50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,088
- 4,059
rhetoric questions hiiUmenipendea nini?
Hili swali sijajibu mpaka leo ingawa nishamkula
Eti anataka nimpe jibu , kakaza kinoma
hataki ujibu, anataka utafakari zaidi, ujipime mwenyewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rhetoric questions hiiUmenipendea nini?
Hili swali sijajibu mpaka leo ingawa nishamkula
Eti anataka nimpe jibu , kakaza kinoma
Bora umpoteze mapema kuliko uwekeze baadae muachaneUkimwambia ukweli unampoteza.
Mnapenda kudanganywa
5.Nna yutong moja ila nimeamua kutulia na kubaki na dereva tu1. Namba yangu amekupa nani?
2. Unaishi na nani?
3. Una watoto wangapi?
4. Umenipendea kitu gani?
5. Umeshalala na wanawake wangapi kabla yangu?
Bora umpoteze mapema kuliko uwekeze baadae muachane
huduma zile subiri kuna ishu nasikilizia😔Wewe unatongoza wanafunzi wa primary, sababu hata wa secondary hawana ujinga huo!!
Ila kina sie swali la kwanza, “Unajishughulisha na nini?!!”
Kwanza tujue uhakika wa pesa upo kwa asilimia ngapi? Sio huduma ziwe za kusuasua
mwasibu🤣🤣🤣🙌"unafanya kazi gani" na anajua kabisa we ni mwasibu 😁
Ndo hapo hayo maswali huwa kero kama hiviUkikutana na kisamaki! Mbio za kufa mtu
Ukiwa unataka kula mzigo lazima useme kile ambacho wanapenda kuambiwa.Bora umpoteze mapema kuliko uwekeze baadae muachane
Kwa kula mzigo na kusepa haha eti ategemee aambiwe ukweli?Ukiwa unataka kula mzigo lazima useme kile ambacho wanapenda kuambiwa.
La sivyo unamkosa
🤣🤣🤣🤣Sasa Tayana Mimi nimehusika vipi kwenye hiyo comment ya kupenda pesa na kukosa mapenzi ya dhati?
Kumbe.rhetoric questions hii
hataki ujibu, anataka utafakari zaidi, ujipime mwenyewe!
Hilo ni swali muhimu lkn linakutaka uwe smart kujibuUmenipendea nini?
Hili swali sijajibu mpaka leo ingawa nishamkula
Eti anataka nimpe jibu , kakaza kinoma
Nami nashangaa au anahisi wewe maskini?🤣🤣🤣🤣Sasa Tayana Mimi nimehusika vipi kwenye hiyo comment ya kupenda pesa na kukosa mapenzi ya dhati?
Hayo Ndio maswali ya msingi yanatakiwa kuulizwa we unaonesha upo maturedHata hiyo siulizi.. Najiongeza mwenyewe.
Mimi nitataka kujua unajishughulisha na nini?
Pia, nitauliza unakoishi.
Basi!!!!!
Tukishakua na chemistry nzuri ndo maswali ya msingii yatakua yanaulizwa. like what kind of relationship do we have, I would like to know the health status, family status, Economic stability, Hobbies, what does he like? What does he hate and I will respect his decisions, and i would like to knw what happened to his previous relationship. (kwa majibu yake utajua ni mtu wa aina gani pia?), etc
Ni vizuri mtu akikufahamu in opposite way,Hapo atakuwa anajua nina njaa kali sana Tayana-wog eti shoga yangu🤣🤣Nami nashangaa au anahisi wewe maskini?
Na iweje aku tag kwa post hiyo na si mwingine?
Tayana-wog uje kujibu
Mtumishi huyu amekosa maonoNi vizuri mtu akikufahamu in opposite way,Hapo atakuwa anajua nina njaa kali sana Tayana-wog eti shoga yangu🤣🤣
Ila sie peke yake,hata Kuna wakaka wananishambuliga sana kwamba mi maskini,napenda sana pesa Sina Mapenzi ya dhati...nacheka kizungu😅Mtumishi huyu amekosa maono
Tayana-wog
Rhetoric question nyingine hii!Ni vizuri mtu akikufahamu in opposite way,Hapo atakuwa anajua nina njaa kali sana Tayana-wog eti shoga yangu🤣🤣