Bila shaka umekurupuka kujibu kwa kuangalia uandishi kuliko uhalisia. Kama ungekuwa unajua nguvu ya kivita ya hezbollah, basi husingeropokwa kwa mihemko. Huyo hezbollah uwezo wake wa kijeshi ni mkubwa kuliko hata majeshi ya nchi nyingi tofauti n hamas. Hezbinyo amewahi kuingia kwenye mgogoro wa kisiasa n USA, kilipigwa mpaka USA akakimbia n majeshi yake yote. Amewahi kukipiga na Israel mara kadhaa bila kukubali kushindwa. Inasemekama amekuwa akihifadhi dhana zake za zikita, ikiamini karibuni kutakuja kuchafuka n itabidi ijitetee. Juu ya yote, Hezbinyo sio kikundi cha kigaidi tu*,+militia group, ila pia ni chama cha kisiasa. Kiko vzuri kiuchumi n sio ombaomba. Tukirudi kwenye uhalisia, ikitokea vita kati ya Israel na lebanon+Hezbinyo+hamas=total destruction to Israel. Israel anaenjoy kwa sasa sababu kwake hakukulipuliwi. Ila akiwachokoza n kuingia kwenye vita n hao hezbinyo, kwake kutatembezewa mabamu kama wanavyofanya uko Palestine. Huyo hezbinyo sio mtu wa kawaida, wako vzuri kimbinu, kisilaha, kiuchumi, yani wamekamilika.