Wewe mpuuzi tuuuu. Mathematics ulipata zero ndio uje ushindane na wazungu, mpuuuzi Sana. Angalia izo products unazotumia ndio utajijua wewe ni mpuuuzi na una jeuri ya kupambana na wazungu
Bila Shaka wewe ni mvulana na sio mwanaume, ungekuwa mwanaume ungeshuudia mke wako akienda clinic na kupata Chanjo za wamarekani ungefunga domo lako chafu lisilojua umuuimu wa uyo USA. Bidhaaa izi zinatoka USA na ndio matumizi ya dollars yanapoanzia ARV, Condoms, Dawa za uzazi wa mpango, Chanjo za magonjwa ya Tuberculosis (TB), Surua, Android, IOS, Chanjo za magonjwa ya INI, Window Operating system, Wikipedia, tweeters, Instagram, Facebook, Shazam, Java, Microchip, ATM system, banking system.
Sasa ivi vitu vyote ndio ufanya uitumie dollars kwa kutaka Tena kwa lazima jeee nani yupo tayari kuacha kutumia ivi vitu.