Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Umetoa ushauri mkali Sana [emoji38] naamin eeleweka China siyo taifa la kushabikia Wala kuwaegemeaa Ni watu wapuuz mno ,wanyonyaji ,Hana democracy Wala kujali haki za binadamu nashangazwa kuona watu wanawashabikia wachina na kuwacha wazungu , nashangazwa pia kuona watu wakisema wazungu ni wanyonyaji ,HV niulize Kuna mtu mnyonyaji kama mchina na muhindi
Haka ka profile Kako kamekaa vizuri hatari,huwa mara kwa mara na kazoom hata sasa baada ya kuweka hii nakaangalia tena.

Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
 
China ana dollar nyingi sana, yes ni biggest currency reserve country ila amewekeza kwenye dollar maana anajua nguvu ya dollar.
Kwa logic yako wengine akiwemo US hawajawekeza kwenye dollar kama China kwahio hawajui nguvu ya Dollar ?

Hivi unajua huenda Wachina hawafurahii hii hali wala wao hawapendi kabisa thamani ya Pesa yao iwe kubwa ?
 
Mnaongeaa afu China na Marekani wanauziana kwa Dollar
Nimesoma comments zote mpaka hapa naishia kucheka tu. Mara wanakwambia China ndio ana largest reserve ya USD duniani. Sasa wewe unaweza tunza kitu kisicho na thamani, kwanini asitunze JPY au EUR au atupe hizo USD alizonazo kwenye reserve ili na nchi nyingine ziachane nazo.

Kwanza mleta mada hajui kwamba Yuan imeipiku USD kwenye transaction za China, sio za dunia. Mpaka mwaka huu China ilikuwa inafanya biashara kutumia USD kuliko kutumia sarafu yake. Yuan imetumika kwa 48.4% ya exchange ya China, USD imetumika kwa 46.7% na China hiyo hiyo mwezi March mwaka huu. Yani $ inatumiwa na China kwenye mabadilishano ya fedha kwa 46.7% alafu mtu anasema Yuan inaitisha dollar sasahivi?

Tukienda duniani, matumizi ya Yuan 'yamepanda' mpaka 4.5% ya exchange zote duniani, zingatia yamepanda. Wakati matumizi ya USD ni 83.7%.

Sasa nauliza jamani, kati ya 83.7% ya $ na 4.5% ya Yuan ni ipi kubwa.
Elimu! Elimu! Elimu!
 
Nimesoma comments zote mpaka hapa naishia kucheka tu. Mara wanakwambia China ndio ana largest reserve ya USD duniani. Sasa wewe unaweza tunza kitu kisicho na thamani, kwanini asitunze JPY au EUR au atupe hizo USD alizonazo kwenye reserve ili na nchi nyingine ziachane nazo.

Kwanza mleta mada hajui kwamba Yuan imeipiku USD kwenye transaction za China, sio za dunia. Mpaka mwaka huu China ilikuwa inafanya biashara kutumia USD kuliko kutumia sarafu yake. Yuan imetumika kwa 48.4% ya exchange ya China, USD imetumika kwa 46.7% na China hiyo hiyo mwezi March mwaka huu. Yani $ inatumiwa na China kwenye mabadilishano ya fedha kwa 46.7% alafu mtu anasema Yuan inaitisha dollar sasahivi?

Tukienda duniani, matumizi ya Yuan 'yamepanda' mpaka 4.5% ya exchange zote duniani, zingatia yamepanda. Wakati matumizi ya USD ni 83.7%.

Sasa nauliza jamani, kati ya 83.7% ya $ na 4.5% ya Yuan ni ipi kubwa.
Elimu! Elimu! Elimu!
Ukweli ni kuwa nchi nyingi zitaamua tumia pesa zao kwa zao kufanya biashara ila watahitaji USD kulipa mikopo ya nyuma na mikopo mipya kutoka IMF, WB etc.

Ila bado China itaendelea kuwa na dollar nyingi sababu trade partner mkubwa bado ni marekani.
 
Kwanza mleta mada hajui kwamba Yuan imeipiku USD kwenye transaction za China, sio za dunia
Ungeusoma uzi kwa kutuliza fuvu hilo usingeandika haya.

Uzi umejieleza kabisa paragraph ya kwanza kabisa hizo kuwa ni takwimu za China's cross-border transactions tu hatujazangumzia dunia

Siku nyingine acha kukurupuka, unaposoma punguza mihemko
 
Ni kweli mkuu lakini hii ni ishara kuwa Yuan inazidi kuimarika.

Una taarifa kuwa kwa sasa Yuan has surpassed the Euro in global trade invoicing
China hata matumizi ya sarafu yake kwenye exchange duniani yazidi ya mwezi uliopita mara 10 Yuan haitofikia Euro, achana na kuizidi kwenyewe.
 
Wakati matumizi ya USD ni 83.7%
Uko sahihi hata sikupingi hapo

Lakini wakati huohuo share ya US dollar kwenye global forex reserves imeshuka kutoka zaidi ya 70% mwaka 1999 mpaka kufikia 58% mwaka 2022 kulingana na ripoti ya IMF
 
Kwa logic yako wengine akiwemo US hawajawekeza kwenye dollar kama China kwahio hawajui nguvu ya Dollar ?

Hivi unajua huenda Wachina hawafurahii hii hali wala wao hawapendi kabisa thamani ya Pesa yao iwe kubwa ?
US hajawekeza kwenye USD yake amewekeza kwenye sarafu gani mkuu?
Kama USD ni weak hivyo, China aipige chini kwanza yeye mwenyewe na aachane na hiyo reserve. Tofauti na hapo huwezi ishaiwishi Ufilipino au India itumie Yuan ya China wakati Mchina ana reserve kubwa ya USD.

Ni kweli China haitaki thamani ya sarafu yake ikue, ili isipandishe production cost na kushusha PPP, hivyo kupandisha bei ya bidhaa zake kwenye soko la dunia. Na kukwepa kulazimika kuitafuta hiyo Yuan ikiwa soko la nje kuirudisha ndani. Na hivyo China inafanya devaluation kwa sababu, ndio maana hakuna nchi yoyote itatumia Yuan kama reserve currency, USD inapanda na kushuka kutokana na market ila Yuan pale CCP wakijisikia inashuka.
Hata Russia ikiuza mafuta kwa Yuan inajitahidi iwarudishie Wachina sarafu yao mara moja kwa kufanya imports tatizo linakuja Russia inaagiza vitu vichache kutoka China. Yuan itatumika baina ya let's say South Africa na Iran?

Bado USD tunayo miaka mingi baadae
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mauzo ya nje ya bidhaa za China (China's crossborder transactions) mauzo kwa kutumia Yuan yameipita US dollar.

Mwaka 2010 mauzo ya nje ya bidhaa kutoka China kwa kutumia Yuan yalikuwa ni 0% na point kadhaa tu wakati mauzo kwa kutumia US dollar yalikuwa ni 83%. Kufikia 2023 matumizi ya Yuan yamepanda kufikia 48% na US dollar yameshuka kufikia 47%

INFOGRAPHIC:

View attachment 2601507


Hii inamaanisha mataifa mengi yanayoagiza bidhaa kutoka China yameonyesha kukubali matumizi ya Yuan badala ya US dollar.

Wakati huohuo taifa la Argentina limetoa tamko rasmi leo kuwa watatumia sarafu ya Yuan tu watakapoagiza bidhaa kutoka China.

IN BRIEF:
China’s cross border transactions by currency

●Yuan: 48.4%
●US Dollar: 46.7%
Huu uchambuzi hauna maana kama hujaweka value ya vitu. Hizo asilimia zinaweza kudanganya kama value ya vitu ni ndogo.

Unaweza kuuza vitu 1000 kwa Yuan, vyenye thamani ya USD 1000.

Halafu mwingine akauza kitu kimoja kwa USD, chenye thamani ya USD 1,000,000,000.

Sasa hapo napo utatamba kwamba matumizi ya Yuan ni makubwa, yametumika katika biashara ya vitu 1,000, wakati yale ya USD yametumika katika kitu kimoja tu?

Kumbuka hizo asilimia ni asilimia za transactions, si asilimia za mapato.
 
Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
Pole kiongozi. Sasa kama tuna kitu kinaitwa 'unthinking intelligence' unategemea nini kutoka kwetu? Kuna msemo kwamba 'nyoka huuma afikiapo'. Akifikia kwenye kisigino hawezi kuuma mkono au akifikia kwenye bega hawezi kuuma kidole cha mguu.
 
Uko sahihi hata sikupingi hapo

Lakini wakati huohuo share ya US dollar kwenye global forex reserves imeshuka kutoka zaidi ya 70% mwaka 1999 mpaka kufikia 58% mwaka 2022 kulingana na ripoti ya IMF
Nakupa nchi ambazo hazitokaa zitumie Yuan na zipo chumi 10 bora duniani. Japan, South Korea na India hizo ni maadui wa asili wa China. USA ni mshindani wa China. Hapo una nchi 4 za uhakika hazina mpango na Yuan hata iweje.

Kuna UK ambayo ina Pound, kama kuna anayeota UK itaachana na Pound iende kwa Yuan namshauri aamke. Kuna Germany, France na Italy hizi zinatumia Euro. Pamoja na Ulaya nyingine ambazo hazipo top 10. Hazina mpango na Yuan eti ziache Euro.

Kuna Australia ina dollar yake inatumiwa duniani kuliko Yuan. Kuna Canada dollar yake vilevile inatumika kuliko Yuan. New Zealand wana dollar yao kubwa tu, Switzerland Franc yao ina nguvu.

Sasa hapo China anabaki na nani mkubwa kiuchumi duniani. Russia tu ambaye haiingii top 10. Hapo nazungumzia transactions kwenye reserve nishatoka uko, kama USD inapitwa China aiondoe reserve tumuone.
 
Huu uchambuzi hauna maana kama hujaweka value ya vitu. Hizo asilimia zinaweza kudanganya kama value ya vitu ni ndogo.

Unaweza kuuza vitu 1000 kwa Yuan, vyenye thamani ya USD 1000.

Halafu mwingine akauza kitu kimoja kwa USD, chenye thamani ya USD 1,000,000,000.

Sasa hapo napo utatamba kwamba matumizi ya Yuan ni makubwa, yametumika katika biashara ya vitu 1,000, wakati yale ya USD yametumika katika kitu kimoja tu?

Kumbuka hizo asilimia ni asilimia za transactions, si asilimia za mapato.
Mkuu kinachozungumziwa hapo ni the most-used currency in China's cross-border transactions
 
It ain't an overnight process mkuu.
Tittle "Yuan ya China yaipiku Dola ya Marekani" inaweza kuwa relevant miaka zaidi ya 30 ijayo na sio leo. Unless hapo kwenye tittle uongeze "baina ya China" ndio tittle iko relevant kuanzia mwezi March mwaka huu
 
Tittle "Yuan ya China yaipiku Dola ya Marekani" inaweza kuwa relevant miaka zaidi ya 30 ijayo na sio leo. Unless hapo kwenye tittle uongeze "baina ya China" ndio tittle iko relevant kuanzia mwezi March mwaka huu
Tunazungumzia mauzo ya nje ya bidhaa za China tayari Chinese Yuan overtakes US Dollar ndo linakuja neno "yaipiku"
 
Unamaanisha kuwa nazo ni miongoni mwa sarafu ambazo zinaongoza kwenye global forex reserves?
Namaanisha kwenye exchange. Nimesema kwenye reserve tushamaliza kama USD ni mbaya haina tija na mashiko basi hiyo China ambayo ndio ina mbadala iachane na USD kwanza ili wafuasi waiache na wao.

Kwenye exchange China ni ya ngapi, sijajua kuanzia February ila last time I checked tumeanza mwaka 2023 Yuan ikiwa ya saba au ya nane kwenye global exchange. Yani ikija kufikia Pound Sterling sio leo, achana na Euro na usiwaze kuhusu USD.
 
US hajawekeza kwenye USD yake amewekeza kwenye sarafu gani mkuu?
Kama USD ni weak hivyo, China aipige chini kwanza yeye mwenyewe na aachane na hiyo reserve. Tofauti na hapo huwezi ishaiwishi Ufilipino au India itumie Yuan ya China wakati Mchina ana reserve kubwa ya USD.
Nahisi hapa kuna tatizo la mimi kuanza kujirudia rudia kama Santuri mbovu....

Narudia tena swali langu la mwanzo ni nani ana foreign reserve kubwa duniani ?; Haya mambo watu mnayaangalia kwa myopic thinking..., Mwisho wa siku currency ni kiwezeshi tu cha kupata mahitaji kama una kitu watu wanakihitaji watafuata unachowaambia / unachotaka wakupe ili wapate bidhaa..., Ndio maana narudia tena kusema FIAT Currency zote ni Desi tu....
Ni kweli China haitaki thamani ya sarafu yake ikue, ili isipandishe production cost na kushusha PPP, hivyo kupandisha bei ya bidhaa zake kwenye soko la dunia. Na kukwepa kulazimika kuitafuta hiyo Yuan ikiwa soko la nje kuirudisha ndani. Na hivyo China inafanya devaluation kwa sababu, ndio maana hakuna nchi yoyote itatumia Yuan kama reserve currency, USD inapanda na kushuka kutokana na market ila Yuan pale CCP wakijisikia inashuka.
Again mtu unaenda kununua vitu ili iweje - (what is the purpose of buying ? ili ushike shike sarafu, au does it matter umelipia currency gani so long as unakipata hicho kitu) ?; Na nani amekwambia China wanataka nchi fulani itumie Yuan kama Reserve Currency; Kuna muda mafuta yote yalikuwa priced in USD hapo ndio watu walilazimika sana wawe na USD sasa hivi hata nchi za Kiarabu zimeamua kuanza kutoka huko (hakuna advantage kwao) kwahio mwisho wa siku hata hii commodity kuipata hautalazimika kuwa na USD;

Narudia tena bottom line ni bidhaa zako na kama wewe production ndio unaitegemea ikuletee Mkate wa kila siku hakuna faida yoyote ya kuwa na Currency yenye thamani
Hata Russia ikiuza mafuta kwa Yuan inajitahidi iwarudishie Wachina sarafu yao mara moja kwa kufanya imports tatizo linakuja Russia inaagiza vitu vichache kutoka China. Yuan itatumika baina ya let's say South Africa na Iran?

Bado USD tunayo miaka mingi baadae
Narudia tena so long as unauza na watu wanahitaji bidhaa zako wewe ndio una-set terms za kufanya biashara husika...; na muuzaji ndio ana say alipwe vipi; ila linapokuja suala la kushinikiza labda ukitaka kununua mafuta lazima utumie sijui dollar au yuan hio sio Kosher....; Namalizia kwa kukumbushia mdau Voltaire alivyosema...

Fiat currency eventually returns to its intrinsic value--zero.'
 
Back
Top Bottom