Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

Maswali na Majibu: Namna ya Kupakua (Download) Movies bure

hhaahah umenifurahisha sana mkuu wewe unatumia nini bit torrent,au z big z kushushia?? Au torent client ipi,old is gold mkuu nitaipa respect u torrent mpk nadead....

vuze ndio my favorite kwa sasa
 
Wakuu hawa jamaa wa: www.yify-torrents.com wako poa sana katika maswala mazima ya muvi. Yaan wana muvi za kutosha na pia muvi zao wameziminya kiasi kwamba una weza kudownload muvi ya quality ya 720p kwa 700MB tu. Sio siri jamaa wako poa, kama ni muvi fan si mbaya ukawachek!
hivi simu za android zinaweza kupakuwa movie?
 
Hapa napunjwa,nataka kuidownload na kuinstall..nifanyeje?

Afu pia antvirus(ESET NOD32 Antivirus) nayo imekua outdated(license expired)...natakiwa kufanyaje?

Cc Young Master
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe inamaanisha siku hizi huchezi tena nfs world ukanishtua nikakufundisha jinsi gani ya kuendesha gari??? Na vipi ule mpango wetu wa kukufundisha jinsi ya kucheza fifa 14 au yalikuwa ni maneno mengi tu yamekula vitendo.

Hahaha fifa tutatafutana tu mkuu, daah af kama vp leo tu race nfs world!
 
Hapa napunjwa,nataka kuidownload na kuinstall..nifanyeje?

Afu pia antvirus(ESET NOD32 Antivirus) nayo imekua outdated(license expired)...natakiwa kufanyaje?

Cc Young Master

Matatizo yako yote yataisha kwa kuanza na kudownload torrent client ambapo mi nakurecommend download bitcomet (nenda www.bitcomet.com) pakua then ufanye installation. Baada ya hapo utaweza sasa kwenda sawa na sisi na iyo ishu ya eset simple sana, ukishakua na hiyo software ya torrent, nenda kat.ph halaf search eset nod32 watakuletea kibao tu, chagua inayoendana na system yako (kama ni 32bit au 64bit) then off you go.
 
Last edited by a moderator:
hivi simu za android zinaweza kupakuwa movie?

Zinaweza mkuu kama simu yako ni high-end (ie. Unaweza kuinstall torrent client kwa simu). Mfano mzuri simu kama S3 nyingi zinakuja kabisa na torrent downloader!
 
YiFY mimi siwakubali mbona, movie zao less than 2GB afu sawa wanacheza na 1080 720p lakini bitrate ya video iko low sana, ile sio high quality unless unatumia screen ndogo 15" kwenda chini ya iwe na pixel density ya maana.. ila kama unatumia HDTV au 4K television kustream hawa jamaa ni ovyo kabisa, bora zile Public HD ambazo ni GB 6 kwenda hadi 20 kwa movie
 
Jamani ebu naomba mnisaidie jinsi ya kudownload games matharan fifa 13 au 14 nafanyaje?

Kabla ya yote mkuu tafuta program ya kudownload kwa kutumia kitu tunaita torrents. Kwa mfano unaweza kudownload bicomet then baada ya hapo itakua easy kukuelekeza!
 
Don tayari ninayo u torrent nilishadowload kitambo,au mpaka nidownload iyo bitcomet?

Kama unayo mbona basi burudani? Ingia kwenye torrent site yoyote unasearch tu kitu unachotaka unadownload. Kwa mfano: kat.ph, torrentz.eu, torrenthound.com etc. Sema si unajua mambo ya seeders na ma leechers?
 
Kama unayo mbona basi burudani? Ingia kwenye torrent site yoyote unasearch tu kitu unachotaka unadownload. Kwa mfano: kat.ph, torrentz.eu, torrenthound.com etc. Sema si unajua mambo ya seeders na ma leechers?

Daaah apo kwa seeders na leechers umeniacha,ebu nifafanulie mzazi
 
Daaah apo kwa seeders na leechers umeniacha,ebu nifafanulie mzazi

Seeders ni watu ambao ndio wanashare hilo file kwa wakati huo na leechers ni watu ambao wanadownload hilo file kwa wakati huo. Kwa maana hiyo basi unapotaka kudownload ni vyema kuangalia file (torrent) ambayo ina seeders wengi na leechers kidogo. File likiwa lina seeders wachache itakugharimu muda mrefu sana mpaka umalize kudownload lakini kama lina seeders wakutosha basi hapo mambo yatakua bien provided pia net yako ina speed ya maana!
 
Seeders ni watu ambao ndio wanashare hilo file kwa wakati huo na leechers ni watu ambao wanadownload hilo file kwa wakati huo. Kwa maana hiyo basi unapotaka kudownload ni vyema kuangalia file (torrent) ambayo ina seeders wengi na leechers kidogo. File likiwa lina seeders wachache itakugharimu muda mrefu sana mpaka umalize kudownload lakini kama lina seeders wakutosha basi hapo mambo yatakua bien provided pia net yako ina speed ya maana!
yap yap,hapo nimekupata mzazi yaan umenipa darass huru kabisaaaa, thanks much
 
Wakuu hawa jamaa wa: Home - YIFY Torrents wako poa sana katika maswala mazima ya muvi. Yaan wana muvi za kutosha na pia muvi zao wameziminya kiasi kwamba una weza kudownload muvi ya quality ya 720p kwa 700MB tu. Sio siri jamaa wako poa, kama ni muvi fan si mbaya ukawachek!
Thanks i have been looking for these issues bila kuchoka im glad u dd it for us....
 
Wakuu hawa jamaa wa: Home - YIFY Torrents wako poa sana katika maswala mazima ya muvi. Yaan wana muvi za kutosha na pia muvi zao wameziminya kiasi kwamba una weza kudownload muvi ya quality ya 720p kwa 700MB tu. Sio siri jamaa wako poa, kama ni muvi fan si mbaya ukawachek!

Hebu nitoe ushamba ndugu yangu,,,,,,,,,,sielewi lolote kuhusu haya mambo ya torrents, ninayo hiyo u torrent katika laptop yangu lakini ni mauzauza tu nayaona, na sijui namna ya kudownload. Na nikiingia hapo katika hiyo uliyotuwekea ndio napotea kabisa.....
 
Wakuu mimi naomba jinsi ya kupata free VPN au software yoyote inayo fanana na hiyo, ili kufungua website, maana hapa kuna huduma zipo restricted, na kudownload inakuwa slow sana!!

Waungwana nitashukuru kwa msaada wenu.

SP
 
Hebu nitoe ushamba ndugu yangu,,,,,,,,,,sielewi lolote kuhusu haya mambo ya torrents, ninayo hiyo u torrent katika laptop yangu lakini ni mauzauza tu nayaona, na sijui namna ya kudownload. Na nikiingia hapo katika hiyo uliyotuwekea ndio napotea kabisa.....

Nafkiri ukipitia baadh ya comments mkuu utaelewa vyote unavyohitaj kujua, kuna sehemu nimeelezea ila ukikwama ruksa kuuliza mkuu!
 
Back
Top Bottom