, au nikuwekee hapa hizo publications, unajua kwamba utafiti umeonyesha virusi vya korona vina baadhi ya vinasaba vinavyopatikana kwenye kirusi cha HIV, hii ikionyesha kwamba korona virus kama kilivyo HIV kimekuwa engineered? tatizo mkishasoma udaku wa google mnafikiri kuna jambo mnajua....sisi wengine ni scientists tuna reason na tunasoma publications kutoka kwenye international journals, siyo vimaelezo vya wikipedia...
 
Tatizo sio 666 je hiyo chanjo ukichomwa huugui tena corona?
Je hatutavaa ma balakoa tena tukishachoma?

Nina uhakika na wakubwa wa mataifa makubwa wamesha chomwa hiyo chanjo.
Sasa kwa nini wanaogopa kushikana na watu mikono na bado wanavaa barakoa?
Ukiweza nisaidie hayo majibu mawili
Mkuu hiyo chanjo ni biashara, itatakiwa kuchanjwa kila miezi 6 kuweza ku maintain immunity.....hakuna biashara nzuri kama hii.
 
Tatizo sio 666 je hiyo chanjo ukichomwa huugui tena corona?
Je hatutavaa ma balakoa tena tukishachoma?

Nina uhakika na wakubwa wa mataifa makubwa wamesha chomwa hiyo chanjo.
Sasa kwa nini wanaogopa kushikana na watu mikono na bado wanavaa barakoa?
Ukiweza nisaidie hayo majibu mawili
Chanjo inapunguza nguvu ya ugonjwa ukikupata hautakupelekesha kabisa, haizuii kuambukizwa korona.

Ni kama ukichanja dawa za sumu ya nyoka. Haikuzuii kugongwa na nyoka, inazuia nguvu ya sumu ya nyoka. Ukichanjwa unaendelea kuchukua tahadhari
 
Tatizo sio 666 je hiyo chanjo ukichomwa huugui tena corona?
Je hatutavaa ma balakoa tena tukishachoma?

Nina uhakika na wakubwa wa mataifa makubwa wamesha chomwa hiyo chanjo.
Sasa kwa nini wanaogopa kushikana na watu mikono na bado wanavaa barakoa?
Ukiweza nisaidie hayo majibu mawili

Palikuwa na taarifa za nyongeza za wazi. Waliokwisha chanjwa hawahitaji barakoa wala makorombwezo mengine:

 
Mkuu hiyo chanjo ni biashara, itatakiwa kuchanjwa kila miezi 6 kuweza ku maintain immunity.....hakuna biashara nzuri kama hii.
Itakua kama dawa ya minyoo , ama utumie kila baada ya miezi 6 au uache usitumie. Yote hiari yako, ikifika wakati huo maambukizi yatakuwa yamepungua maradufu kama sio kukaribia kwisha kabisa
 
Hakuna tafiti wewe!!! Acha uongo!!! Tafiti hizo zimefanywa lini na katika nchi zipi? Na ni nani aliyefanya tafiti hizo!? 😳😳😳 Eti na wewe ni scientists halafu unaandika ugoro kiasi hiki!!!! Nimekumbuka dhalimu na Phd yake UCHWARA!!! 😂😂😂😂😂
Mkuu BAK unatafuta kuelimishwa kijanja....sijakutuma ukasomee ungwini, sijui chifu mangungo wa masovero, acha watu tuliokuna vichwa tuweke facts hapa....
 
Kitabu ulichopost ni cha mwaka 1986 miaka 35 imepita bado wana mpango huo?

Mabadiliko tu ya gharama za maisha yanayotokana na kukua kwa miji ndio yatapunguza idadi ya watu. Sasa hivi mijini watu hawazaliani hovyo maisha si mepesi kama vijijini huko.
Hujui unachokiongelea,kalale.
Umesema mwenyewe kuwa:

"Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology."

Tunakushauri kuorodheshwa kwenye tume ya mama umeruka kimanga, futi mia mbili!

Tunakushauri kama mtalaamu kubwabwaja tu huku JF haina msaada unadai tena:

"Haipo sayansi JF bali ni udaku wa mainstream media."

Wakati mbwabwaji ni wewe.

Kwamba ushauri ni wa kijinga? Aah wapi? Labda kama pana mjinga mwenyewe hapa!
Dialogue na wewe ni wastage of energy and time.After all huna contribution yoyote,unaongea ujinga tu.Bye.
 
Back
Top Bottom