Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Wewe Bakia hivyo hivyo na uelewa wako,Unadhani hakuna watu wako na utajiri wa Zaidi ya Trillion 4 za Kibongo?Kama Nani unayemjua wewe ambae kamzidi mo hapa tz ,,,
Ebu mlete uyo tajiri wako hapa vinginevyo acha story
Hahahahaha kabisa, ila ni nyingi balaa
Wa kijangili tena! Ukiombwa ushahidi wa mmoja wao tu utatoa?Hao watu utajiri wao kuna siri za Wana siasa nyuma yao.Inshort ni utajiri wakijangili
NakaziaHao watu utajiri wao kuna siri za Wana siasa nyuma yao.Inshort ni utajiri wakijangili
Usinilaumu mimi mzee,laumu walitoa hizo takwimu.We kweli unaongea hujui kitu! GSM umemshusha sana $16mils??? Upo serious wewe??? Bakhresa amewekeza azam media $250 mils, Zambia kiwanda cha alizeti $200mils, bado Unga east Africa nzima pamoja na South Africa ndie anaongoza kwa kuuza Unga kule, hotel Verde amewekeza $20mil, bado timu ya Mpira, bado maviwanda yote hayo app sijaongelea azam marine, logistics, n. K kwa taarifa yako kuna chapisho la Ghana linamtaja Bakhresa kuwa tajiri wa tatu Africa
Nadhani MO ni utajiri wa kifamilia wa kurithi, siyo self-made kama akina Strive MasiyiwaMo ndiye tajiri wa umri mdogo kuliko wote kwenye orodha na ni pekee Afrika Mashariki.
Mfano nani?Kuna watu hawapo hapo lakini utajiri wao ni kufuru.Labda sababu wamepata pesa Kimazabe
Walio na utajiri wa familia mbona wameorodheshwa, tatizo la wabongo hawapend kuwapa watu maua yao, nafikiri wivu ndio tatizoNadhani MO ni utajiri wa kifamilia wa kurithi, siyo self-made kama akina Strive Masiyiwa
Yamkini mkuuHao watu utajiri wao kuna siri za Wana siasa nyuma yao.Inshort ni utajiri wakijangili
ipo?Familia ya Kenyatta.
Hawapo hapo! Kwa bongo ni MoBakhresa?
GSM?
mbona hawa hawapooo? Au wapo kwenye Top 20?
Hatari,,, sababu ni nyingi piaUjanja mwingi, na kutokuaminiana
Mtu unaingia kwenye interview unaondoka na kalamu ya watu
We are not serious haha
Huo ni ule unaoonekana kama hauonekani hawawez kukuweka hapoKuna watu hawapo hapo lakini utajiri wao ni kufuru.Labda sababu wamepata pesa Kimazabe
Nigeria ,South Africa na Egypt ndio kuna billionaires ,wametisha sana1. Aliko Dangote
Net worth: $13.9 billion
Net worth in 2023: $13.5 billion
Origin of wealth: Cement and Sugar
Age: 66
Country: Nigeria
2. Johann Rupert and family
Net worth: $10.1 billion
Rank in 2023: 2
Net worth in 2023: $10.7 billion
Origin of wealth: Luxury goods
Age: 73
Country: South Africa
3. Nicky Oppenheimer & family
Net worth: $9.4 billion
Rank in 2023: 3
Net worth in 2023: $8.4 billion
Origin of wealth: Diamonds
Age: 78
Country: South Africa
4. Nassef Sawiris
Net worth: $8.7 billion
Rank in 2023: 5
Net worth in 2023: $7.2 billion
Origin of wealth: Construction and Investments
Age: 63
Country: Egypt
5. Mike Adenuga
Net worth: $6.9 billion
Rank in 2023: 6
Net worth in 2023: $5.6 billion
Origin of wealth: Telecom and Oil
Age: 70
Country: Nigeria
6. Abdulsamad Rabiu
Net worth: $5.9 billion
Rank in 2023: 4
Net worth in 2023: $7.6 billion
Inherited and growing
Origin of wealth: Cement and Sugar
Age: 63
Country: Nigeria
7. Naguib Sawiris
Net worth: $3.8 billion
Rank in 2023: 8
Net worth in 2023: $3.3 billion
Inherited and growing
Origin of wealth: Telecom
Age: 69
Country: Egypt
8. Mohamed Mansour
Net worth: $3.2 billion
Rank in 2023: 10
Net worth in 2023: $2.8 billion
Self-made
Origin of wealth: Diversified
Age: 76
Country: Egypt
9. Koos Bekker
Net worth: $2.7 billion
Rank in 2023: 11
Net worth in 2023: $2.6 billion
Origin of wealth: Media, Investments
Age: 71
Country: South Africa
9. Patrice Motsepe
Net worth: $2.7 billion
Rank in 2023: 9
Net worth in 2023: $3.1 billion
Origin of wealth: Mining
Age: 61
Country: South Africa
11. Issad Rebrab & family
Net worth: $2.5 billion
Rank in 2023: 7
Net worth in 2023: $4.6 billion
Origin of wealth: Food
Age: 80
Country: Algeria
12. Mohammed Dewji
Net worth: $1.8 billion
Rank in 2023: 15
Net worth in 2023: $1.5 billion
Origin of wealth: Diversified
Age: 48
Country: Tanzania
12. Strive Masiyiwa
Net worth: $1.8 billion
Rank in 2023: 12
Net worth in 2023: $1.9 billion
Origin of wealth: Telecom
Age: 62
Country: Zimbabwe
14. Aziz Akhannouch & family
Net worth: $1.7 billion
Rank in 2023: 14
Net worth in 2023: $1.5 billion
Origin of wealth: Petroleum, Diversified
Age: 63
Country: Morocco
15. Othman Benjelloun & family
Net worth: $1.4 billion
Rank in 2023: 16
Net worth in 2023: $1.3 billion
Origin of wealth: Banking, insurance
Age: 91
Country: Morocco
16. Youssef Mansour
Net worth: $1.3 billion
Rank in 2023: 13
Net worth in 2023: $1.5 billion
Origin of wealth: Diversified
Age: 78
Country: Egypt
17. Yasseen Mansour
Net worth: $1.2 billion
Rank in 2023: 19
Net worth in 2023: $1.1 billion
Origin of wealth: Diversified
Age: 62
Country: Egypt
17. Christoffel Wiese
Net worth: $1.2 billion
Rank in 2023: 18
Net worth in 2023: $1.1 billion
Origin of wealth: Retail
Age: 82
Country: South Africa
Residence: Cape Town
19. Michiel Le Roux
Net worth: $1.1 billion
Rank in 2023: 17
Net worth in 2023: $1.2 billion
Origin of wealth: Banking
Age: 74
Country: South Africa
19. Femi Otedola
Net worth: $1.1 billion
Origin of wealth: Gas stations, Utilities
Country: Nigeria
Malezi ya tangu awali ndio sababu kubwa ya kuwa muaminifu na tabia njemaHatari,,, sababu ni nyingi pia
Akina Aliko Dangote , Mike Adenuga ,Patrick Motsepe ,Femi atedola ,Strive masiyiwa , Abdulsamadu Rabiu hao kwako wewe unawaona ni weupe au ?Mbaya zaidi mwafrica halisi ni mmoja tu ,mbona kule kwao sisi hatuongozi ?