Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutongoza ni kujishusha hadhi sana,,maana ina include kunyenyekea,kujipendekeza,saa ingine unajibiwa dry,upo tu,,Ukishakuwa na hela kutongoza ni kazi sana..
Maana kutongoza ni kujishusha/kujidhalilisha!
Uko sawa, au nadanganya ndugu zangu?
Kutongoza ni kujishusha hadhi sana,,maana ina include kunyenyekea,kujipendekeza,saa ingine unajibiwa dry,upo tu,,
Mimi siwezi kwakweli...
Mama yako alipowaza ngono ndipo alikupata mwendawazimu kama wewe
Usisahau CHARACTER/PERSONALITY & INTELLECT .Zingatia haya mkuu,,,
-- good looking.
-- good looking
-- good looking
-- confidence.
Popote utapata mwanamke unayehitaji..
Utakuta mtu ana pesa zake lakini ,,
-- not good looking
-- not confidence
--- wengi madomo zege.
Wanategemea gari na pesa viongee,,sasa ukimtoa nje ya gari anakuwa kama mamba nje ya maji.
Huyo mwanamke utampataje?
Pole sana,hata Mengi(R.I.P) ali hassle sana kumpata Jacq.Habari zenu.....
Leo nataka tushee kitu kimoja, sisi matajiri hakika ni waoga kweli kutongoza mwanamke uliyempenda kwa mara ya kwanza public.....!!!
Hasa pale anapokuwa hakufahamu.....!
kwamfano juzi nilikuwa pale mlimani city shopping
nikajitutumua kumtongoza mtoto mmoja mzuri....alikuwa haelekei kabisa...
nikachomekea zaidi akanipa jibu bovu
nikajikuta nipo samaki samaki napiga grants nilipotoka pale nikapanda gari hme....
ndio maana nikitaka mwanamke hasa nikiwa public/ kwenye watu wengi natumiaga manyoka/wapambe.....
kuepusha aibu na mawazo yasiyo na mpango...
karibu kwa maoni...
Hakuna tajiri mwenye muda mchafu wa kwenda kununua vitu Mlimani City au madukani kokote. Matajiri wanatuma watu kuwaletea mahitaji yao. Hata kuweka hela na kutoa kwenye simu uwa wanatuma watu.Habari zenu.....
Leo nataka tushee kitu kimoja, sisi matajiri hakika ni waoga kweli kutongoza mwanamke uliyempenda kwa mara ya kwanza public.....!!!
Hasa pale anapokuwa hakufahamu.....!
kwamfano juzi nilikuwa pale mlimani city shopping
nikajitutumua kumtongoza mtoto mmoja mzuri....alikuwa haelekei kabisa...
nikachomekea zaidi akanipa jibu bovu
nikajikuta nipo samaki samaki napiga grants nilipotoka pale nikapanda gari hme....
ndio maana nikitaka mwanamke hasa nikiwa public/ kwenye watu wengi natumiaga manyoka/wapambe.....
kuepusha aibu na mawazo yasiyo na mpango...
karibu kwa maoni...
Aisee una hasira na utajiri wangu!!!?Hakuna tajiri mwenye muda mchafu wa kwenda kununua vitu Mlimani City au madukani kokote. Matajiri wanatuma watu kuwaletea mahitaji yao. Hata kuweka hela na kutoa kwenye simu uwa wanatuma watu.
Mtu umepata hela kidogo tu ya kununua Brevisi unaanza kuvimba na kujiita tajiri. Matajiri unawajua wewe?
Hapa kuna mawili kwanza uenda wewe ni mshamba fulani kutoka mkoa so umeona Dar ni Mlimani City tu au pili ni shule zimefungwa tunasoma topic za watoto wetu
Uko sahihi kabisa Mkuu,matajiri kutongoza hua tunaona ni kama kujidhalilisha,Aisee una hasira na utajiri wangu!!!?
kuwa tajiri ni jambo la kawaida sio maajabu..
nawewe pambana ukiomba utafanikiwa tu...
maneno yako makali hayabadilishi facts kwamba mimi ni tajiri....
Sasa hapa tunatumia ID fake utamuonaje huyo tajiri kwa vitendo? hebu nipe elimu Dada.Tajiri hajisemi huwa unaona vitendo tu
Haya tajiri wa jf tumekusikia na domo zege lako
Kweli kabisa wana roho za ajabu sana....Uko sahihi kabisa Mkuu,matajiri kutongoza hua tunaona ni kama kujidhalilisha,
Mtu ukimwambia kua wewe ni tajiri anaumia sana sijui kwanini? wanataka kila siku kuona thd za mtu kapigika anahitaji msaada! Maisha ni kucheza na akili tu,ni simple sana.
Sasa hao sio matajiri ni kama mtoa mada alivyosema!! Matajiri ni levo za kina Bakhresa,Mo etc hao unaozungumzia wewe ni wajasiliamali waliochangamka.Tabia tu ya mtu ! Kuna wajuba na mijihela yao tunakula nao serengeti lite kitaa hawana noma kabisa!
Hakuna tajiri mwenye muda mchafu wa kwenda kununua vitu Mlimani City au madukani kokote. Matajiri wanatuma watu kuwaletea mahitaji yao. Hata kuweka hela na kutoa kwenye simu uwa wanatuma watu.
Mtu umepata hela kidogo tu ya kununua Brevisi unaanza kuvimba na kujiita tajiri. Matajiri unawajua wewe?
Hapa kuna mawili kwanza uenda wewe ni mshamba fulani kutoka mkoa so umeona Dar ni Mlimani City tu au pili ni shule zimefungwa tunasoma topic za watoto wetu
Utafiti wa kisaikolojia uligundua kuwa binadamu hujenga uadui wa bila sababu na wanaomzunguka pindi tu ajionapo yeye ni bora kuliko wao.Mleta mada angeleta mada kua ana dhiki na maisha yamempiga kila mtu angempa pole na kumuombea kwa Mungu ili aondokane na dhiki zake,lakini ameleta mada kua yeye ni tajiri watu wanamponda na kumuona anaongopa au anadharau! mbona hamueleweki aisee!
Unafiki ni kitu kibaya sana katika maisha!