Maswali yenye Utata Kifo cha Balozi C. Mushi. Nini kipo nyuma yake?

Mabalozi wana siri gani za nchi za kuvujisha? Labda kama na yeye alikuwa ni mtu wa idara pia. Wanaokuwa compromised ni watu wanaoujua hizo siri. Sasa jiulize ni nani hao.
Kwanza nchi yetu ina siri gani nzito? Tuna maabara za siri za kufanya tafiti za bioweapons? Kina operation za siri tunaendesha kwenye nchi za wenzetu kama USA UK? kuna majasusi wa kiisraeli tumewanunua ambao wanavujisha siri za Israel? Nchi yetu ina siri gani nzito?
 
Walisema 'wasiojulikana' aliwaasisi JPM.
Ila kiuhalisia CCM ni ile ile ya kiuuaji bila kujali aliyeko juu,
kumbuka Dr Ulimboka kule Mabwepande.

Huu mtindo wa kutesa na kuua bila kuliondoa hili genge madarakani wananchi tutaendelea kulia.
Hata kiingie chama kinacho ongozwa na kanisa kutoka Rumi. Kikundi hicho kitakuwepo tu. Swali la msingi kinatumikaje? Tatizo la jpm na hicho kikundi kilikuwa kinakula vichwa vya raia hata wanao hoji elimu ya mtu. Sasa hapo swala la elimu ya mtu ni la kumla kichwa mtu?
 
Wenye kuamini kila kifo ni mipango ya Mungu na wale wenye kuhoji kila kifo ili wajue kisababishi ni nani critical thinkers na nani ni wapo wapo tu ??!
 
Kila ndege huruka kwa mbawa zake !
 
Siri za nchi zinamsaidia nini balozi ambaye kazi yake ni diplomat na protokali zake zinajulikana? Kama siri za nchi zinavuja mpaka kwa balozi basi hizo siyo siri tena zimeshadukuliwa na wengine.
Kimsingi huwezi kuwa balozi kama hujapelekwa kwenye kozi za usalama wa taifa na humo ndani Kuna ngazi halafu jamaa mbona hata kawaida tu unaona alikuwa kipenyo
 
huo mwili upimwe DNA kama ni kwel barozi, hawa wahuni isije ilawa wamecheza mchezo kama wa yule aliyefichwa ulaya, wanachukua mwili wowote uliotelekezwa mochwari wanauweka kwenye gari wanalichoma moto,

wacha kucheza na maslai ya wanaCCM
 
JPM hayupo ile viwavi waliokuwa kazini wakati ule wako huru zaidi kufanya watakavyo chini ya kilaza mmoja asiyejielewa.
Kuweni makini mangi ohooo! ukiwa na moto weka kiuno 24/7 ahyaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Mabalozi wana siri gani za nchi za kuvujisha? Labda kama na yeye alikuwa ni mtu wa idara pia. Wanaokuwa compromised ni watu wanaoujua hizo siri. Sasa jiulize ni nani hao.
Kumbuka 95% ya mabalozi duniani ni manyoka...

e.g Balozi Mahiga(marehemu) Balozi adad Rajab, Balozi Sirro, Balozi Mangu, Balozi Shimbo etc
 
Sas hilo tatzo ni lako au tatzo la BARABARA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…