Mataifa ya Afrika yanayoitegemea Urusi kwa chakula, kumbe ndio maana baadhi yaliogopa kuisema vibaya Urusi

Mataifa ya Afrika yanayoitegemea Urusi kwa chakula, kumbe ndio maana baadhi yaliogopa kuisema vibaya Urusi

Ni kama Kenya inavyotegemea Mahindi toka Tanzania tu. Kwahiyo Kenya hana la kufurahia yaani sisi tukiumia kwa chakula Kenya wanakufa kwa njaa.

Ni sawa na baba yako anapambana na jirani haihitaji kujua unasimama upande gani. Maana kuumua kwake ni kilio chako
 
Ni kama Kenya inavyotegemea Mahindi toka Tanzania tu. Kwahiyo Kenya hana la kufurahia yaani sisi tukiumia kwa chakula Kenya wanakufa kwa njaa.

Ni sawa na baba yako anapambana na jirani haihitaji kujua unasimama upande gani. Maana kuumua kwake ni kilio chako
Eti Tanzania tu, unachekesha. Wakati wa utawala wa mwendazake na figisu zake dhidi ya Kenya, GOK ilikuwa inanunua mahindi Brazil na Mexico. Tena kwa bei nafuu na ya chini zaidi, licha ya gharama zote za usafiri.

Wakulima wa Tz wakawa wanateseka bure, kisa ubabe wa peni mbili kutoka kwa Jiwe lenu. Ambalo halikufanikiwa kuwatafutia soko lingine la uhakika. Kenya haiwezi ikakubali utegemezi wa kilofa kama huo. Hadi sasa hivi, licha ya juhudi zote za rais Samia na biashara kati ya Kenya na TZ kuboreshwa, nchi ya Uganda inaiuzia Kenya mahindi mengi zaidi(X2) ya Tz kila mwaka.
 
Putin si alishawaambia nyie mpambane na njaa kabla ya kuhoji maswala ya Urusi. 10 Million Kenyans are facing starvation pambaneni na hilo kwanza.
 
Ila wakenya bana tangu wajibiwe wajifute umaskini wao imewauma sana

Putin si alishawaambia nyie mpambane na njaa kabla ya kuhoji maswala ya Urusi. 10 Million Kenyans are facing starvation pambaneni na hilo kwanza.
FAKE NEWS. Hakuna sehemu yeyote ile ambapo Putin au FM wake aliitaja wala kuijibu Kenya. Kwenye dunia ya sasa kama haupo makini au hujui kufanya 'verification' ya 'habari' unazozipata mitandaoni utabaki kulishwa upumbavu mwingi sana.

Nilishangazwa sana na waliokuwa wanamponda balozi Martin Kimani. Alipokuwa anahubiri amani kule NY na kusisitiza kwamba mgogoro huo unaweza ukasuluhishwa kwa njia zingine. Baadhi yenu mlikuwa mnashabikia maafa kule Ukraine, ungedhani ni yale mambo yenu ya Yanga-Simba. Wakati wengi wenu hamjaguswa maishani mwenu hata na vurugu tu za kawaida, achia bali vita.

Yaani unapata jitu linaruka ruka na kushangilia vifo vya hadi kina mama na watoto. Wakati hata mlio tu wa tairi la gari likipasuka umetosha kumfanya azamie mvunguni mwa kitanda. Uswahili buana. 😄
 
Mataifa yote duniani yaliombwa yakemee mauaji ya kimbari aliyoyafanya Urusi kule Ukraine, ila kuna baadhi ya mataifa ya Kiafrika yaliingiza mikia kwenye miguu na kusema hayafungamani na upande wowote, baadaye taarifa zimetoka kumbe haya mataifa maskini yanategemea Urusi kwa ngano hivyo kwa kuisema vibaya yangefungiwa.....

===========================
The war in Ukraine is endangering crucial wheat supplies in many of the least developed countries in the world. Among them, countries in Africa and the Middle East in particular are heavily dependent on wheat imports from Russia and Ukraine. According to the UN Comtrade database, Benin and Somalia obtained all of their wheat from Ukraine and/or Russia. The dependency of Egypt stood at 82 percent, according to the data.

27181.jpeg


Tanzania ni taifa lisilofungamana na upande wowote toka enzi uliza uambiwe! Hiyo ngano tunanunua hatupewi bure! Ndiyo maana imeandikwa IMPORTS na haijaandikwa msaada! Nyie hamna hela ya kununua tulieni!

Vipi nyie mnaojipendekeza upande wa Ukraine (Marekani), msimamo wenu ni upi? kuna mnachohongwa na Marekani bila shaka! Hebu tutajie kabla hatujakitaja!

Kenya mnashida sana! Nyie ni wa kuonewa huruma sana!

Kwa faida yako, Marekani ni ya wamarekani na Kenya ni Kenya! Obama aliposhika urais wa Marekani mlitegemea misaada toka Marekani lakini kuna chochote mlichopata? Mnatuaibisha bwana! Fanyeni kazi acheni kujipendekeza!!

Hata mjipendekeze vipi, Marekani ni ya wamarekani na mtabaki kujipendekeza bila kupata faida yoyote! Poleni!
 
FAKE NEWS. Hakuna sehemu yeyote ile ambapo Putin au FM wake aliitaja wala kuijibu Kenya. Kwenye dunia ya sasa kama haupo makini au hujui kufanya 'verification' ya 'habari' unazozipata mitandaoni utabaki kulishwa upumbavu mwingi sana.

Nilishangazwa sana na waliokuwa wanamponda balozi Martin Kimani. Alipokuwa anahubiri amani kule NY na kusisitiza kwamba mgogoro huo unaweza ukasuluhishwa kwa njia zingine. Baadhi yenu mlikuwa mnashabikia maafa kule Ukraine, ungedhani ni yale mambo yenu ya Yanga-Simba. Wakati wengi wenu hamjaguswa maishani mwenu hata na vurugu tu za kawaida, achia bali vita.

Yaani unapata jitu linaruka ruka na kushangilia vifo vya hadi kina mama na watoto. Wakati hata mlio tu wa tairi la gari likipasuka umetosha kumfanya azamie mvunguni mwa kitanda. Uswahili buana. 😄
Kabla ya kuonesha unafiki huu wa kujifanya unawahurumia Ukraine, kwanini usianze kuwahurumia waafrika wenzio wanaoteseka kule Kongo na kwingineko? Hata hapo Kenya kuna watu wanaoteseka na Alshabab shughulika na hao kwanza kuliko kujidai unaonea huruma walio mbali!
 
Kabla ya kuonesha unafiki huu wa kujifanya unawahurumia Ukraine, kwanini usianze kuwahurumia waafrika wenzio wanaoteseka kule Kongo na kwingineko? Hata hapo Kenya kuna watu wanaoteseka na Alshabab shughulika na hao kwanza kuliko kujidai unaonea huruma walio mbali!
Ndugu yangu, mimi binafsi sijaunga mkono, hata siku moja dhulma dhidi ya binadamu mwenzangu. Iwe ni dhulma dhidi ya upinzani kutoka kwa serikali ambayo nilichangia kuiingiza madarakani. Au dhulma ya aina yeyote ile, hata kati ya watu binafsi.

Nimekung'utwa rungu mimi na kulishwa vitoa machozi, nikiandamana na waislamu dhidi ya serikali ambayo ilikuwa inawakamata vijana kiholela holela, bila kuzingatia sheria. Wengi wenu ni mabendera fuata upepo tu. Hamna jambo lolote la maana duniani, ambalo mmelisimamia kwa haki na mkawa tayari kupambana, liwe liwalo.

Pale kwenye kikao cha kamati ya usalama UN(UNSC) Kenya ndio inawakilisha bara la Africa kwa sasa. Kwenye mkutano huo wa dharula kila nchi, ambayo ipo kwenye kamati hiyo, ilipewa muda wa kuwasilisha hotuba na maoni yake.

Balozi Martin Kimani alitoa maoni yake kulingana na maudhui ya kikao hicho cha dharula. Kama ulimsikiza vizuri aliwaponda wote hao mnaopenda kuwaita mabeberu. Kwasababu ya uhusika wao kwenye migogoro tofauti duniani. Kisha baada ya kusema wazi kwamba madai ya Urusi yanaweza kuwa halali. Akamaliza kidiplomasia kwa kuwarai wote ambao walikuwa wanahusika kwenye mgogoro huo watumie mbinu zingine kutatua tofauti zao. Kwamba waipe amani kipaumbele badala ya vita. Historia itamkumbuka yeye na Kenya milele kwa ujasiri wake huo. Ila nyie makajamba na ushabiki wenu hata Urusi wenyewe hawawatambui.

Leo hii aliyoyasema balozi Martin Kimani yametimia. Baada ya Urusi kuona kwamba mambo yao hayaendi sawa kama walivodhania. Sasa hivi Urusi wanaketi kwenye vikao na waliyemuita adui namba moja. Wakijaribu kutafuta pa kupenyezea, kupitia makubaliano. Ili wapunguze hasara na aibu, ambazo walijitakia wenyewe kwa ubabe wao wa kipumbavu.
 
Tanzania ni taifa lisilofungamana na upande wowote toka enzi uliza uambiwe! Hiyo ngano tunanunua hatupewi bure! Ndiyo maana imeandikwa IMPORTS na haijaandikwa msaada! Nyie hamna hela ya kununua tulieni!

Vipi nyie mnaojipendekeza upande wa Ukraine (Marekani), msimamo wenu ni upi? kuna mnachohongwa na Marekani bila shaka! Hebu tutajie kabla hatujakitaja!

Kenya mnashida sana! Nyie ni wa kuonewa huruma sana!

Kwa faida yako, Marekani ni ya wamarekani na Kenya ni Kenya! Obama aliposhika urais wa Marekani mlitegemea misaada toka Marekani lakini kuna chochote mlichopata? Mnatuaibisha bwana! Fanyeni kazi acheni kujipendekeza!!

Hata mjipendekeze vipi, Marekani ni ya wamarekani na mtabaki kujipendekeza bila kupata faida yoyote! Poleni!

Taarifa zinaongea kuhusu mataifa maskini wa kutupwa duniani wanaoitegemea Urusi, tafuta mtu akutafsirie.
 
Taarifa zinaongea kuhusu mataifa maskini wa kutupwa duniani wanaoitegemea Urusi, tafuta mtu akutafsirie.
Zamani za ujinga nilijua wakenya wote wanajua kiingeleza kumbe kuna maskini wengine bure kabisa!!! Sihitaji mtu anitafsirie, taarifa ipo wazi!
 
Ndugu yangu, mimi binafsi sijaunga mkono, hata siku moja dhulma dhidi ya binadamu mwenzangu. Iwe ni dhulma dhidi ya upinzani kutoka kwa serikali ambayo nilichangia kuiingiza madarakani. Au dhulma ya aina yeyote ile, hata kati ya watu binafsi.

Nimekung'utwa rungu mimi na kulishwa vitoa machozi, nikiandamana na waislamu dhidi ya serikali ambayo ilikuwa inawakamata vijana kiholela holela, bila kuzingatia sheria. Wengi wenu ni mabendera fuata upepo tu. Hamna jambo lolote la maana duniani, ambalo mmelisimamia kwa haki na mkawa tayari kupambana, liwe liwalo.

Pale kwenye kikao cha kamati ya usalama UN(UNSC) Kenya ndio inawakilisha bara la Africa kwa sasa. Kwenye mkutano huo wa dharula kila nchi, ambayo ipo kwenye kamati hiyo, ilipewa muda wa kuwasilisha hotuba na maoni yake.

Balozi Martin Kimani alitoa maoni yake kulingana na maudhui ya kikao hicho cha dharula. Kama ulimsikiza vizuri aliwaponda wote hao mnaopenda kuwaita mabeberu. Kwasababu ya uhusika wao kwenye migogoro tofauti duniani. Kisha baada ya kusema wazi kwamba madai ya Urusi yanaweza kuwa halali. Akamaliza kidiplomasia kwa kuwarai wote ambao walikuwa wanahusika kwenye mgogoro huo watumie mbinu zingine kutatua tofauti zao. Kwamba waipe amani kipaumbele badala ya vita. Historia itamkumbuka yeye na Kenya milele kwa ujasiri wake huo. Ila nyie makajamba na ushabiki wenu hata Urusi wenyewe hawawatambui.

Leo hii aliyoyasema balozi Martin Kimani yametimia. Baada ya Urusi kuona kwamba mambo yao hayaendi sawa kama walivodhania. Sasa hivi Urusi wanaketi kwenye vikao na waliyemuita adui namba moja. Wakijaribu kutafuta pa kupenyezea, kupitia makubaliano. Ili wapunguze hasara na aibu, ambazo walijitakia wenyewe kwa ubabe wao wa kipumbavu.
Kwa namna unavyoongea, nakuona ni mtu uliyepigwa marungu kwa tamaa za uongozi! Nakuhakikishia hata ukipewa uongozi leo hii, yale wanayoyafanya viongozi wako leo hii, utayafanya! Ubinfsi ni asili ya wanadamu wote! Hebu niambie ukweli, sema ukweli, je, taarifa aliyotuma mwenzio hapo MK254 imesema alichotafsiri?? Naomba tuanzie hapo!
 
Zamani za ujinga nilijua wakenya wote wanajua kiingeleza kumbe kuna maskini wengine bure kabisa!!! Sihitaji mtu anitafsirie, taarifa ipo wazi!

Sio sisi tumesema, wamesema wao, hasira zako elekeza kwa hao waliosema.
 
Hii ni habari mpya kwangu.
Basi kama ni hivi TANZANIA SAFARI BADO NI NDEFU.
Huo ndio ukweli mkuu, mahitaji ya ngano kwa Tz, kwa mwaka ni tani 1.2 milioni, lakini uzalizaji wa ndani ni kama tani laki 1, moja tu!!ni kelele tu za wanasiasa, hakuna lolote!!
 
Ndugu yangu, mimi binafsi sijaunga mkono, hata siku moja dhulma dhidi ya binadamu mwenzangu. Iwe ni dhulma dhidi ya upinzani kutoka kwa serikali ambayo nilichangia kuiingiza madarakani. Au dhulma ya aina yeyote ile, hata kati ya watu binafsi.

Nimekung'utwa rungu mimi na kulishwa vitoa machozi, nikiandamana na waislamu dhidi ya serikali ambayo ilikuwa inawakamata vijana kiholela holela, bila kuzingatia sheria. Wengi wenu ni mabendera fuata upepo tu. Hamna jambo lolote la maana duniani, ambalo mmelisimamia kwa haki na mkawa tayari kupambana, liwe liwalo.

Pale kwenye kikao cha kamati ya usalama UN(UNSC) Kenya ndio inawakilisha bara la Africa kwa sasa. Kwenye mkutano huo wa dharula kila nchi, ambayo ipo kwenye kamati hiyo, ilipewa muda wa kuwasilisha hotuba na maoni yake.

Balozi Martin Kimani alitoa maoni yake kulingana na maudhui ya kikao hicho cha dharula. Kama ulimsikiza vizuri aliwaponda wote hao mnaopenda kuwaita mabeberu. Kwasababu ya uhusika wao kwenye migogoro tofauti duniani. Kisha baada ya kusema wazi kwamba madai ya Urusi yanaweza kuwa halali. Akamaliza kidiplomasia kwa kuwarai wote ambao walikuwa wanahusika kwenye mgogoro huo watumie mbinu zingine kutatua tofauti zao. Kwamba waipe amani kipaumbele badala ya vita. Historia itamkumbuka yeye na Kenya milele kwa ujasiri wake huo. Ila nyie makajamba na ushabiki wenu hata Urusi wenyewe hawawatambui.

Leo hii aliyoyasema balozi Martin Kimani yametimia. Baada ya Urusi kuona kwamba mambo yao hayaendi sawa kama walivodhania. Sasa hivi Urusi wanaketi kwenye vikao na waliyemuita adui namba moja. Wakijaribu kutafuta pa kupenyezea, kupitia makubaliano. Ili wapunguze hasara na aibu, ambazo walijitakia wenyewe kwa ubabe wao wa kipumbavu.
Kinachoendelea sasa hivi ni siasa maji machafu! Siasa zetu katika Afrika zimetushinda, zimeshindwa kuondoa magonjwa katika Afrika, zimeshindwa kuondoa migogoro katika Afrika, zimeshindwa kuondoa njaa katika Afrika na zimeshindwa kuondoa matatizo kedekede (rushwa, ufisadi nk) kilichobaki ni kujifanya tunajua sana kutatua migogoro ya mataifa ya nje!!! Hiki ni kichekesho cha karne! Nadhani haya yanaweza kuwa maajabu ya nane ya dunia! Ngoja tuone!
 
Sio sisi tumesema, wamesema wao, hasira zako elekeza kwa hao waliosema.
Wewe ndiyo umesema siyo wao sababu taarifa yao haijasema tunapata ngano kwa msaada! Kwani ku import bidhaa toka nje ni kupewa msaada? Umeongea kana kwamba tunapewa misaada ili kutufunga mdomo kuikemea Urusi kwa operation anayoifanya Ukraine! Je, hicho ndicho kilichoongelewa kwenye hiyo taarifa???

Nakuhakikishia tukiendelea na siasa za hivi hatutafika!!! Afrika haitafika!!! Afrika inaharibiwa na maafrika yenyewe!
 
Kwa namna unavyoongea, nakuona ni mtu uliyepigwa marungu kwa tamaa za uongozi! Nakuhakikishia hata ukipewa uongozi leo hii, yale wanayoyafanya viongozi wako leo hii, utayafanya! Ubinfsi ni asili ya wanadamu wote! Hebu niambie ukweli, sema ukweli, je, taarifa aliyotuma mwenzio hapo MK254 imesema alichotafsiri?? Naomba tuanzie hapo!
Sina huo muda wa kujadili watu, badala ya kujadili mada.
 
Kenya na mataifa mengine ya kipumbavu hamna akili including viongozi wenu inakuaje nchi inayojitawala muombwe kukemea nchi fulani it means hamna utashi wa kukemea wenyewe mpaka muambiwe na bwana wenu mkuu wa mashoga USA yani kama mataahira mnapelekwa tu kama maamuzi ya kuikemea au kutoikemea Russia fanya kwa hiari au idhini yako sio mpaka Marekani akuambie.
 
Back
Top Bottom