Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Mataifa yanayoagiza bidhaa China yatumia zaidi Yuan na kuipiku dola ya Mmarekani

Pale world bank( wb) na IMF pana mchezo wa makusudi unaofanya na wayahudi wamarekan wanafanya mataifa mengine kuwa maskini.
China kama vip wangeanzisha mabenki ya BRICS
Umasikini wa Tanzania umesababishwa na nani?
 
Thamani ya Pesa ya China ikipanda products zake zitapoteza unafuu wa gharama sokoni na kujikuta akiziuza kwa bei sawa na products za ulaya, Japan na US hivyo kupoteza wateja wake, ndiyo maana hataki thamani hela yake ipande pia ndiyo maana hadi leo ing'ang'ania kuwa yenyewe bado ipo kwenye kundi za nchi zinazoendelea sawa na Tanzania
Anafanya uhuni tu
 
Mkuu hauwazi kwa usahihi.
Mataifa ya Ulaya yanaishi kwa kuyanyonya mataifa maskini kama.yetu.

Brainwash waliyokufanyia yatosha kusema uchawi wa wazungu ulaaniwe
Wewe umenyonywa nini?
 
BREAKING: Syria's regime has called for adopting 🇨🇳 China's yuan instead of the 🇺🇸 US Dollar for global transactions.
Kawaambie huu uzwazwa wako raia wa Zimbabwe , venezuela , Cuba , Turkey , Sri Lanka , Pakistan ,Kenya , Lebanon , Argentina na nchi nyingine nyingi zinazopitia msoto mkali wa ukosefu wa USD dollar sasa hivi uone watakachokufanya.

Huu ujinga wa kuvimbiwa Makande na kiporo cha viazi na kujiona wataalamu wa global economics mechanism mtauacha soon ,si mmeona yanayoendelea pale Kenya ,mwambieni Ruto akope yuan Kwa serikali ya china awalipe wafanyakazi wa serikali na kuendesha kugharamia mambo mengine au achapishe makaratasi ya sarafu ya shilingi ya Kenya ayaingize kwenye mzunguko tuone ,Ngoja miezi michache ijayo hapa ndio mtajua USD ni nini ? Na nguvu ya USD kwenye global economics ikoje . Na hapa tu uhaba wa USD ni kama mwezi wa tano sasa upo , ngoja kibano kikolee uone mnavyorudi stone age .Tena Tz hii ,mamaee mtajua maharage sio mboga
 
Kawaambie huu uzwazwa wako raia wa Zimbabwe , venezuela , Cuba , Sri Lanka , Pakistan , Lebanon , Argentina NK up watakachokufanya
Comment bila kutukana inaleta maana zaidi. Ok tuyaache hayo tetea hoja yako kuhusu hizo nchi ulizotaja
 
Sio kila kitu utafuniwe , una smartphone search uone nini kinaendelea kwenye uchumi wa hizo nchi ,hali ya maisha kwa wananchi na ukosefu reserve ya dollar jinsi unavyowaathiri wananchi
 
Comment bila kutukana inaleta maana zaidi. Ok tuyaache hayo tetea hoja yako kuhusu hizo nchi ulizotaja
Sio kila kitu utafuniwe , una smartphone search uone nini kinaendelea kwenye uchumi wa hizo nchi ,hali ya maisha kwa wananchi na ukosefu reserve ya dollar jinsi unavyowaathiri wananchi na uchumi wa hizo nchi kwa sasa ,fuatilia ujue ni pesa au sarafu ya aina gani serikali za hizo nchi zinahitaji gani kwa udi na uvumba wakati huu .

Fuatilia ujue na trend ya nchi ambazo ziko mbioni kukumbwa na hilo janga
 
Sio kila kitu utafuniwe , una smartphone search uone nini kinaendelea kwenye uchumi wa hizo nchi ,hali ya maisha kwa wananchi na ukosefu reserve ya dollar jinsi unavyowaathiri wananchi na uchumi wa hizo nchi kwa sasa ,fuatilia ujue ni pesa au sarafu ya aina gani serikali za hizo nchi zinahitaji gani kwa udi na uvumba wakati huu .

Fuatilia ujue na trend ya nchi ambazo ziko mbioni kukumbwa na hilo janga
Unafikiri ni kwa nini wana upungufu wa reserve ya dollar?
 
Kawaambie huu uzwazwa wako raia wa Zimbabwe , venezuela , Cuba , Turkey , Sri Lanka , Pakistan ,Kenya , Lebanon , Argentina na nchi nyingine nyingi zinazopitia msoto mkali wa ukosefu wa USD dollar sasa hivi uone watakachokufanya.

Huu ujinga wa kuvimbiwa Makande na kiporo cha viazi na kujiona wataalamu wa global economics mechanism mtauacha soon ,si mmeona yanayoendelea pale Kenya ,mwambieni Ruto akope yuan Kwa serikali ya china awalipe wafanyakazi wa serikali na kuendesha kugharamia mambo mengine au achapishe makaratasi ya sarafu ya shilingi ya Kenya ayaingize kwenye mzunguko tuone ,Ngoja miezi michache ijayo hapa ndio mtajua USD ni nini ? Na nguvu ya USD kwenye global economics ikoje . Na hapa tu uhaba wa USD ni kama mwezi wa tano sasa upo , ngoja kibano kikolee uone mnavyorudi stone age .Tena Tz hii ,mamaee mtajua maharage sio mboga
.
Screenshot_20230430-113713.jpg
 
Back
Top Bottom