Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Maswali muhimu kwa chanjo ya COVID-19

Imagine chanjo ya malaria imeanza kufanyiwa utafiti lini na hadi leo haijawa aporoved kwa matumizi.
Malaria iliwahi kusimamisha shughuli zozote za kiuchumi worldwide?

I mean, imewahi kuhitaji any state of emergency?

Watu wangapi wamewahi kukaa lockdown shughuli zisiendelee kisa Malaria?

Tukijibu haya maswali tutaelewa kwamba Covid -19 ni tofauti.

Hakuna reason yoyote kwanini iwe treated kama magonjwa mengine ambayo pamoja na uwepo wayo still shughuli zetu ziliendelea and life was normal
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.

Mkuu mimi pia ni mtaalamu katika eneo langu na kwa kweli ninaheshimu wataalamu waliobobea katika eneo husika. Wewe kama unavyosema ni mwanasayansi katika eneo linalohusiana na virusi so utakuwa na uelewa mpana katika eneo hilo. Kwa sisi wengine kuelewa issues katika eneo hilo ni ngumu hivyo tunategemea utaalamu na maamuzi ya waliobobea katika eneo hilo.

Sasa katika nchi mbali mbali duniani kuna wataalamu wenzako ambao pia wamebobea kwenye maeneo hayo na wengine wamepewa pia dhamana za kushauri na kufanya maamuzi kwa niaba ya nchi zao. Wengi kwa nchi tofauti tofauti wanasema chanjo zimefuata taratibu za kisayansi na zinafaa kwa matumizi ya binadamu. Na wao wameamua kama jopo la wataalamu na si mtu mmoja mmoja.

Ngoja nikupe mfano wa hizo nchi hapa chini :

Kenya, Uganda, Rwanda, Egypt, Nigeria, Afrika Kusini na nchi nyingine nyingi za Afrika kama sio karibia zote. Sisi Tz wataalamu wetu walikuwa hawajasema. Nao jana pia wameungana na wataalamu wenzao.

Nchi nyingine kama Russia, China, Israel, Sweden, Denmark, Australia, USA, Uholanzi, Canada etc etc wataalamu wenzako wa virology kwenye nchi hizo wote wamekaa na ku-approve chanjo.

Kwa mimi ambaye sio mtaalamu unataka nikuamini mtalaamu wewe na nisiwaamini hao wataalamu wengine wote ?!
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Maswali
1-Iwapo ugonjwa wa mafua ambao mara nyingi husababishwa na virusi vinavyojibadilisha unahitaji chanjo ?

2-Tukija na Chanjo ya corona tuna uhakika gani kuwa kitakachowamaliza wagonjwa si kirusi kingine cha mafua?

3-Kwa nini miaka yote hatujawahi kujadili chanjo za mafua mbalimbali ambayo yameleta madhara in a seasonal way miaka na miaka?

4-Je kama Taifa tumeshajipanga sasa kuwa na chanjo au tiba ya kila ugonjwa unaoongoza kitakwimu?yaani tunaweza kujidai tunaikinga corona kwa chanjo vipi kuhusu mafua mengine ambayo yatuua kila mwaka?
I we ready for the pace of preventing almost every desease ambayo inaua watu wengi kama zilivyo nchi za magharibi?where is the policy of priority on morbidity and mortality prevention in Tanzania?

5-Je Serikali iamue kupambana na corona kwa kutumia rasilimali zote na kuachana na HIV,Malaria,cervical cancer and maternal/perinatal deaths??

6-Je tuendelee kuogopa preassure ya mataifa ya nje kutuamulia ni ugonjwa gani wa kupambana nao na upi tusubiri??

7-Je Takwimu zinatuonesha kuwa tukiendelea na msimamo wetu wa kupambana na corona kwa kutumia njia zote za WHO ukiondoa chanjo tutafail??

8-Je tunao wataalamu wazalendo na ambao sio kasuku wanaoweza kuchambua na kumshauri mhe Rais kuhusu chanjo ya corona?

Nakaribisha arguments za nguvu kuhusu post hii.
1621317659525.png

Kuchanjwa isiwe ni lazima, wanaotaka kuchanjwa wachanjwe na wasiotaka wasilazimishwe​
 
Mkuu mimi pia ni mtaalamu katika eneo langu na kwa kweli ninaheshimu wataalamu waliobobea katika eneo husika. Wewe kama unavyosema ni mwanasayansi katika eneo linalohusiana na virusi so utakuwa na uelewa mpana katika eneo hilo. Kwa sisi wengine kuelewa issues katika eneo hilo ni ngumu hivyo tunategemea utaalamu na maamuzi ya waliobobea katika eneo hilo.

Sasa katika nchi mbali mbali duniani kuna wataalamu wenzako ambao pia wamebobea kwenye maeneo hayo na wengine wamepewa pia dhamana za kushauri na kufanya maamuzi kwa niaba ya nchi zao. Wengi kwa nchi tofauti tofauti wanasema chanjo zimefuata taratibu za kisayansi na zinafaa kwa matumizi ya binadamu. Na wao wameamua kama jopo la wataalamu na si mtu mmoja mmoja.

Ngoja nikupe mfano wa hizo nchi hapa chini :

Kenya, Uganda, Rwanda, Egypt, Nigeria, Afrika Kusini na nchi nyingine nyingi za Afrika kama sio karibia zote. Sisi Tz wataalamu wetu walikuwa hawajasema. Nao jana pia wameungana na wataalamu wenzao.

Nchi nyingine kama Russia, China, Israel, Sweden, Denmark, Australia, USA, Uholanzi, Canada etc etc wataalamu wenzako wa virology kwenye nchi hizo wote wamekaa na ku-approve chanjo.

Kwa mimi ambaye sio mtaalamu unataka nikuamini mtalaamu wewe na nisiwaamini hao wataalamu wengine wote ?!
Dah,pole mkuu.Tatizo ulilonalo ni knowledge,na obviously hujishuhulishi kabisa kutafuta information una-amini wengine 100% kwa mambo yanayo kuhusu binafsi,that is wrong.Upo msemo usemao la kuambiwa ongeza na akili zako.

Mkuu naomba nikufahamishe kama ifuatavyo:-

1.Dunia haipo kama unavyo fikiria,almost100% of what you see,here and told by the mainstream media is the opposite of what the truth is,so it is actually lies or fake and is by design.Hii ina maana kwamba kuna haja ya kujiongeza sana,na kama hujiongezi utalishwa pumba.C-19 ni pumba mkuu 100%.

2.International treaties are nothing but a conmans' tool a.k.a the NWO cabal, to steal resources from the unsuspecting World citizenry.Nimelisema hili kwa kuwa upo mpango wa kubuni treaty ya pandemics.

3.Plagues like Polio, pandemics(C-19 is not a pandemic,but a scandemic);diseases such as Cancer,Diabetes etc.; weather changes resulting to droughts,devastating cyclones,hurricans,tornados etc. etc.are now man made and are used by the NWO cabal in depopulation and scaremongering for an evil enslavement and domination of the World citizenry.

4.Usiamini kwamba kila anayeitwa mtaalamu ana your best interest at heart mkuu,that is a wrong concept,wanaoitwa wataalamu siku hizi wana-nununuliwa,au kwa lugha nyingine they are compromised for the NWO agenda of World enslavement and domination.

Mkuu hivi unajua kwamba the NWO cabal wana fake science journals?Zipo tayari,na nia ni ile ile,kuaminisha watu uongo ili waweze kutimiza uovu wao.

So what am I saying,jiongeze jiongeze jiongeza!Wanadamu ni wadanganyifu na waovu sana,na katika haya hawana limit.
 
Tafuta Mbeki alichosema kuhusu HIV mpaka wakaamua kufanya kila mbinu ovu mpaka akanyang'anywa Urais South Afrika kiaina baada ya miaka mitatu tu,utapata jibu.

Mbeki alikuwa virologist kama JPM?

Hizi mbona taaluma za watu wajameni?

Wenye nazo walikuwa kwenye tume ya mama. Ma virologist uchwara ni kama hawa waliojazana humu JF wakitumia fake ID.

Hiiiiii bagosha!
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.
Umeeleza mambo ya msingi, ila ulipoingia na nadharia yako ya 666 umenifanya nishindwe kuamini maelezo yako ya awali. Haya mambo ya 666 kwangu naona ni nadharia za kijinga tu
 
Ni lzm ithibitishwe kwanza hatuwezi tumia tu
Mimi hii ya kuthibitisha ndiyo inayo nipa wasi wasi.Tutathibitishaje na nini?So far we know that the C-19 virus has not been isolated.If it has not been isolated, it means it has not been proved to adhere to the Kock's postulates,so it is in essence not a disease.Sasa tunathibitisha nini? Na kama sio disease,how did they develop the the so called vaccine?Huu si utapeli tu tunaofanyiwa,mbona this is clear.

Furthermore,the American Food and Drugs Administration has categorically said it will not approve any vaccine for C-19,why are we even contemplating recommending it for our people.And do we know why the FDA is saying it won't approve any of the shots?Obviously there is a problem,and the problems are known.So aren't we using our people as Guinea Pigs?Tuwe serious jamani,what is wrong with us,mbona mambo yako wazi kwamba C-19 ni utapeli?

These shots are not after all even approved by the criminal WHO,and not even by the European Medicines Agency or Centre.

Mbaya zaidi,I repeat mbaya sana,imethibitishwa kitaaluma kwamba waliochanjwa wana test positive to C-19.So hii short ni nini?Sio chanjo.Ni utapeli tu kama utapeli mwingine wowote,utapeli ambao nimeshauweka wazi.Seychelles,nchi ambayo imechanja watu wake almost wrote, imebidi wafunge shule kwa kuwa C-19 cases zimeongeezeka sana.Hivi tunataka nini kitokee ndio tujue kwamba swala la C-19 ni utapeli?👇

IMG-20210518-WA0000.jpg




Watch also this👇
 

Attachments

  • VID-20210517-WA0005.mp4
    21.7 MB
Mimi hii ya kuthibitisha ndiyo inayo nipa wasi.Tutathibitishaje?So far we know that the C-19 has not been isolated.If it has not been isolated it means that it has not been proved to adhere to the Kock's postulates,so it is in essence not a disease.Sasa tunathibitisha nini? Na kama sio disease,how did they develop the the so called vaccine?Huu so utapeli tu tunaofanyiwa,mbona this is clear.

Furthermore,the American Food and Drugs Administration has categorically said it will not approve any vaccine for C-19,why are we even contemplating recommending it for our people.And do we know why the FDA is saying it won't approve any of the shots?Obviously there is a problem,and the problems are known.So aren't we using our people as Guinea Pigs?Tuwe serious jamani,what is wrong with us mbona mambo yako wazi kwamba C-19 ni utapeli?

These shots are not after all even approved by the criminal WHO,and not even by the European Medicines Agency or Centre.

Ingependeza kama ungekuwa japo verified user.

Kwa sasa ngoja kwanza tupate japo jab moja moja. Ya debate tukiwa angalau tuna matumaini ya kesho.

Mama Samia atatuvusha.
 
Kama chanjo ni suluhisho mbona tunaambiwa kua hata ukichanjwa bado Kuna uwezekano wa kuambukizwa Tena corona?
 
Umeeleza mambo ya msingi, ila ulipoingia na nadharia yako ya 666 umenifanya nishindwe kuamini maelezo yako ya awali. Haya mambo ya 666 kwangu naona ni nadharia za kijinga tu
Hiyo sio dhana ni ukweli mkuu.Sasa kwani wewe unajua kilichopo kwenye hiyo vaccine?Lete contents zake basi kama unazo.Mimi ninazo contents zake zote.Mkuu hivi unajua kwa nini Bill Gates alitoka kwenye computers akaingia kwa wanadamu?Yuko kwenye business ile ile:software,except hapa ana what is called the "Soft Ware of Life" or Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.

Mkuu developers wenyewe wanakiri kwamba the C-19 jab is an Operating System,who are you to say it is not.
 
Ingependeza kama ungekuwa japo verified user.

Kwa sasa ngoja kwanza tupate japo jab moja moja. Ya debate tukiwa angalau tuna matumaini ya kesho.

Mama Samia atatuvusha.
Bioweapon hiyo au "Software of Life" kwa maana ya "Microsoft Windows 666 mRNA Operating System" ni hiari,ila nimeshakujuza ubaya wake,usije ukajuta kama wale ambao wameshaipata wanavyo juta.Kila la heri,tutangulie mbele za haki,na sisi tunakuja,damu yako sidaiwi.
 
Ingependeza kama ungekuwa japo verified user.

Kwa sasa ngoja kwanza tupate japo jab moja moja. Ya debate tukiwa angalau tuna matumaini ya kesho.

Mama Samia atatuvusha.
Yaani akili zako wewe,kamasi tupu,hata hoja moja kuhusu C-19 huna,sijui hata kwa nini unashabikia hiyo chanjo,uovu mtupu.
 
Umeeleza mambo ya msingi, ila ulipoingia na nadharia yako ya 666 umenifanya nishindwe kuamini maelezo yako ya awali. Haya mambo ya 666 kwangu naona ni nadharia za kijinga tu
Mkuu nacheka sana.Wenyewe wanakiri hiyo dhana kwamba ni kweli na ni identification number ya Mungu wao Lucifer,sasa wewe utakataa je?Fanya independent research basi, mbona you can.Na hivii, mbona ipo kwenye products nyingi sana siku hizi,including barcodes.Mkuu be more diagnostic,usikatae kitu bila justification.

Amazon product ASIN B07MC2JBH7


Hizi nimetafuta haraka haraka tu,but there is a lot about the number 666.

In the Bible it is called the number of the Beast.You can read about it in Revelation 13,but specifically Revelation 13:16-18.
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani(lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi ,wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita ,tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje.!!!
Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Nakuunga mkono almost 95% mkuu.Tatizo lako ni moja tu,hujui Corona ni nini na mkakakati uliopo nyuma ya C-19!Nakusihi with all due respect upitie taarifa zifuatazo uji-equip vizuri na taarifa kuhusu C-19.Otherwise👊.

Taarifa hizi very scientific nimezitafuta baada ya kujiridhisha kwamba management ya C-19 haiendani na Science.Hicho ndicho kilichonifanya nifanye utafiti huu.





In the mean time cheki ingredients za inayoitwa C-19 vaccine hapa👇,sio vaccine kabisa,ni mRNA technology ya ku-reprogramme DNA.


Updates:​

CORONA VAX INGREDIENTS ARE HORRIFIC BEYOND BELIEF

By Jim Stone's

I repeat the so called C-19 jab not a vaccine,it is an mRNA therapy or a bio-weapon,and who ever believes this is a vaccine is either dumb or compromised.That is the bottomline!




What Ingredients are in the COVID-19 Vaccine?
(We just got the answer to why people end up twitching until dead, or die on the spot)
Let me guess the troll response: “There’s nothing here saying it is dangerous if you inject it! They said no skin contact, don’t inhale it, don’t eat it, but they did not say don’t inject it, so that’s OK!!!


___
Jim Stone's Blockbuster: CORONA VAX INGREDIENTS ARE HORRIFIC BEYOND BELIEF (screenshot)
 
Katika udhibiti wa corona,mazingira yetu yazingatiwe sana.

Data ziwekwe wazi.Wataalamu waruhusiwe kupima lakini wafuatiliwe kujiridhisha wanatupa majibu sahihi.

Tuwe makini na kila kitu hadi vifaa kuhakikisha vinatupa majibu sahihi na si vinginevyo.

Kuna conspiracy theories nyingi kuhusu huu ugonjwa na mambo yanayozungumzwa hatuwezi kuyapuuza yote.

Ndio maana nasisitiza tuwekeze kwenye kupima na kufuatilia athari zake ndani ya nchi yetu huku tukiwa makini kuhakikisha hakuna anayepika data wala kuhujumu zoezi ili ugonjwa uonekane mkubwa au mdogo.

Tujue ukweli kwamba hili kwetu ni tatizo kubwa au la kawaida.

Then tuchukue hatua sahihi.

Hizo chanjo kwa kweli mtanisamehe mimi sitaki hata kuzisikia.Siamini kabisa kwamba in two years time tunaweza kuwa na chanjo sahihi kwa mdudu aliyeisumbua dunia bila kutibika maelfu ya miaka kama virus.I think kama dunia tumechukua risk kubwa sana kufanya experiment kwenye miili ya watu at global level.

Dr Fauci wa U.S aliulizwa kwanini bado wanahimiza lockdowns hata baada ya majority ya watu kuchanjwa,jibu alilotoa linakatisha tamaa.Kwamba there are still unknowns about the virus and the vaccine so hawako sure na efficiency ya chanjo(which means wanafanya majaribio).Na bado wanasema itachukua muda mrefu sana kufikia herd immunity!They always come up with something new to exaggerate the situation!
Kuna vitu vya kuwa navyo makini sana.
 
Ingependeza kama ungekuwa japo verified user.

Kwa sasa ngoja kwanza tupate japo jab moja moja. Ya debate tukiwa angalau tuna matumaini ya kesho.

Mama Samia atatuvusha.
Hey, what is wrong with you?You seem to be interested so much in my comments wakati huna lolote unaloniongezea,ni upupu mtupu.Kama huna la maana kaa mbali na comments zangu Brazaj.
 
Mkuu asante kwa mawazo yako.Mimi nimechukua Microbiology with specialization in Virology.Niseme hivi,kama mtaalamu wa Microbiology specialized in Virology,kwenye C-19 hakuna Science kabisa,it is fake science.Swala hili ni pana,na naamini kama kweli wewe ni mtaalamu utapenda kupata uncompromized scientistific information around the World regarding the subject of C-19.

As a scientist sikukubaliana na narrative ya the mainstream media,Bill Gates,CDC na hata Anthony Fauci na European Healthy agencies kuhusu C-19.Nilihisi kuna agenda ovu na udanganyifu,kwa kuwa the narrative they were providing was not based on the true science I know.

Baada ya kufanya utafiti wa kina,nimegundua kwamba kweli the whole issue about C-19 is faked and is not based on true science.What does this mean,it means that maamuzi yote worldwide yaliyofanyika kuhusu C-19,ni wrong and uncalled for.

Naomba nikupe link uone taarifa nilizokusanya worldwide kwa nia ya kujua ukweli kuhusu C-19.I hope you will come to the same conclusion as I did,after going through the information.

Please have a good perusal.


Nimalizie kwa kusema kwamba kama nchi tutakuwa tumefanya makosa makubwa sana kukubali injection ya C-19.Mimi siiti chanjo kwa kuwa sio chanjo.Infact imegindulika kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System.Kama unaelewa maana ya namba 666,utagundua kwamba we are dealing with Lucifer himself.Very scary indeed.
Mkuu asante sana kwa huu uzi, najua wengi watapinga kwa ajili ya manufaa yao, kifupi mimi na familia yangu hatutachanja, kama ni kukosa huduma wacha tuzikose, kama ni nikuosa safari za kwenda nje ya nchi waache nizikose, mwishowe kuna siku hawa hawa wanotoa hizi dawa bure wataanza kuziuza na kwa kuwa walishaingiza virusi vyao kwenye miili yetu basi watatuaminisha na itakuwa hivyo kuwa ili uendelee kuishi fanya hivi kwa kutoa pesa kiasi fulani,wenzetu wanatajirika kwa kutumia teknolojia, muda si mrefu tunaweza ambiwa wale wote waliochanjwa itabidi wanununue chip na kuwekwa mwilini ndio uishi na huku tayari ushafanywa sawa tayari Faru John ambaye hata uende wapi utajulikana upo wapi na unafanya nini ,au tuzime hiyo chip na ufilie mbali.
 
Mkuu asante sana kwa huu uzi, najua wengi watapinga kwa ajili ya manufaa yao, kifupi mimi na familia yangu hatutachanja, kama ni kukosa huduma wacha tuzikose, kama ni nikuosa safari za kwenda nje ya nchi waache nizikose, mwishowe kuna siku hawa hawa wanotoa hizi dawa bure wataanza kuziuza na kwa kuwa walishaingiza virusi vyao kwenye miili yetu basi watatuaminisha na itakuwa hivyo kuwa ili uendelee kuishi fanya hivi kwa kutoa pesa kiasi fulani,wenzetu wanatajirika kwa kutumia teknolojia, muda si mrefu tunaweza ambiwa wale wote waliochanjwa itabidi wanununue chip na kuwekwa mwilini ndio uishi na huku tayari ushafanywa sawa tayari Faru John ambaye hata uende wapi utajulikana upo wapi na unafanya nini ,au tuzime hiyo chip na ufilie mbali.
Sikiliza hizi clips mkuu,zitakusaidia sana kujua the story behind C-19.

 

Attachments

  • VID-20210517-WA0005.mp4
    21.7 MB
Back
Top Bottom