Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya si ni maswali ya afisa NIDA kabisa?Hujawahi kuulizwa jina la mama Yako mzazi??maana lina kazi Binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya si ni maswali ya afisa NIDA kabisa?Hujawahi kuulizwa jina la mama Yako mzazi??maana lina kazi Binafsi
Kwenye ule uzi wetu huwa unaulizwa 'kwani huyu ni wewe". Hili ni swali la kijingaKwani wewe mkubwa ?
Mimi ni mkubwa ndiyo... Uliza swali lingine...Kwani wewe mkubwa ?
Aisee mimi nakuambia mimi ni dalali wa vyumba, nikitaja kazi yangu niko pale.Wewe unatongoza wanafunzi wa primary, sababu hata wa secondary hawana ujinga huo!!
Ila kina sie swali la kwanza, “Unajishughulisha na nini?!!”
Kwanza tujue uhakika wa pesa upo kwa asilimia ngapi? Sio huduma ziwe za kusuasua
Sijaona kosa lake kuuliza kwanini uliachana na mpenzi wako, kwani na yeye mwenyewe sianataka kulinda amani ya moyo wake. Kama mtu ni muhuni na malaya ni muhuni na malaya tu habadiliki hivyo hana muda wa kuendeleza maongezi zaidi.Hakuna upuuzi na chukia sana kama mwanamke aniulize kwanini niliachana na mpenzi wangu aliyepita alafu hapo hapo anakuambia sasa uzuri wangu ni nini mpaka unipende?
Yani nachukia sana na akifanya mistake tuu akachanua naongeza single mother chapu
One night standHili uwa liko hiviii
What kind of relationship do u want? Uwe mkweli, niwe mkweli
Tusichoshane.
Wanajibu kazi kwako baba, uwanja ni wako ushindwe wewe.Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
Kwani wewe unampango gani?Una mpango gani na mm
Mimi ni mkulima ukacheka sanaWewe unatongoza wanafunzi wa primary, sababu hata wa secondary hawana ujinga huo!!
Ila kina sie swali la kwanza, “Unajishughulisha na nini?!!”
Kwanza tujue uhakika wa pesa upo kwa asilimia ngapi? Sio huduma ziwe za kusuasua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo ni Msukuma kabisaAu utasikia wewe handsome sana, utakuwa na wanawake wengi
Eti wakulungwa 😂😂😂😂😂Huyo sio mwanamke wala msichana anayejibu hivyo, ila ni mtoto mdogo wa kike.
Wakulungwa wanajibu hivi "Utaweza kunihudumia?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kutongoza watoto.
Ndo maana ake.Eti wakulungwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Mimi ni mkulima ukacheka sana
😂😂😂 Hata uwe dalali wa viazi kikubwa Unajishughulisha?Aisee mimi nakuambia mimi ni dalali wa vyumba, nikitaja kazi yangu niko pale.
Hao wa kupiga chini ni wazururaji uwabata wote 😂😂😂huduma zile subiri kuna ishu nasikilizia😔