Mataifa ya kiislamu yamepanga kwenda China kuomba isaidie kusimamisha vita vya Gaza

Unafaa kuelewa kwamba hata sisi wakristo hatuna unafiki wa kusema tunawapenda waislamu kumbe tunawachukia. Kwa mfano Mimi, muislamu namuona kama msabato tu au mlokole ambao natofautiana nao kidhehebu. Sina chuki wala upendo, tofauti na ilivyo kwa nyinyi mnatamani hata ukristo upotee kabisa mbaki wenyewe.
 
Nani kasema Uteseke? kama kuishi kwa amri zake Mungu kwako ni mateso hili tatizo lako, lakini malipo ya kuishi kwa amri za Mungu na mafundisho ni lazima ulipwe kwa wakati husika

Wewe, faizafoxy na donatila mpo kundi moja mnahitaji uangalizi wa karibu sana.
 

Kufanya biashara ni moja, lakini nyie kwenda kumlilia baada ya kuchokoza Wayahudi mkiimba alla akba, mbona msimlilie huyo akbar leo mnafuata kafir China awasaidie, mnachekesha sana kwa ujuha.
 
Ngoma ngumu sana siyo rahisi kama unavyodhani israel na marekani wapo kwenye mazungumzo na hamas, wameshindwa kuwaokoa mateka wao pamoja na technology na nguvu walizokuwa nazo mambo yamekuwa magumu hapo ndio ujue kuna mungu
mungu gani huyo ambaye anafurahia watu kutekwa na kushindwa kupatikana?
Kwahiyo tukio la octoba 7, allah naye alishiriki?
 
Hii dini imejaa mafundisho ya chuki sana
 
Kufanya biashara ni moja, lakini nyie kwenda kumlilia baada ya kuchokoza Wayahudi mkiimba alla akba, mbona msimlilie huyo akbar leo mnafuata kafir China awasaidie, mnachekesha sana kwa ujuha.
Ndio umeandika nini hapa? nimesha kwambia kuna mambo ya kitaifa na imani za watu ndani , nchi ina mambo yake , nchi za kiislamu zinafanya biashara na China bila wasiwasi, Nchi za kiislamu ni wanachama wa umoja wa kimataifa ambapo China ana kura ya VETO, shida iko wapi kumfata China? mashabiki wa US mna wivu sana na China
 
Kumbe hujui Yahudi anajua mateka wako wapi na wanao Uwezo wa kuwakomboa!
Ila wakiwakomboa hawata pata kisingizio cha kuibonda hamas na kuwafanya mtoto Sio rizki? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
SOURCE: Trust me bro
 
Wewe, faizafoxy na donatila mpo kundi moja mnahitaji uangalizi wa karibu sana.
Ndio tupo kundi moja si binadamu wote, siku zote hata yule kichaa barabara nae anajiona yuko sawa kabisaaa
 
Waarabu wanakubali sana sera za mambo ya nje za China ni tofauti kabisa na sera za ubabe za Marekani

Na China amezidi kupata credit hasa alipozipatanisha Saudi Arabia na Iran
 
Kila mfuasi wa dini fulani ni mbaguzi kwa mwengine, kuanzia mafundisho yake na imani yake kwa ujumla, ndio maana sasa hivi mnahubiri mpaka barabarani na kutulazimisha kumpokea Yesu , na asie mpokea atachomwa, sasa mtu kama huyu atakupenda kwa lipi utakapo mwambia Yesu ni tapeli tu muongo hana lolote?
 
Unaomba msaada kwa kafiri wakati huko msikitini huwa mnaambiwa "muislamu ndugu yake ni muislamu"
Hata Iran mwenyewe hakoromi. Kimyaaa km haoni
 
HAO Yahudi hawaja kitu kinaitwa makubaliano na wanao waita magaidi!
Katika haya wauliwe woote ni sawa tu kwao!
Ili kwamba muradi 1100 wafe TAIFA LIPONE
Tupo hapa utaona kama hakutakuwa na makubaliano ya pande mbili hapa
 
Waarabu wanaikubali sana sera za mambo ya nje za China ni tofauti kabisa na sera za ubabe za Marekani

Na China amezidi kupata credit hasa alipozipatanisha Saudi Arabia na Iran
Saudia na Iran wanagombananaje wakati ni ndugu wa haki?
Duniani pasipokuwepo kafiri hakuna amani
 
HAO Yahudi hawaja kitu kinaitwa makubaliano na wanao waita magaidi!
Katika haya wauliwe woote ni sawa tu kwao!
Ili kwamba muradi 1100 wafe TAIFA LIPONE
Unaongea vice versa.
Ambaye hataki mapatano ni wapalestina.
Kasome Six day war
 
jameni wameskia na haitokuja warudie kosa, kama kuna yeyote mwenye uwezo wa kuongea na Israel awaambie( hii sentensi nimeipenda mno mpaka nimecheka )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…