Mataifa ya waarabu yaanza kuagiza raia wake waondoke Lebanon, huku Israel ikianza maandalizi ya kuifanya Lebanon iwe kama Gaza

Mataifa ya waarabu yaanza kuagiza raia wake waondoke Lebanon, huku Israel ikianza maandalizi ya kuifanya Lebanon iwe kama Gaza

We bwege kweli nani UN kwenye akili yako kama sio huyo USA, nikuambia mna akili za kitoto mnabisha wewe hebu mwambie Tanzania akapitishe sheria UN kama anaweza.

USA akitaka wewe akuite terrorist anaweza na nchi zikakublock usingie kwao.

Kondoo atabaki kuwa kondoo hao UNIFIL wametumwa na nani?

Bora niende kwenye forum ya mapenzi nikakutongozee dada yako, unadhani wote tuna nyege za panzi hapa.
Unaleta maneno matupu Bila fact, inamaana hao China , Russia, Iran na nchi zingine zote huko UN zipo chini ya USA?
 
Unaleta maneno matupu Bila fact, inamaana hao China , Russia, Iran na nchi zingine zote huko UN zipo chini ya USA?
Wewe ni bwege lini UN Resolutions za hizo nchi zilipita kama US hataki? Juzi juzi hapo US kapitisha resolutions kusimamisha vita nchi zote zimekubali ni Urusi ndio hakukubaliana nayo lakini hakupiga veto.

Urusi walikuja na Resolution kama hio US peke ali ipiga veto na nchi zote kimya.

Hizo nchi ulizo zitaja wako against na US lakini kwa pale UN ni USA ndio mwenye sauti, dalili hizo nchi zote karibu zimepigwa sanction kwa kutumia UN resolutions, we baki na ujinga wako tu.






Nimekupa fact we leta fact zako sasa, we jinga tu.
 
Huwezi kumuondoa mtu kwa dakika moja ni mlolongo , ndio maana israel pamoja na marekani wameshindwa si tu kuwaokoa mateka wao ndani ya kieneo kidogo cha gaza ,bali wameshindwa na hawataweza kuwamaliza hamas, hata msemaji wa jeshi la israel general hallevi ametofautiana na netanyahu na kukiri kwamba its impossible kuwamaliza hamas ,kauli ambayo ilimfanya netanyahu kuijibu na kupingana hadharani
Kama una akili unaweza kupata jibu unapoona jeshi linapobishana na serikali maana yake ni nini.
Haujajibu swali langu.
 
We dogo upo dunia gani Hezbullah walisha sema zamani wana tunnels zinafika Israel na wa Israel wanasema wengine walikuwa wakisikia usiku watu kama wanachimba chini ya nyumba zao sa wapi kipya hicho.

UN toka lini ilikuwa upande wa Hezbullah, sijui umechanganyikiwa kapime akili zako UN ni tools inatumiwa na USA na Western kwa maslaha yao.

US katumia veto ngapi kuitetea Israel, leo ndio UN kawa adui wa Israel, kweli kichaa si lazima arushe mawe.

We tulia Israel single hio full war ndio utafahamu alicho ongea Mtume Muhammad ndio kina kuja alisema hakita kuja kiama mpa pale Waislam watapigana na Wayahudi na habaki hata Myahudi.

Hao viongozi wa kiarabu wataondolewa madarakani very soon ngojea kinuke ndio taifa teule lenu mtalitafuta limehamia wapi.
Ni wayahudi gani hao ambao waislamu mtapigana nao kama mtume Muhammad alivyosema ilhali mnatuambia kuwa hao wayahudi akina netanyau ni fake?.
 
Ume andika ushabiki tu kijana
Bila shaka umekurupuka kujibu kwa kuangalia uandishi kuliko uhalisia. Kama ungekuwa unajua nguvu ya kivita ya hezbollah, basi husingeropokwa kwa mihemko. Huyo hezbollah uwezo wake wa kijeshi ni mkubwa kuliko hata majeshi ya nchi nyingi tofauti n hamas. Hezbinyo amewahi kuingia kwenye mgogoro wa kisiasa n USA, kilipigwa mpaka USA akakimbia n majeshi yake yote. Amewahi kukipiga na Israel mara kadhaa bila kukubali kushindwa. Inasemekama amekuwa akihifadhi dhana zake za zikita, ikiamini karibuni kutakuja kuchafuka n itabidi ijitetee. Juu ya yote, Hezbinyo sio kikundi cha kigaidi tu*,+militia group, ila pia ni chama cha kisiasa. Kiko vzuri kiuchumi n sio ombaomba. Tukirudi kwenye uhalisia, ikitokea vita kati ya Israel na lebanon+Hezbinyo+hamas=total destruction to Israel. Israel anaenjoy kwa sasa sababu kwake hakukulipuliwi. Ila akiwachokoza n kuingia kwenye vita n hao hezbinyo, kwake kutatembezewa mabamu kama wanavyofanya uko Palestine. Huyo hezbinyo sio mtu wa kawaida, wako vzuri kimbinu, kisilaha, kiuchumi, yani wamekamilika.
 
Bila shaka umekurupuka kujibu kwa kuangalia uandishi kuliko uhalisia. Kama ungekuwa unajua nguvu ya kivita ya hezbollah, basi husingeropokwa kwa mihemko. Huyo hezbollah uwezo wake wa kijeshi ni mkubwa kuliko hata majeshi ya nchi nyingi tofauti n hamas. Hezbinyo amewahi kuingia kwenye mgogoro wa kisiasa n USA, kilipigwa mpaka USA akakimbia n majeshi yake yote. Amewahi kukipiga na Israel mara kadhaa bila kukubali kushindwa. Inasemekama amekuwa akihifadhi dhana zake za zikita, ikiamini karibuni kutakuja kuchafuka n itabidi ijitetee. Juu ya yote, Hezbinyo sio kikundi cha kigaidi tu*,+militia group, ila pia ni chama cha kisiasa. Kiko vzuri kiuchumi n sio ombaomba. Tukirudi kwenye uhalisia, ikitokea vita kati ya Israel na lebanon+Hezbinyo+hamas=total destruction to Israel. Israel anaenjoy kwa sasa sababu kwake hakukulipuliwi. Ila akiwachokoza n kuingia kwenye vita n hao hezbinyo, kwake kutatembezewa mabamu kama wanavyofanya uko Palestine. Huyo hezbinyo sio mtu wa kawaida, wako vzuri kimbinu, kisilaha, kiuchumi, yani wamekamilika.
Ndo maana narudia tena ume andika kiushabiki maandazi hizi Pumba zako kwa hiyo mzee tuliza kipapiro iko uandike facts
 
Ndo maana narudia tena ume andika kiushabiki maandazi hizi Pumba zako kwa hiyo mzee tuliza kipapiro iko uandike facts
It's a fact, I can't fight against a wall. Nitakukumbusha tu uvamivi wa Israel kama utakamilika Lebanon. Ila I know probability lies way blow .3 for this to happen
 
Ndo maana yake.

Hivi kwanini Kuwait, Saudi, Bahrain, UAE huwa hakuna wajitoa muhanga?
Wanajaribu kufuata utamaduni wao kama ulivyokuwa hata kabla ya kuzaliwa kwa Mohammed. Hawa wenye kujilipua wanaegemea zaidi kwenye maandiko ya Quran na hadithi za mtume wao.
 
Bila shaka umekurupuka kujibu kwa kuangalia uandishi kuliko uhalisia. Kama ungekuwa unajua nguvu ya kivita ya hezbollah, basi husingeropokwa kwa mihemko. Huyo hezbollah uwezo wake wa kijeshi ni mkubwa kuliko hata majeshi ya nchi nyingi tofauti n hamas. Hezbinyo amewahi kuingia kwenye mgogoro wa kisiasa n USA, kilipigwa mpaka USA akakimbia n majeshi yake yote. Amewahi kukipiga na Israel mara kadhaa bila kukubali kushindwa. Inasemekama amekuwa akihifadhi dhana zake za zikita, ikiamini karibuni kutakuja kuchafuka n itabidi ijitetee. Juu ya yote, Hezbinyo sio kikundi cha kigaidi tu*,+militia group, ila pia ni chama cha kisiasa. Kiko vzuri kiuchumi n sio ombaomba. Tukirudi kwenye uhalisia, ikitokea vita kati ya Israel na lebanon+Hezbinyo+hamas=total destruction to Israel. Israel anaenjoy kwa sasa sababu kwake hakukulipuliwi. Ila akiwachokoza n kuingia kwenye vita n hao hezbinyo, kwake kutatembezewa mabamu kama wanavyofanya uko Palestine. Huyo hezbinyo sio mtu wa kawaida, wako vzuri kimbinu, kisilaha, kiuchumi, yani wamekamilika.
Pole sana
 
Majeshi ya uarabuni kuna watu walisaliti wenzao ambao ni morocco ,so kabla ya vita resources zao zote ziliharibiwa, muwe mnasoma sio mnashabikia vitu blindly

Nenda kasome report ya vita ya 2006 kati ya israel na hezbollah utapata majibu yako nini kiliwakuta israel hadi wakaenda kuomba ceasefire
As we speak iron dome haina uwezo wa kuzuia silaha za hezbollah na israel analijua hilo ,na juzi hezbollah wametuma video simulator ambayo imewashtua israel na magharibi kuonyesha anaweza kushambulia hadi ndani ya israel, kwa sasa marekani hataki vita maana ana uchaguzi, na inajulikana israel uwezo wake ni mdogo sana ukiacha tu silaha ambazo marekani kazuia makusudi ili israel asichokoze watu hata nguvu kazi ya kutosha hana

Wanapaswa waige alshabaab magaidi wa uislamu ambao huingia sehemu na kupambana wenyewe, sasa hawa wamekua waoga wanajificha kwenye watoto, ugaidi wao una kasoro sio kama kiislamu.
 
Israel Iron dome yao imeshaonyesha weakness kubwa, drone zinaingia hadi ndani 30km na hezbollah wanafahamu targets zote, ndege zilipo, military bases n.k

Hii vita Netanyahu aiepuke tu, maana itakuwa aibu ya karne.
Kwenye vita, sio lazima kushinda hata ukipigwa unajipanga upya unamgonga mpinzani wako. Ukiamua kuishi maisha ya Simba ivyo ni vitu vya kawaida kwa Simba kufukuzwa na kundi la fish, na haimaanishi kwamba fisi, anaweza pigana na Simba 😄 😆 😅 😊 😂 🤣 😄 😆 😅 😊
 
Israhell kaishaanza kuitwanga hizbullah?
Hatuombei vita ila israhell ikikaa kwenye 18 tunaipelekea moto wakutosha kabisa
Kama wana mwaka kasoro wameshindwa kuokoa magaidi wao kwenye kakata kamoja
Israhell yakwenye tv inatisha kuliko hii israhell halisi
 
Back
Top Bottom