Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
😅Acha roho mbaya broUmewezwa mapema hii?
Kumbe mwepesi tu?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Acha roho mbaya broUmewezwa mapema hii?
Kumbe mwepesi tu?😂
Hakuna upuuzi na chukia sana kama mwanamke aniulize kwanini niliachana na mpenzi wangu aliyepita alafu hapo hapo anakuambia sasa uzuri wangu ni nini mpaka unipende?
Yani nachukia sana na akifanya mistake tuu akachanua naongeza single mother chapu
Uhudumiwe kwani ww mlemavu?Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
Hio " mi nina mtu wangu "
Kuna dogo Under 18 huwa anashinda dukani, duka lao lipo karibu na clinic moja hivi so huwa naenda kupata bites na maji hapo, vikibaki vichenchi chenchi namuachia,mwishowe tukazoeana
Nikaomba namba siku mbili mbele nikashusha stanza. Akaniambia nina mtu wangu. Siku nyingine pia nikakumbushia akaniambia the same. Nikaachana nae.
Siku akaniomba hela amemiss kula kiepe, nikamtumia kumbe anadaiwa songesha, voda waka offset juu kwa juu
Badae analalam kuwa katoa hela kidogo, nikasema aache kukopa, akajibu Mimi sitaki nimechukia na bado njaa inaniuma, nikamkumbusha kuwa anabwana wake akasema wamegombana.
Nikasema bado anawajibu wa kukuhudumia si anakukula, akapotea.
Masaa kadhaa mbele naambiwa mambo, namjib poa, ananambia kichwa cha muuma, nikasema amwambie bwanake afu aache kunitafute kama ambavyo mimi simtafuti.
Ikaisha hivo
Unanipambaninisha aisee....siku hizi hataki kabisa maneno na Mimi kabisaa yaaniUmewezwa mapema hii?
Kumbe mwepesi tu?😂
Unajua fika kuwa roho yangu ni ya mbinguni😂😅Acha roho mbaya bro
Utasikia unaomba namba yangu ya nini?
Sasa Kuna Yale mapumbavu unaomba namba linakupa namba ya mshikaji wake ,ukioiga unakuta mwanaume anapokea unaishia kusema nime wrong namba.
Akijifanya kiherehere anakula matusi yeye na Mwanamke wake mpumbavu
Mpe injili atubuUnanipambaninisha aisee....siku hizi hataki kabisa maneno na Mimi kabisaa yaani
Mama mzungu kuna mwenzako mmoja jirani yangu...jina kama la kwako, ni halfcast...anapenda na dyudyu balaa😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna hela tu
Ukiwa naZo tunatoa namba hadi za wazazi wetu
[emoji23][emoji23][emoji23]Huna mke kweli wewe?
Unafanya kaz gani?
Hapo unapokaa umejenga?
Yaan ni njaa njaa tu, kazi ya mtu wewe inakuhusu nini? Focus siku hizi ipo kwenye maokoto, hakuna mapenzi kabisa! Sema watu wa hivyo kuwala ni simple sana.
Ma
Mama mzungu kuna mwenzako mmoja jirani yangu...jina kama la kwako, ni halfcast...anapenda na dyudyu balaa[emoji23][emoji23]
Niache, hachelewi kutokea hapaMpe injili atubu
Kuna maswali ya kijinga huuliza wanawake ukianza kumtongoza. Nasema ya kijinga kwa sababu anakuwa anajua majibu yake au anajua kabisa hawezi kuambiwa ukweli.
Anauliza
1. Mimi ni mwanamke wako wangapi?
2. Hivi kweli huna demu mwingine?
3. Hivi kweli hutonichiti?
4. Hivi kweli utanijali?
Hivi kweli kuna bwege atakutajia idadi kamili ya mademu aliogonga? Au kukuambia ndiyo ana demu mwingine?
Ongeza maswali mengine ya kijinga
Hili swali huwa najibu tofauti sana maana nikisema ukwel kazi yangu sitaishi kwa raha hata yeye hatoishi kwa raha.Unafanya kazi gani?
Kila nikisoma id yako napiga picha😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nicheke mie
Ndedwana mambo?
Sitanii plz ukuje haraka