Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

Wakuu hawa jamaa wa: www.yify-torrents.com wako poa sana katika maswala mazima ya muvi. Yaan wana muvi za kutosha na pia muvi zao wameziminya kiasi kwamba una weza kudownload muvi ya quality ya 720p kwa 700MB tu. Sio siri jamaa wako poa, kama ni muvi fan si mbaya ukawachek!

Thanks.
Kwahiyo unaweka tu hiyo link then unaanza ku-download au mpaaka uwe na software yake?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
kat.ph nayo ipo vizuri, ina muvi latest na za zamani, speed yake iko pouwa kabisa unahitaji tu uwe na u-torrent
 
Nipeni ujanja wa kudownload. Kuna site ya tvleaks.com kuna series kibao nimeshindwa kudownload. Nimeinstall software ya ilivid lakini ni kazi bure!

Nitumie software gani wakuu?
Na pc yangu inabidi iwe na vitu gani?

Movies za youtube nazdownload bila shida.
 
bado watu wanatumia utorrent. hata siikumbuki.

Hhaahah umenifurahisha sana mkuu wewe unatumia nini bit torrent,au z big z kushushia?? Au torent client ipi,old is gold mkuu nitaipa respect u torrent mpk nadead
 
Nipeni ujanja wa kudownload!! Kuna site ya tvleaks.com kuna series kibao nimeshindwa kudownload. Nimeinstall software ya ilivid lakini ni kazi bure!!!

Nitumie software gani wakuu?
Na pc yangu inabidi iwe na vitu gani?

Movies za youtube nazdownload bila shida...

Ukitaka kudownlad movie ingia website za toorents ila inakubidi uwe na torrent software ya kudownloadi kama vile u torrent au bit torrent kama huna basi ingia megashare.info hapo ni maalum kwa kuangalizia online so unaweza ukawa una download pia kama unavyofanya youtube.
 
Mkuu mi niko bongo ila sina speed ya kobe kiasi hiko!

hivi wewe inamaanisha siku hizi huchezi tena nfs world ukanishtua nikakufundisha jinsi gani ya kuendesha gari??? Na vipi ule mpango wetu wa kukufundisha jinsi ya kucheza fifa 14 au yalikuwa ni maneno mengi tu yamekula vitendo.
 
Back
Top Bottom