Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Namaanisha kwenye exchange. Nimesema kwenye reserve tushamaliza kama USD ni mbaya haina tija na mashiko basi hiyo China ambayo ndio ina mbadala iachane na USD kwanza ili wafuasi waiache na wao.

Kwenye exchange China ni ya ngapi, sijajua kuanzia February ila last time I checked tumeanza mwaka 2023 Yuan ikiwa ya saba au ya nane kwenye global exchange. Yani ikija kufikia Pound Sterling sio leo, achana na Euro na usiwaze kuhusu USD.
Kwenye global exchange uko sahihi.

Lakini kwenye global forex reserves Yuan ni miongoni mwa sarafu tano bora duniani. US Dollar, Pound, Yen, Euro na Yuan

Kwa mujibu wa IMF hizi zinaitwa world's five leading currencies
 
Dollar bado Ina nguvu na foreign investors wengi wameinvest kwenye dollar , mzunguko wa yuan ni ndogo hata kama watauza bidhaa zake kupitia yuan na kuiforce nchi zingine zinunue yuan Ili zinunue bidhaa za China still sera ya kiuchumi ya China ndo inaiangusha, wairekebishe.
Thamani ya Yuan yenyewe inapangwa na serikali ya China, haipangwi na market forces.

Hilo pekee linaifanya Yuan kuwa na tatizo kubwa ikilinganishwa na US dollar.
 
Kwa logic yako wengine akiwemo US hawajawekeza kwenye dollar kama China kwahio hawajui nguvu ya Dollar ?

Hivi unajua huenda Wachina hawafurahii hii hali wala wao hawapendi kabisa thamani ya Pesa yao iwe kubwa ?
Thamani ya yuan ikiwa kubwa , vitu vya kichina vitakuwa expensive, hivyo kupunguza demand ya bidhaa, jambo ambalo imeifanya Serikali ya China kuingilia Kati mara nyingi
 
Thamani ya Yuan yenyewe inapangwa na serikali ya China, haipangwi na market forces.

Hilo pekee linaifanya Yuan kuwa na tatizo kubwa ikilinganishwa na US dollar.
Kweli kabisa, uko on point.
Inapaswa yuan waisubmit kwa IMF kabla ya yote.
 
Always kuna msemo "Bet against Uncle Sam at your own risk "
Wanaobet against dollar Kuna kitu hawaelewi ,they will soon be in for a rude awakening
 
Nawaza tu!
Kwamba haya mawazo uliyoyatoa ww ina maaana china hawana wataalamu kama ww ili watekeleze na sarafu yao itawale.
Pale world bank( wb) na IMF pana mchezo wa makusudi unaofanya na wayahudi wamarekan wanafanya mataifa mengine kuwa maskini.
China kama vip wangeanzisha mabenki ya BRICS
 
Hizo ni siasa tu hakuna sarafu inayoweza kuipiku dola ktk dunia hii na mfumo wa siasa ya China inayofanya serikali idhibiti benki kuu haiwezi ikaifanya hiyo Yuan iwe sarafu ya kuaminika.

Na hata kama Yuan ikiwa sarafu ya kutumiwa duniani itabidi iachwe itafute thamani yake na hapo ndipo itakapopanda thamani na kupelekea bidhaa za China kuanza kuwa ghali na za Marekani kuwa rahisi hali itakayopelekea mauzo ya bidhaa za China nje kupungua kwa kasi na za Marekani kuongezeka zaidi.
 
Wewe akili kisoda umeshindwa kuelewa maana ya nlichoandika.
Elewa concept ya substance over form
Mtu kaleta taarifa ya kiuchumi kama ilivyoandikwa huko,ikionesha jinsi pesa ya uchina ikiipiku pesa ya USA wewe badala ya kuichambua kama ilivyoletwa una mtaka mleta taarifa achague kuishi china au Marekani.
Mimi hapo sijaona uhusiano wa kuleta mada na data zake na wewe kumtaka achague kuishi USA ama china. Hoja Yako haihisiani kabisa na habari aliyoileta mtoa mada.
Ila sahani lkn kama nimekukwaza lkn kumbuka huu ni mjadala.
 
Na ili hilo lifanyika lazima tujiulize kabla dolar haijawa reserve currency ilikuwa GOLD ndio Standard na Ili Yuan ichukue nafasi ya Dola kwanza duniani lazima irudi kwenye GOLD Standard Kisha baada ya hapo ndio sandakalawe ianze upya.Lakini Pia lazima tujiulize ni kwa nini USD na Sio Pound wala EURO na wala Yuan.?Hapa inahitaji turudi katika historia tuangalie ni nini kilitokea katika uchumi mpaka ikapelekea shift kutoka Gold Standard na Kwenda kwenye Dollar.
Hebu nifahamishe


Ili pesa iwe gold standard inamaana wanabandika kajidhahab kadogo kwenye noti husika au wanafanyafanyaje ili iwe na vigezo hivyo
 
Umetoa ushauri mkali Sana [emoji38] naamin eeleweka China siyo taifa la kushabikia Wala kuwaegemeaa Ni watu wapuuz mno ,wanyonyaji ,Hana democracy Wala kujali haki za binadamu nashangazwa kuona watu wanawashabikia wachina na kuwacha wazungu , nashangazwa pia kuona watu wakisema wazungu ni wanyonyaji ,HV niulize Kuna mtu mnyonyaji kama mchina na muhindi
Sidhan km kuna taifa hapa dunian ambalo lina demokrasia na kujal kuhusu haki za binaadam
 
Vita vya Russia na utawala wa dola
 
Thamani ya yuan ikiwa kubwa , vitu vya kichina vitakuwa expensive, hivyo kupunguza demand ya bidhaa, jambo ambalo imeifanya Serikali ya China kuingilia Kati mara nyingi
Utajihidi kumuelewesha lakini hata elewa sababu kilichojaa kwenye fikra zao ni chuki dhidi ya US.
 
Haya Mambo sio mazuri kiushabiki kwa sisi, mataifa tunaotegemea misaada kutoka mataifa ya ulaya, ambayo tunayaombea yapate hasara na kutengwa na dunia. Ni sawa na kinda wa ndege ajaanza kuota mbawa anaombea mama ake afe amrisishe kiota. Akimiliki icho Kiota.
Hiyo inaitwa usiyempenda kaja no way
 
Ni kweli mkuu lakini hii ni ishara kuwa Yuan inazidi kuimarika.

Una taarifa kuwa kwa sasa Yuan has surpassed the Euro in global trade invoicing
Euro hata Pound Ina value kubwa kuliko dollar lakini bado haijawa reserve currencies
 
Hivi unajua nchi yako haina uwezo wa kusambaza condom achilia mbali ARV? Chanjo tu ni shida achilia miradi kama tokomeza TB na Malaria.

Kwa mfumo wa maisha uliopo hili jambo la wadhamini kufa ili tuanze upya linatakiwa liende taratibu sana otherwise utawaonea huruma hao wananchi wa kawaida kwa utakayoshuhudia.
Bora uwaambie vijana hawana wanachoelewa zaidi ya kubeti tuuu. Bidhaaa izi zinatoka USA na ndio matumizi ya dollars yanapoanzia ARV, Condoms, Dawa za uzazi wa mpango, Chanjo za magonjwa ya Tuberculosis (TB), Surua, Android, IOS, Chanjo za magonjwa ya INI, Window Operating system, Wikipedia, tweeters, Instagram, Facebook, Shazam, Java, Microchip, ATM system, banking system.
Sasa ivi vitu vyote ndio ufanya uitumie dollars kwa kutaka Tena kwa lazima jeee nani yupo tayari kuacha kutumia ivi vitu.
 
Back
Top Bottom