The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
The Boss hakuna makato yanapelekwa kwenye vyama vya makocha wala waamuzi.TFF ndiye msimamizi wa mpira nchini na ndiyo inaamua kipi kiende wapi kwa faida ya mpira wetu.
labda utuwekee hapa hayo makato tuyajadili
sababu hiko kitu kina discourage watu kuanzisha team
ikipatikana milioni 100 klabu inaambulia chini ya milioni 40
hebu tuwekee hapa jedwali la makato