Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Kwa kuwa China ndiye world's manufacturing superpower tutegemee mataifa mengi kuanza kutumia sarafu ya Yuan kuimport Chinese goods
Ni kweli ila nina wasiwasi itatake alot of years, inabidi China ishawishi central banks zote ziweze liquidate funds zao Kwa yuan instead of Dollar.
Kama biashara ya mafuta duniani itafanywa kupitia yuan miaka 5 mfululizo basi itaipandisha yuan Kwa kiasi Fulani.
Hapa China achukue opportunity afanye amendment ya sera Yao ya kiserikali iwavutie foreign investors, maana sasahivi US anategemea consumers sana kuliko hata exports, maana ana trade deficit ya kutisha kwa miaka zaidi ya 10 ila foreign investors ndo wamemsimamisha juu bado, Wana Imani naye, siku wakikata utepe huo, utaona.
 
Benki za dunia zitashawishika kuweka reserves zao kwa Yuan endapo serikali ya China haitakuwa inaingilia kuishusha au kuipandisha thamani yake. China inapenda kushusha thamani(Devaluation) ya Yuan ili iuze zaidi bidhaa nje ya nchi.
Ni kweli ila nina wasiwasi itatake alot of years, inabidi China ishawishi central banks zote ziweze liquidate funds zao Kwa yuan instead of Dollar.
Kama biashara ya mafuta duniani itafanywa kupitia yuan miaka 5 mfululizo basi itaipandisha yuan Kwa kiasi Fulani.
Hapa China achukue opportunity afanye amendment ya sera Yao ya kiserikali iwavutie foreign investors, maana sasahivi US anategemea consumers sana kuliko hata exports, maana ana trade deficit ya kutisha kwa miaka zaidi ya 10 ila foreign investors ndo wamemsimamisha juu bado, Wana Imani naye, siku wakikata utepe huo, utaona.
 
Before the yuan can become a global currency, it must first become a reserve currency held by central banks around the world. Among the benefits China would enjoy are lower trade costs, greater demand for the yuan worldwide, and less concern about the value of the U.S. dollar in relation to the yuan.
Hivyo kinachoikwamisha Yuan kuipiku dollar kama reserve currency ni policy ambayo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China(PRC) wameiweka kwa yuan currency, kwanza haipo pegged dhidi ya dollar
Wanapaswa wairuhusu yuan kwenye fleet-floating scheme kwa IMF kuwaruhusu sasa central banks duniani kote kununua yuan za kutosha na KUIFANYA kuwa reserve currency na hivyo baadaye kutokana na balance of trade , lowering interest rates, fiscal policy amendment, hapo sasa yuan atasimama badala ya dollar, na Dollar dominance itaishia pale.
Kama unafatilia siasa za China na mabadiliko yake kisera utaona China anapiga hatua zake kwa umakini mkubwa sana ili kuchukua ushawishi wa marekani duniani kuanzia kwenye usuluishi wa migogoro mbalimbali duniani hadi kwenye nyanja ya kiuchumi na teknolojia. Jana kwenye maongezi ya raisi wa ukrein na raisi wa chini utaona vile maongezi yao yamekuwa gumzo duniani yote ni sababu ya umuhimu wa China kwenye huu mgogoro kama wewe ni mfatiliaji wa vikwazo vya Russia kwa nchi za magharibi kama si China Leo hii Russia uchumi wake ungekuwa kwenye hali mbaya sana na inawezekana ata putin angekuwa anafikiria kuikimbia nchi ila backup ya uchumi wa China kwenye biashara ya urusi kimataifa imezuia madhara ya vikwazo kwa urusi, China azuiliki kwa sasa pesa yake inaweza isiwe kubwa kama dollar ila kiuchumi atakuja kuipiku marekani
 
Kama unafatilia siasa za China na mabadiliko yake kisera utaona China anapiga hatua zake kwa umakini mkubwa sana ili kuchukua ushawishi wa marekani duniani kuanzia kwenye usuluishi wa migogoro mbalimbali duniani hadi kwenye nyanja ya kiuchumi na teknolojia. Jana kwenye maongezi ya raisi wa ukrein na raisi wa chini utaona vile maongezi yao yamekuwa gumzo duniani yote ni sababu ya umuhimu wa China kwenye huu mgogoro kama wewe ni mfatiliaji wa vikwazo vya Russia kwa nchi za magharibi kama si China Leo hii Russia uchumi wake ungekuwa kwenye hali mbaya sana na inawezekana ata putin angekuwa anafikiria kuikimbia nchi ila backup ya uchumi wa China kwenye biashara ya urusi kimataifa imezuia madhara ya vikwazo kwa urusi, China azuiliki kwa sasa pesa yake inaweza isiwe kubwa kama dollar ila kiuchumi atakuja kuipiku marekani
Kiuchumi anaweza ipiku Marekani ila Yuan kuipiku dollar ni mtihani ambao China anabidi afaulu, ujue mchawi wa yuan ni IMF tu.
 
Ni kweli ila nina wasiwasi itatake alot of years, inabidi China ishawishi central banks zote ziweze liquidate funds zao Kwa yuan instead of Dollar
Ni kweli Yuan bado ina safari ndefu lakini kumekuwa na ongezeko kwa kasi kwa mataifa makubwa kuikubali Yuan katika trans-border transactions lazima kunawaumiza vichwa Marekani.
 
Benki za dunia zitashawishika kuweka reserves zao kwa Yuan endapo serikali ya China haitakuwa inaingilia kuishusha au kuipandisha thamani yake. China inapenda kushusha thamani(Devaluation) ya Yuan ili iuze zaidi bidhaa nje ya nchi.
Kweli ndo icho nilichokuwa najaribu kuisema ila wewe umeisema kiubora zaidi.
 
Ni kweli Yuan bado ina safari ndefu lakini kumekuwa na ongezeko kwa kasi kwa mataifa makubwa kuikubali Yuan katika trans-border transactions lazima kunawaumiza vichwa Marekani.
Inaharibu dominance ya Marekani. Kupitia currency yake, Marekani alikuwa anaitawala Dunia indirectly ila kwa sasa wale wote aliokuwa anawapiga vikwazo Wana back-up inayoitwa China.
 
Waafrika hatujielewi, umeona mbali sana.

Hao wanaotaka dollar ishuke uchumi wao sio tegemezi sana kama wa kwetu, na kiufupi wamelenga kupata faida.

Mimi ni shabiki wa China lakini sio shabiki wa yuan. Hatuwezi bet uchumi wa dunia kwa taifa la kijamaa ambalo serikali yake inataka kuingilia kila kitu kwenye uzalishaji. Maamuzi tunayofanya sasa hivi yatakuja kuaffect watoto wetu miaka 20 hadi 30 baadae
Hii sera ya serikali kuingilia Kila kitu ndo inaidumaza yuan kimtindo ila soon naona wataibadilisha.
 
Benki za dunia zitashawishika kuweka reserves zao kwa Yuan endapo serikali ya China haitakuwa inaingilia kuishusha au kuipandisha thamani yake. China inapenda kushusha thamani(Devaluation) ya Yuan ili iuze zaidi bidhaa nje ya nchi.
Na toka lini ukaiamini serikali? Wale ni wanasiasa wamejaza uongo tu.

Hata US hatukuiamini sana na kama unafuatilia history utakumbuka scandal ya 1970s kuhusu usd, nobody saw it coming. Lkn ni bora nimpe chance USA sababu hana direct impact kwa currency yake, kuliko kumpa China ambapo wakiamka vibaya wanashusha, wakicheka wanapandisha.

Umeona namna FED wanavyopambana kubalance inflation toka mwaka jana? Ingekua ndo china sasa tungesema mengine
 
Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota
yaani watu kama nyie ni bora mngebanwa mapajani ili msije duniani ni hasara tupu .....kwanini mmejijengea kusaidiwa saidiwa na mzungu why ....ndio maana wanatuletea ajenda zao chafu chafu kwa sababu ya ujinga wa kupokea misaada .....amka bhana lazima taifa kama taifa lipambane kuachana na misaada ya mzungu ......
 
Kuna kauli za wanasiasa halafu kuna uhalisia ground, wanasiasa wanaweza kujizungumzia mambo yao tu ila wafanyabiashara na wawekezaji nao wana mahitaji yao.

Wafanyabiashara na matajiri wanazipenda $dollars na Euro kwa sababu pia ya urahisi wa kuhamisha mitaji na savings zao katika benki za magharibi, hakuna masharti mengi ya kuhamisha na kuweka pesa katika benki za magharibi kama pesa zako hazihusikia na ugaidi. China ni tofauti, kuna vikwazo na masharti mengi ya kuzingatia kutoa pesa katika benki za China(Capital restrictions).
Ni kweli Yuan bado ina safari ndefu lakini kumekuwa na ongezeko kwa kasi kwa mataifa makubwa kuikubali Yuan katika trans-border transactions lazima kunawaumiza vichwa Marekani.
 
Bado yuan Iko nyuma ya dollar kwa kuwa matumizi yake sio globally ukicompare na dollar, Dollar ni reserve currency kwa foreign investors wengi sana, demand yake bado Iko sana maana hata hizi big tech companies zinasafirisha bidhaa zao Kwa kutumia dollar.
I
Nani ana biggest foreign currency reserve duniani ?

By the way kusema kwamba Pesa yetu ndio kubwa haina tija sana (kuna pro and cons) chenye tija ni nani au ni vipi bidhaa zetu zinapendwa / zinatafutwa ulimwenguni pote..., hata ukiamua watu watumie mavi ya popo ili uwape bidhaa zako watayatafuta tu......

Anyway kila siku nasema hizi FIAT Currency ni Desi tu iliyochangamka.....
 
Nani ana biggest foreign currency reserve duniani ?

By the way kusema kwamba Pesa yetu ndio kubwa haina tija sana (kuna pro and cons) chenye tija ni nani au ni vipi bidhaa zetu zinapendwa / zinatafutwa ulimwenguni pote..., hata ukiamua watu watumie mavi ya popo ili uwape bidhaa zako watayatafuta tu......

Anyway kila siku nasema hizi FIAT Currency ni Desi tu iliyochangamka.....
Andika kwa utulivu ueleweke.
 
Andika kwa utulivu ueleweke.
Kama haujaelewa uliza; ndio faida ya Maswali....

Nimemuuliza Jamaa ni nchi gani ina Foreign Currency Reserve kubwa Duniani kuliko nyingine ? Jibu angelileta baada ya muda kwamba ni China (kutokana na uzalishaji wake na kuwa industry of the world ni kwamba pesa zenu mnampelekea vilvile ana lundo la US Dollars, ameshazi-accumulate)

Baada ya hapo nikaeleza kuwa na Pesa yenye thamani au inayotafutwa sana haina tija sana sababu kuna faida na hasara ya kuwa hivyo..., Ila jambo ambalo halina hasara ni bidhaa zako kutafutwa / kupendwa duniani kote kwa kufanya hivyo hata ukisema unabadilisha bidhaa zako kwa mavi ya popo watu watatafuta hayo mavi wakupe...

Nikamalizia kwa kusema hizi currency zote za sasa ambazo ni FIAT ni kama Desi sababu hazipo based kwenye any commodity; kwahio chizi akiamua kuziprint za kutosha huenda mwisho wa siku value yake ikarudi kwenye thamani yake halisi ambayo ni sifuri....
 
Nani ana biggest foreign currency reserve duniani ?

By the way kusema kwamba Pesa yetu ndio kubwa haina tija sana (kuna pro and cons) chenye tija ni nani au ni vipi bidhaa zetu zinapendwa / zinatafutwa ulimwenguni pote..., hata ukiamua watu watumie mavi ya popo ili uwape bidhaa zako watayatafuta tu......

Anyway kila siku nasema hizi FIAT Currency ni Desi tu iliyochangamka.....
China ana dollar nyingi sana, yes ni biggest currency reserve country ila amewekeza kwenye dollar maana anajua nguvu ya dollar.
 
Back
Top Bottom