Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Niko hewani nduguUnajua fika kuwa roho yangu ni ya mbinguni😂
Halafu hupatikani...why?
Mbona mi nakuona tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hewani nduguUnajua fika kuwa roho yangu ni ya mbinguni😂
Halafu hupatikani...why?
Nimefika nakusubiriSitanii plz ukuje haraka
Umewajibia madem kwani nawe ni demu?Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
..69 hapana haupoNiko hewani ndugu
Mbona mi nakuona tu
Ni kesi ngumu sio hapa mamaaNimefika nakusubiri
Nakusubiri Kwa Waziri Mkuu.Ni kesi ngumu sio hapa mamaa
Nipo..69 hapana haupo
🤣🤣🤣Haya si ni maswali ya afisa NIDA kabisa?Hujawahi kuulizwa jina la mama Yako mzazi??maana lina kazi BinafsiHuna mke kweli wewe?
Unafanya kaz gani?
Hapo unapokaa umejenga?
Yaan ni njaa njaa tu, kazi ya mtu wewe inakuhusu nini? Focus siku hizi ipo kwenye maokoto, hakuna mapenzi kabisa! Sema watu wa hivyo kuwala ni simple sana.
Acha tu usijaliNipo
Ngoja nithibitishe
Poaaa bro👍Acha tu usijali
Wakati mwemaPoaaa bro👍
Hii itakuwa ni familia unawahudumia wala sio mtu mmojaHuyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
Kuna mijinga huwa inakana kabisa ndoaBaada ya kuulizwa umeoa? Huwa najibu kwa sauti kubwa NDIOOOO Nina mke na watoto wawili,,, swali linalofata...
Siuna mke wewe? inachotakiwa ufanye ni kuijali na kutulia na familia yako, Sasa vipi tena habari za kunitaka eti unanipenda na Mimi?
Wazee Hilo swali Huwa ni gumu tena ni rhetorical question maana maana majibu yake yatahalalisha uchepukaji na mabwege wengine wanajikuta wanawaponda wake zao hayo ni makosa makubwa.
Mimi Huwa najibu hivi.....
Habari za mke na familia keep constant maana mambo mengine lazima yaendeleee.
Unajibu kiwaki sana tatizo tongoza ya tuliooa na nyie ambao hamjaoa ni tofauti sana.Jana nimeulizwa swali la kijinga baada ya kutamba nimepima ngoma na niko fresh. Eti naambiwa kuna demu nimegonga kavu.
Ila alipita mulemule, kuna toto lilinipa masharti lazima linipime ndio linipe uchi