Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Mzee wa kupambania

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2022
Posts
21,111
Reaction score
53,092
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mauzo ya nje ya bidhaa za China (China's crossborder transactions) mauzo kwa kutumia Yuan yameipita US dollar.

Mwaka 2010 mauzo ya nje ya bidhaa kutoka China kwa kutumia Yuan yalikuwa ni 0% na point kadhaa tu wakati mauzo kwa kutumia US dollar yalikuwa ni 83%. Kufikia 2023 matumizi ya Yuan yamepanda kufikia 48% na US dollar yameshuka kufikia 47%

INFOGRAPHIC:

20230427_161242.jpg



Hii inamaanisha mataifa mengi yanayoagiza bidhaa kutoka China yameonyesha kukubali matumizi ya Yuan badala ya US dollar.

Wakati huohuo taifa la Argentina limetoa tamko rasmi leo kuwa watatumia sarafu ya Yuan tu watakapoagiza bidhaa kutoka China.

IN BRIEF:
China’s cross border transactions by currency

●Yuan: 48.4%
●US Dollar: 46.7%
 
Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
 
Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota
Mwambie huyo mleta Uzi ahamie china au USA utashangaa jibu
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mauzo ya nje ya bidhaa za China (China's crossborder transactions) mauzo kwa kutumia Yuan yameipita US dollar.

Mwaka 2010 mauzo ya nje ya bidhaa kutoka China kwa kutumia Yuan yalikuwa ni 0% na point kadhaa tu wakati mauzo kwa kutumia US dollar yalikuwa ni 83%. Kufikia 2023 matumizi ya Yuan yamepanda kufikia 48% na US dollar yameshuka kufikia 47%

INFOGRAPHIC:

View attachment 2601507


Hii inamaanisha mataifa mengi yanayoagiza bidhaa kutoka China yameonyesha kukubali matumizi ya Yuan badala ya US dollar.

Wakati huohuo taifa la Argentina limetoa tamko rasmi leo kuwa watatumia sarafu ya Yuan tu watakapoagiza bidhaa kutoka China.

IN BRIEF:
China’s cross border transactions by currency

●Yuan: 48.4%
●US Dollar: 46.7%
Bado yuan Iko nyuma ya dollar kwa kuwa matumizi yake sio globally ukicompare na dollar, Dollar ni reserve currency kwa foreign investors wengi sana, demand yake bado Iko sana maana hata hizi big tech companies zinasafirisha bidhaa zao Kwa kutumia dollar.
I
 
Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota
Hatushabikii ila mataifa mbalimbali wameamua hivyo. Si uliona juzi kati hata Ufaransa wamenunua liquid gas kutoka China kwa kutumia Yuan
 
Before the yuan can become a global currency, it must first become a reserve currency held by central banks around the world. Among the benefits China would enjoy are lower trade costs, greater demand for the yuan worldwide, and less concern about the value of the U.S. dollar in relation to the yuan.
Hivyo kinachoikwamisha Yuan kuipiku dollar kama reserve currency ni policy ambayo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China(PRC) wameiweka kwa yuan currency, kwanza haipo pegged dhidi ya dollar
Wanapaswa wairuhusu yuan kwenye fleet-floating scheme kwa IMF kuwaruhusu sasa central banks duniani kote kununua yuan za kutosha na KUIFANYA kuwa reserve currency na hivyo baadaye kutokana na balance of trade , lowering interest rates, fiscal policy amendment, hapo sasa yuan atasimama badala ya dollar, na Dollar dominance itaishia pale.
 
Dj Putin waleteee,,,ukiwaambia Dunia inaihitaji Urusi kuliko Urusi inavyoihitaji Dunia hawataki kuelewa.

Haya Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2601542
Dollar bado Ina nguvu na foreign investors wengi wameinvest kwenye dollar , mzunguko wa yuan ni ndogo hata kama watauza bidhaa zake kupitia yuan na kuiforce nchi zingine zinunue yuan Ili zinunue bidhaa za China still sera ya kiuchumi ya China ndo inaiangusha, wairekebishe.
 
Bado yuan Iko nyuma ya dollar kwa kuwa matumizi yake sio globally ukicompare na dollar, Dollar ni reserve currency kwa foreign investors wengi sana, demand yake bado Iko sana maana hata hizi big tech companies zinasafirisha bidhaa zao Kwa kutumia dollar.
I
Ni kweli mkuu lakini hii ni ishara kuwa Yuan inazidi kuimarika.

Una taarifa kuwa kwa sasa Yuan has surpassed the Euro in global trade invoicing
 
Before the yuan can become a global currency, it must first become a reserve currency held by central banks around the world. Among the benefits China would enjoy are lower trade costs, greater demand for the yuan worldwide, and less concern about the value of the U.S. dollar in relation to the yuan.
Hivyo kinachoikwamisha Yuan kuipiku dollar kama reserve currency ni policy ambayo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China(PRC) wameiweka kwa yuan currency, kwanza haipo pegged dhidi ya dollar
Wanapaswa wairuhusu yuan kwenye fleet-floating scheme kwa IMF kuwaruhusu sasa central banks duniani kote kununua yuan za kutosha na KUIFANYA kuwa reserve currency na hivyo baadaye kutokana na balance of trade , lowering interest rates, fiscal policy amendment, hapo sasa yuan atasimama badala ya dollar, na Dollar dominance itaishia pale.
Nawaza tu!
Kwamba haya mawazo uliyoyatoa ww ina maaana china hawana wataalamu kama ww ili watekeleze na sarafu yao itawale.
 
Nawaza tu!
Kwamba haya mawazo uliyoyatoa ww ina maaana china hawana wataalamu kama ww ili watekeleze na sarafu yao itawale.
Kama unabisha ndani ya wiki mbili angalia dollar Moja ni sawasawa na kiasi Gani Cha yuan, pili kumbuka sera ya kiserikali kwenye masuala ya uchumi huwa yanashikiliwa na wanasiasa, mfano ni hapa Tanzania enzi za JPM kama alikuwa anawasikiliza washauri wake wa kiuchumi kwenye suala la ununuzi wa ndege , tatu kumbuka kwenye upande wa reserve currency inasimamiwa na IMF.
Ukielewa hapa hutaniuliza tena maswali.
 
Back
Top Bottom