Mataifa ya waarabu yaanza kuagiza raia wake waondoke Lebanon, huku Israel ikianza maandalizi ya kuifanya Lebanon iwe kama Gaza

Mataifa ya waarabu yaanza kuagiza raia wake waondoke Lebanon, huku Israel ikianza maandalizi ya kuifanya Lebanon iwe kama Gaza

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Lebanon iliachia nchi yake itumike na magaidi wa kiislamu, sasa leo hii inapotaka kufanywa kama Gaza, waarabu wanaihama badala ya kubaki wapambane dhidi ya Israel.
==================

The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the country due to fears of escalation and the transition to full-scale war between the Hezbollah terrorist organization and Israel.
 
Lebanon iliachia nchi yake itumike na magaidi wa kiislamu, sasa leo hii inapotaka kufanywa kama Gaza, waarabu wanaihama badala ya kubaki wapambane dhidi ya Israel.
==================

The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the country due to fears of escalation and the transition to full-scale war between the Hezbollah terrorist organization and Israel.
Muda si mrefu tutasikia malalamiko kuwa Israeli inafanya mauaji ya kimbari huko Lebanon. Nusrallah anaongea tu kwa sababu huwa haendi front ila kuishi kwenye mapango kama kenge.
 
Lebanon iliachia nchi yake itumike na magaidi wa kiislamu, sasa leo hii inapotaka kufanywa kama Gaza, waarabu wanaihama badala ya kubaki wapambane dhidi ya Israel.
==================

The Kuwaiti Foreign Affairs Ministry has called on its citizens who are currently in Lebanon to leave the country due to fears of escalation and the transition to full-scale war between the Hezbollah terrorist organization and Israel.
Gaza wana mwezi nane sasa huko ndiko shimo lao israel inakwenda kubaki historia kwenye ramani dunia!
 
Back
Top Bottom