Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Mimi siyo Dereva lakini kiukweli ulikuwa unajitafutia kufa wewe, unaovateki vipi mlimani au kwenye kona nakati huna uhakika kitachotokea mbele yako?Bara bara ya Chalinze- Segera, is 'the most dangerous road' according to my experience. Bara bara hii ina miinuko na miteremko mikali.
Mwaka 2017 wakati nasafiri kwenda Tanga saa saba usiku, nimekwisha overtake roli nimefika nusu kumbe mbele kuna roli linakuja. Jamaa kunipiga full ndio naliona sasa. Kumbe mwanzo sikuliona kwa kuwa nilikuwa napanda kilima...
Watu wengi hudhani hapa duniani wataishi milele !! Na kwamba wanaokufa ni washamba tu hawajui mipango ya kuishi milele !!haya maisha ya duniani ni mafupi saana ila watu tunajisahau sana haswa tunapo pata utajiri na vyeo.
yatupasa kila wakati tutende mema na tuwatendee binaadamu wenzetu mema, tuache roho mbaya na kuharibiana.
inawezekana jamhuri imemsaidia kufake kifo ili ionekane amekufa kukwepa kashfa ya kesi ya ubakaji huko australia.Aliitwa Kwa dharura na Mama. Baada ya hapo ndio yakatokea ya kutokea.
Kuna namna nashawishika Kuna harufu ya uBalali.
Staili hiyo ya kuovateki ndiyo ya madereva wengi wa kisasa wa hapa Bongo ! Ndio maana ajali nyingi huwa ni za uso kwa uso !!Mimi siyo Dereva lakini kiukweli ulikuwa unajitafutia kufa wewe, unaovateki vipi mlimani au kwenye kona nakati huna uhakika kitachotokea mbele yako?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeeleza vizuri,ila hapo namba 6 naomba sana ututake radhi wanakijii wa Mkata Handeni kuwa hatuna exposure,pls hiyo point ikiwezekana uifute,ina maana na yule mzee wa Msoga pale unataka kuniambia kuwa hana exposure kwasababu tu anaishi pale...😖😖KUTOKA KWA MALISA GJ
Nimejiuliza maswali kadhaa nikakosa majibu;
1. Balozi Mushi alikua anajiendesha mwenyewe? Tena usiku wa manane? Protocal za kidiplomasia zinasemaje, Balozi anapokua na safari binafsi? Je alikua peke yake?
2. Kama ajali ni uso kwa uso means lori lilikua linatoka ielekeo wa Segera na Balozi alikua anaenda uelekeo wa lori lilipotoka. Kama ndivyo hayo makaa ya mawe yalitoka wapi? Tanga, Kilimanjaro, Arusha hata nchi jirani ya Kenya hakuna makaa ya mawe. Makaa ya mawe yapo Mbeya, Rukwa na sehemu za Njombe. Kenya wanatumia makaa ya mawe kuendesha mitambo yao ya viwanda, lakini wanayachukua Mbeya (Kiwira). Hakuna lori linalotoka na makaa ya mawe Kenya kuja Tanzania, bali malori yanayotoka na makaa ya mawe Tanzania kwenda Kenya. Kwahiyo kama Lori lilikua limebeba makaa ya mawe it means lilikua linaenda uelekeo mmoja na Balozi Mushi. Sasa ilikuwaje wagongane uso kwa uso?
3. Gari iliteketea na Balozi Mushi aliungua kiasi cha kutotambulika. Ndugu walimtambua kwa nguo zake. Je hizo nguo zilipatikana sehemu gani ya gari? Ni moto gani unaweza kuchoma gari ikateketea, lakini nguo zikabaki?
4. Inadaiwa mashuhuda walijua ni Balozi Mushi baada ya kuingiza namba za gari kwenye mifumo ya TRA ndipo ikaonesha mmiliki ni Celestine Mushi. Hizo namba walizionaje kama gari iliteketea?
5. Kwanini usiku huo wa ajali kuna ujumbe ulizunguka sana kwenye mitandao ya kijamii, ukisema aliyepata ajali ni mwanamke lakini gari ni ya Balozi Mushi? Nani aliandika ujumbe huo? Lengo lake lilikua nini? Kuiandaa kisaikolojia familia ya Mushi au?
6. Ajali imetokea Mkata, Handeni Vijijini. Wakazi wake wamepata wapi "exposure" ya kuingiza namba kwenye system za TRA ili kumjua mmiliki wa gari? Je huwa wanafanya hivyo kwenye ajali zote au ni hii tu?
7. Kwanini mamlaka za serikali zilikimbilia kutoa pole kabla ya mwili haujafanyiwa uchunguzi. Je ingebainika kuwa sio Balozi Mushi bali alimwazima mtu gari yake, serikali ingefanyaje na ilishatoa salamu za rambirambi?
Anyway; Mungu ampumzishe kwa amani Mhe.Balozi Celestine Mushi. Laa ko oforo mangi.!
Kama ulikuwemo kwenye akili zangu ! Nimewaza hivyo muda mrefu lakini nilikuwa nasita kuandika !!inawezekana jamhuri imemsaidia kufake kifo ili ionekane amekufa kukwepa kashfa ya kesi ya ubakaji huko australia.
this dude could be alive and kicking somewhere in bongoland.
Lakini ukigoogle hakuna habari yeyote ya namna hiyo ! Na kwa wazungu hiyo ingekuwa ni habari kubwa sana!!Austria*
Na yanakuwepo mafunzo mengi kwa wenye akili za kutaka kujifunza zaidi !!Wakati fulani mijadala kama hii, inawasaidia pia watawala kujitathmini.
Yote yanawezekana !Ashakufa
Barabara za Tanzania sio mbaya kihivyo bali madereva wengi ni wale wavivu wa kuendesha muda mrefu barabarani ! Huwa wanaamua kuendesha mwendo wa kasi ili afike haraka aendako akapumzike !Huzijui Barabara za Tanzania wewe
Wanasemaje hapo Kibosho Road msibani?Nadhani huyu jamaa kauliwa. Sisi wengine tujifunze. NIPO MAZISHINI HAPA KIBOSHO.
Inaonekana huzijui barabara .hii unasema the most dangerous road? Au hujui matumizi ya hili neno?Bara bara ya Chalinze- Segera, is 'the most dangerous road' according to my experience. Bara bara hii ina miinuko na miteremko mikali.
Mwaka 2017 wakati nasafiri kwenda Tanga saa saba usiku, nimekwisha overtake roli nimefika nusu kumbe mbele kuna roli linakuja. Jamaa kunipiga full ndio naliona sasa. Kumbe mwanzo sikuliona kwa kuwa nilikuwa napanda kilima...
Na kwa mujibu wa DC, anakumbuka alifanya kazi na Balozi Ofisi ya Naibu RaisKwa mujibu wa DC iliwachukua saa 72 kujua mwili ni wa balozi
Wewe ni dereva mjinga. Unataka ku-overtake bila tahadhari, ni usiku, kuna mlima na pengine kona na huoni mbele.Bara bara ya Chalinze- Segera, is 'the most dangerous road' according to my experience. Bara bara hii ina miinuko na miteremko mikali.
Mwaka 2017 wakati nasafiri kwenda Tanga saa saba usiku, nimekwisha overtake roli nimefika nusu kumbe mbele kuna roli linakuja. Jamaa kunipiga full ndio naliona sasa. Kumbe mwanzo sikuliona kwa kuwa nilikuwa napanda kilima...
Ndiyo namba zao hizoNamba ya simu yenyewe imekaa ki system.
Mimi siyo Dereva lakini kiukweli ulikuwa unajitafutia kufa wewe, unaovateki vipi mlimani au kwenye kona nakati huna uhakika kitachotokea mbele yako?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Du acha ukima Kima wa Maputoumasikini wa akili na uwezo Mdogo wa kuelewa wa africa huwa kila kifo kina kuwa na mkono wa mtu , tena vijijini ndui mbaya Maana wnaa Singu is wazee. Maswali yote yana majibu , Gari kubakiza plate number ajabu ni nini ikiungua. Una uhakika gani familia haikuwa imetoa taarifa kabla ya Serikali kusema kitu . Ajali zote lazima ziwe za upande mmoja na mwisho Maswali haya unajiuliza Una kosa majibu Una jifanya critical thinker