Maswali ya kijinga wanayouliza wanawake wakitongozwa

Maswali ya kijinga wanayouliza wanawake wakitongozwa

Ila sie peke yake,hata Kuna wakaka wananishambuliga sana kwamba mi maskini,napenda sana pesa Sina Mapenzi ya dhati...nacheka kizungu😅
Jamani
Nisamehe Mimi
Hata sikua na maana hiyo,nilitaka uone yanayojiri na akili za watu wa aina hii km wale wanaowaita Malaya kisa mtu ana iphone,au kavaanguo yenye print .....😊😊si vingenevyo
very sorry shougaaa
 
Ng
Mlivyo waongo ss
Utasikia yaani hayo macho,Hilo tako,huo mguu ,hiko kiuno, mara unavyoongea,mara hizo nywele
Wizi mtupu.....
Kumbe anaangalia vitu vyako ambavyo we unavipenda
NGoja nikupe siri kaka yako;
Hadi nimtake binti ujue amenivutia sana sana, hivyo kama nimekutokea ujue sio nataka mzigo bila sababu...una kitu.

Unaweza usiwe na na tako au mengineyo but ukawa na usemi mtamu, unaakili za kuniteka au hata vilips, so nitakwambia ukweli kuwa hizo lips mama mimi hoi😂😂😂
 
Ng

NGoja nikupe siri kaka yako;
Hadi nimtake binti ujue amenivutia sana sana, hivyo kama nimekutokea ujue sio nataka mzigo bila sababu...una kitu.

Unaweza usiwe na na tako au mengineyo but ukawa na usemi mtamu, unaakili za kuniteka au hata vilips, so nitakwambia ukweli kuwa hizo lips mama mimi hoi😂😂😂
Basi sawaa 🤣
 
Back
Top Bottom