MATAGA wadhibitiwe, wanamkwamisha Rais Samia Suluhu

Mmh; Kaya imeharibika. Ninachukua jembe nikalime. Safi sana, tena bambam.
 
Sikusikia sauti ya SSH hata kidogo zaidi ya kuguna. Hii ina ishara gani? Je, mlingoti umefika unapotakiwa.
Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kutuletea Rais huyu mpenda amani, mcha Mungu, mwanademokrasia na mpenda haki. Nchi hii itapata maendeleo kwa haraka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…