MATAGA wadhibitiwe, wanamkwamisha Rais Samia Suluhu

MATAGA wadhibitiwe, wanamkwamisha Rais Samia Suluhu

Rais Samia mwenyewe ni MATAGA pure.
Mama Samia ni mzalendo wa kweli hapendi kuua watu kama mataga wanavyofanya na kama walivyofanya kabla kiongozi wao (mwendazke) hajafariki.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja nisiwachoshe. Baada ya mwendazake kufanikiwa kuiharibu hii nchi kwa kubaka Uchaguzi Mkuu wa 2020, sasa CCM inaongoza nchi nzima kuanzia Balozi hadi Rais. Mwendazake aliwahi kusema kwamba CHADEMA ndio wanamkwamisha kuwaletea wananchi maendeleo, hivyo akaamua hata mCHADEMA mmoja asirudi uongozini baada ya 2020. Na kweli mbinu yake ilifanikiwa kwa 101%. Sasa nchi nzima imefunikwa na kijani kibichi tu!

Nilitarajia wanaCCM wote sasa wangeridhika na kuunga mkono juhudi za Rais aliyepo madarakani. Lakini baada ya kifo cha mwendazake, limejitokeza kundi wa MATAGA (waliokuwa wakimuunga mkono mwendazake kindakiki) kumkwamisha Rais Samia kwenye harakati zake za kuwaletea wananchi maendeleo ya kweli. Hiki kikundi cha MATAGA hakitofautiani na vikundi vingine vya kigaidi kama vile Mungiki, Janjaweed, Al-Qaeda, Boko Haram au genge la kihalifu alilokuwa akilitumia Sabaya kupora mali za raia na kuhujumu uchumi wa taifa. Genge hili ni zaidi ya pimbi anayekurupuka kutoka kichaka A kwenda kichaka B lakini baada ya sekunde chache anakurupuka tena kurudi kichaka A. Kwa ujumla, MATAGA hawajui ni nini wanachokitaka!

MATAGA ni genge la hatari sana na endapo juhudi za makusudi hazitachukuliwa kuwadhibiti, watayumbisha mno maendeleo ya taifa hili. Na kibaya zaidi, baadhi ya wafuasi wa genge hili wameanza kujikomba kwa mama kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili wakae karibu naye wamharibie. Wanachama wa genge hilo wanajionyesha hadharani kwa vicheko vyao vya kinafiki huku mioyoni mwao wamejawa na husda na unafiki wa kupindukia.

MATAGA wapo kila kona ya nchi hii. Wengi wao wanatumia mitandao ya kijamii kuzusha mambo ya ajabuajabu kuhusu kifo cha mwendazake ili kumtoa mama kwenye reli. Nashukuru mama ameanza kuwashutukia baadhi yao na kuwachomoa mazima kutoka kwenye ulingo wa serikali yake. Kilichotokea majuzi ni ushahidi tosha kwamba janja yao ya nyani imeng’amuliwa mapema kupitia intelijensia ya uhakika.

Ingawa hivyo, namuomba mama Samia atumie mbinu kali kidogo kuwadhibiti CHAWA hawa kabla sumu yao haijasambaa sana kiasi cha kushindwa kudhibitika baadaye. Inasikitisha kuwa genge hili linatoka ndani ya CCM; badala ya kumsaidia mama kujenga nchi, wao wanasaidia kuibomoa. Hawa ni watu wabaya sana, sio wa kuwalazia damu hata kidogo. Hata ikibidi, basi wadhibitiwe kwa mbinu zozote mbaya na za hatari kabla mambo hayajaenda kombo.​
Tayari umeshaiweka bayana wewe ndio wa kuanzia.

Yule unayedai anakwamishwa muhoji amekosea wapi hadi akwamishwe wakati nguvu zote anazo?

Hao unaowataja wanamkwamisha ndio walimweka yeye hapo alipo na sio kikundi kidogo kama unavyodai.

Mtindo uliozuka wa kuwashughulikia viongozi walioteuliwa na a;liyekuwa Rais wako huo wakati yeye akiwa msaidizi tegemezi dirisha la kwanza ndio kosa kubwa kuliko yote wakati anaowarejesha kwenye madaraka ndio walikuwa wakifanya uharifu wa kupindukia lakini kwa kuwa ili uendane na utawala uliopo madarakani unatakiwa kujitoa ufahamu na kufuzu shahada ya unafiki, uzandiki na majungu ya kiwango kilichopevuka.

Hakuna anayemkwamisha, wewe na wengine wachonganishe ndio mnamkwamisha bila yeye kubaini.
 
Kuirudisha kwenye mikono ya majambazi akina Sabaya na Bashite ndio mikono salama? Je, kuwapoteza raia akina Ben Saanane, Azory Gwanda na raia wengine waliopotezwa kule Kibiti ndio mikono salama mkuu au unamaanisha nini? Hebu funguka vizuri ueleweke....usitetee dhambi usiyoijua.
Mwangushwa konyagi alafu akasingizia wasiojulikana#mbowe .

Hamuamiki nyie nyumbu
 
Tayari umeshaiweka bayana wewe ndio wa kuanzia.

Yule unayedai anakwamishwa muhoji amekosea wapi hadi akwamishwe wakati nguvu zote anazo?

Hao unaowataja wanamkwamisha ndio walimweka yeye hapo alipo na sio kikundi kidogo kama unavyodai.

Mtindo uliozuka wa kuwashughulikia viongozi walioteuliwa na a;liyekuwa Rais wako huo wakati yeye akiwa msaidizi tegemezi dirisha la kwanza ndio kosa kubwa kuliko yote wakati anaowarejesha kwenye madaraka ndio walikuwa wakifanya uharifu wa kupindukia lakini kwa kuwa ili uendane na utawala uliopo madarakani unatakiwa kujitoa ufahamu na kufuzu shahada ya unafiki, uzandiki na majungu ya kiwango kilichopevuka.

Hakuna anayemkwamisha, wewe na wengine wachonganishe ndio mnamkwamisha bila yeye kubaini.
Du! Kumbe MATAGA mpo wengi sana ila kwa kuwa tu wengine mmevaa ngozi za kondoo hatuwaoni; lakini Mungu anawaona aisee!!
 
Mwangushwa konyagi alafu akasingizia wasiojulikana#mbowe .

Hamuamiki nyie nyumbu
Mkuu hebu jenga hoja kiakili badala ya kutukana. Nyie ndio mlikuwa mmezoeshwa matusi ya mwendazake hadi mkadhani ni sehemu ya maisha. Mungu anawaona.
 
Muhuni mwingine huyu hapa tutakusaka hadi mvunguni pumbavu mkubwa wewe.

Yaani nyie ndiyo mnamkwamisha Mama.

Tutadili na nyie perpendicular

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ana mkwamisha mama kufanya Nini aisee ? Acheni kupendeza kwenye shughuli zisiwahusu .2025 sio mbali sijui mtakuja na agenda gani za kuwarubuni wapiga kura wenu.
 
Ni kweli kabisa.... hazitabadili ukweli kuwa mwendazake kashapotea na hivi sasa nchi inaongozwa na mama Samia Hassan Suluhu...
Pia alikua kiongozi shupavu ,mwenye maono na uthubutu.kapambana Sana kuiweka hii nchi kwenye mstari.wapumbavu wachache kama wewe ndo hawawezi kuelewa kwa vile wanaongozwa na chuki zisizo na msingi
 
Pia alikua kiongozi shupavu ,mwenye maono na uthubutu.kapambana Sana kuiweka hii nchi kwenye mstari.wapumbavu wachache kama wewe ndo hawawezi kuelewa kwa vile wanaongozwa na chuki zisizo na msingi
Sisi wapumbavu kweli hatuwezi kukubali kama mataahira wanaomwona dikteta kama mkombozi
 
Yule babu sio alibaka uchaguzi Bali aliuingilia kinyume cha maumbile matokeo yake vijitu vichawi kama babu tale vipo bungeni eti ni vibunge.
Yule mkurugenzi Wa Uchanguzi ambae ukitoa herufi "M" Jina lake linaswadifu mahali MTU mfu aliko huko ahera na yeye tunamwambia watch out if you and Meko think that you have a such kind of freedom of kubakaring uchaguzi not to that extent.
 
Sisi wapumbavu kweli hatuwezi kukubali kama mataahira wanaomwona dikteta kama mkombozi
We baki na unachokiamini Kama alikua hafai ni kwako sisi wengine JPM Ni shujaa.kwa macho yetu tumeshuhudia anatuvusha kwenye Corona.
 
Yule babu sio alibaka uchaguzi Bali aliuingilia kinyume cha maumbile matokeo yake vijitu vichawi kama babu tale vipo bungeni eti ni vibunge.
Yule mkurugenzi Wa Uchanguzi ambae ukitoa herufi "M" Jina lake linaswadifu mahali MTU mfu aliko huko ahera na yeye tunamwambia watch out if you and Meko think that you have a such kind of freedom of kubakaring uchaguzi not to that extent.
Bado hata 2025 mtaona Moto kitachowatokea kelele zenu muendelee kupiga mitandaoni tu hatutaki kuwaona hata kwenye serikali ya kijiji,huko bungeni ndo msahau kabisa.
 
Bado hata 2025 mtaona Moto kitachowatokea kelele zenu muendelee kupiga mitandaoni tu hatutaki kuwaona hata kwenye serikali ya kijiji,huko bungeni ndo msahau kabisa.
Mwenzenu akitangaza chadema haitafika 2020 kaisha tangulia kuzimu wew endelea kuimba pambio alikuwa na jeshi, mabunduki yakimxunguka, Mahakama na bunge vikimsujudu sembuse Kibwetele wewe utatuambia nini
 
Mwenzenu akitangaza chadema haitafika 2020 kaisha tangulia kuzimu wew endelea kuimba pambio alikuwa na jeshi, mabunduki yakimxunguka, Mahakama na bunge vikimsujudu sembuse Kibwetele wewe utatuambia nini
Wote tutakwenda ni nyakati tu zitatofautiana. Endelea kusubiri embe chini ya mnazi
 
Muhuni mwingine huyu hapa tutakusaka hadi mvunguni pumbavu mkubwa wewe.

Yaani nyie ndiyo mnamkwamisha Mama.

Tutadili na nyie perpendicular

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Hamko wazi, mnaongea kimafumbo mafumbo. Kwa nini hamsemi wazi ni nani wanaokwamisha nchi. Maana kumkwamisha mama, ni kuhujumu nchi.
Pia tujue ni kwa namna gani wamefanya hivyo. Hiyo itatusaidia na Sisi kuwafahamu na kuwadhibiti.
 
Wote tutakwenda ni nyakati tu zitatofautiana. Endelea kusubiri embe chini ya mnazi
Tutakufa wote ndio lakini Biblia inasema siku zao watendao maovu zitafupishwa. Na watenda dhambi kwao ni motoni ndio maana tuna uhakika mwenda kuzimu yupo mikoni salama huko aliko akiteswa.
 
Tutakufa wote ndio lakini Biblia inasema siku zao watendao maovu zitafupishwa. Na watenda dhambi kwao ni motoni ndio maana tuna uhakika mwenda kuzimu yupo mikoni salama huko aliko akiteswa.
Kichaa chako utapona tu usijal.
 
Back
Top Bottom